Saad30
JF-Expert Member
- May 26, 2020
- 2,737
- 5,464
Mkuu kule wanaamini uchawi kuliko unavyofikiria.Ila sio kma tz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kule wanaamini uchawi kuliko unavyofikiria.Ila sio kma tz
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Inaonekana unatazama sana movie. Watu hapa hawaongelei movie.
Tofautisha uhalifu na vitaCongo?
Afghanistan?
South Sudan?
South Africa level nyengine ile mwanagu unajua wakati Michael Jackson anataka kushoot video ya wimbo wa THEY DON’T CARE ABOUT US pale Brazil serikali ilisema haiwezi peleka polisi wake. Kila nchi ina uhuni wake duniani inategemea na eneo tu.Sasa hujatembea sehemu zingine za dunia unataka kusema South Africa ndio sehemu hatari ya kuishi.
Kuna nchi kama Haiti, El Salvador hizi ni moto wa kuotea mbali raia karibu wote washapinda.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Hamna uhalifu huko ,huko kuna rebel movement...Tambua tofauti ya uhalifu na kupinga serikaliCongo?
Afghanistan?
South Sudan?
sio movie mzee ingia dark web uone dismemberment, decapitations nkInaonekana unatazama sana movie. Watu hapa hawaongelei movie.
Hakuna sehemu SA utafananisha na umafia wa Mexico City wale Wauza sumu wakiamua ipo mitaa hakuna mtu anatoka nje kitu ambacho SA hawajafikia huko na pia SA sehemu yeyote Polisi wanaweza kuvamia na wakatoka salama kitu ambacho Mexico ni ngumu mpaka watumie jeshi...Wa South Africa ni mafia sana kuzid mexico
South ni nchi inayoongoza kwa uhalifu AFRICA kaa kwa passwordmwezi wa 10 last yeakr niliingia south Africa. Ila February nikarud bongo nilifanikiwa kutembelea mikoai karibu yote
South Africa kimaendeleo imezidi nchi nyingi sana za ulaya ,Asia ,na america yaani south Africa ipo mbali san kiuchumi.
Tatizo Ina raia wenye hasira sana mara nyingi ni watu wenye kinyongo na kulipa kisasi yan dakika sifuri tu unawezA kupoteza uhai
Swala la mapenzi south Africa ni next level Kuna mchezo unaitwa sleep over.
Yani unawezA kukutana bint kituo Cha tren ukaomba namba ukifika home unamuomba aje alale kwako simply anakuja kesho anaondoka then unatafuta mwingine simply tu.
Shule south Africa wanafunzi wanavaa nusu uchi kama south Korea .
Ushoga na usagaji kwao sio kitu Cha kushangaza.
Wanafanyaia umafia kwa? Makundi Yao ya drugs na sio kwa mtu yeyeto South Africa ndo inaongoza Kwa crime general yaani yeyeto asiye na hatia ni mhanga.Ongea yote usikanyage MEXICO......south africa ina subiria mbali sana ukiangalia kwa video zao wakiwa wanafanya mauji sidhani kama south africa inawakuta
Mexico sio Nchi ile unakuta karibu watu wengi wamejichora tattoo wao wanazielewa wewe ambae hauna tattoo yeyote unaweza kumuuliza kitu akakuangalia tu au akivurugwa anakuchapa risasi ile ndio Nchi niliona mtu anatumwa dukani anakumbushwa kuchukua na bastola...Ongea yote usikanyage MEXICO......south africa ina subiria mbali sana ukiangalia kwa video zao wakiwa wanafanya mauji sidhani kama south africa inawakuta
Kuuana ni kiwango cha juu cha uovu kuliko uchawi wa kulogana! Hata shetani atawashangaa kuacha kuuana alafu mnaanza kulogana! Mambo ya uchawi yako nchi masikini zenyewatu ambao hawajasoma na hawana exposure ya dunianiNimeishi SA cape town Pretoria na Joberg kuhusu wasichana Pretoria wale Tswana girls ni habari ingine na Ile lugha Yao ndio kabisa very sex akikuangalia unaweza kuogopa kumtongoza ila hawana shida wako straight sana kwenye mapenzi mnaweza msimalize dk 3 hasa mkiwa mmefanya eye contact au MKo field Moja
Usalama SA ni almost zero Ile nchi hapana crime rate has Jose Durban Pretoria yenyewe Cape yote TU Mzungu mbaya mweusi mbaya mcolored mbaya shida tupu kufa ni kugusa
Yani asubuhi hadi jioni mmekaa kama MKo vitani ila uzuri wao uchawi hakuna kama huku kwetu
Kwa wahasimu wao kwa wao baada ya kuzulumianaSouth Africa ni risasi tu ikizidi sana mtu kachomwa kisu.
kule latin America ukishauliwa viungo vyako vya mwili vinatenganishwa vinakatwa kama mishkaki alafu vinasambazwa barabarani.
Uchawi upo Dunia nzima na unauwa watu wengi sana kuliko uhalifu.Kuuana ni kiwango cha juu cha uovu kuliko uchawi wa kulogana! Hata shetani atawashangaa kuacha kuuana alafu mnaanza kulogana! Mambo ya uchawi yako nchi masikini zenyewatu ambao hawajasoma na hawana exposure ya duniani
Nadra kukuta kijana wa kisauzi ana ndoto za kuzamia ulaya akafanye nini wakati kila kitu anapata southNenda siku moja Mkuu. Actually, South Africa ipo Africa by location ile ni Ulaya. Tena ukifika Johannesburg chukua hotel kule New City halafu starehe kafanyie Old City ndio kuna bata za kufa mtu. Ila hakikisha hapo hotelini kwako wamekupa mtu wa kukusindikiza (anayejua mkono) ndio uende Old City. Hapo utafurahia bata za huko.