Kuna sehemu hatari kuishi kama South Africa?

Kuna sehemu hatari kuishi kama South Africa?

Mmmh mzee acha kujidanganya mimi zaidi ya miaka kumi naenda kila mwezi na nimetembea sehemu nyingi africa hakuna hata ukaribu wa southafrica na nchi yetu ni mbingu na ardhi
Wa south wanawake ni wakawaida sana huwez fananisha n'a warangi wanyaturu au wairaq kwa uzuri labda ww km kwenu mbeya au njombe ndio utaona wanawake wa SA wazuri

Sent from my PRA-LA1 using JamiiForums mobile app
 
Nakubaliana na wewe ni baada ya Rais Bitozi Bukele kuua magenge yote ya wahuni, pigwa risasi hadharani ukinusurika na kuuwawa na polisi unaishia jela, miaka 2 nchi ina usalama wa hali ya juu.

Ila sidhani South inawafikia Mexico, Columbia na Haiti. Kule uhalifu ni mkubwa sana.

Ukija Afrika, Central Africa, Congo DRC, South Sudan, Somalia, Nigeria nk ni worse kuliko South Africa.

Asia kuna Afghanistan, Pakistani, Iraq, Yemen kule magenge ya wahuni ni nje nje unakuta mtu yuko saluni na AK47 anayoa. Kinyozi ana hand launcher Anti-aircraft na siraha za hatari hapo jirani.
Congo ni cha mtoto kwa South africa wacongo ni vibaka tu lkn South Africa ni wahuni

Sent from my PRA-LA1 using JamiiForums mobile app
 
Hawawezi fanya yote hayo bila pesa sasa wakatafute nini ulaya wakati vipo south
Shida sio kwenda ulaya shida hana vigezo vya kwenda ulaya wa south wengi wemeridhika na maisha n'a uchumi wa SA unamilikiwa n'a weupe wenyeji ni maskini tu ila wameridhika n'a umaskini wao wakila ugali na kulewa ndio maisha wameshamaliza

Sent from my PRA-LA1 using JamiiForums mobile app
 
Nenda siku moja Mkuu. Actually, South Africa ipo Africa by location ile ni Ulaya. Tena ukifika Johannesburg chukua hotel kule New City halafu starehe kafanyie Old City ndio kuna bata za kufa mtu. Ila hakikisha hapo hotelini kwako wamekupa mtu wa kukusindikiza (anayejua mkono) ndio uende Old City. Hapo utafurahia bata za huko.
Adult clubs na ma-stripper na ile miili daaaaah. Mpaka mwenyeji anakushtua oyaaa muda umeenda tusepe
 
Sasa hujatembea sehemu zingine za dunia unataka kusema South Africa ndio sehemu hatari ya kuishi.

Kuna nchi kama Haiti, El Salvador hizi ni moto wa kuotea mbali raia karibu wote washapinda.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Elewa mantiki ya member kuleta uzi huu

Yeye anaongelea SA kwa sababu ni sehemu ambayo kibongobongo unaweza kwenda kubeti maisha; sasa Haiti na El Salvador kuna wabongo wanakwenda kutafuta maisha huko?
 
mwezi wa 10 last yeakr niliingia south Africa. Ila February nikarud bongo nilifanikiwa kutembelea mikoai karibu yote

South Africa kimaendeleo imezidi nchi nyingi sana za ulaya ,Asia ,na america yaani south Africa ipo mbali san kiuchumi.

Tatizo Ina raia wenye hasira sana mara nyingi ni watu wenye kinyongo na kulipa kisasi yan dakika sifuri tu unawezA kupoteza uhai

Swala la mapenzi south Africa ni next level Kuna mchezo unaitwa sleep over.
Yani unawezA kukutana bint kituo Cha tren ukaomba namba ukifika home unamuomba aje alale kwako simply anakuja kesho anaondoka then unatafuta mwingine simply tu.

Shule south Africa wanafunzi wanavaa nusu uchi kama south Korea .
Ushoga na usagaji kwao sio kitu Cha kushangaza.
Mexico, Colombia, Chile, El Salvador, Venezuela, Peru, na Ecuador huko ndipo wanakaa watu katili wasio ogopa kifo Wala serikali
 
Dawa pekee ya uhalifu ni bunduki.
Ni kuwaua wahalifu wote,ukikutwa na bunduki Sali sala zako za mwisho.
Kabla ya kuuwawa upewe mateso utaje kundi lako lote kisha ni kuwatembezea bunduki wote.
Mbona makaburu walikomesha uhalifu hawakucheka na takataka.
Sio kila mtu anatakiwa kuishi duniani wengine yatakiwa warejeshwe kuzimu walipotoka kwa lazima.
China,uarabuni wezi wanapigwa chuma tu ndo maana ukuti ushenzi huo,hata Rwanda tu chakula cha mwizi ni risasi.
Kuna miamba huko America ya kusini wana territories kabisa na hata jeshi wala polisi hawaingii au kusogeza pua zao
Mfano ni Brazil kwenye zile favella / slums za Rio De Janeiro kule kwenye milima
Kule kuna wahuni wanamiliki machine guns na silaha nyingine nzito na mpaka serikali ya mwanajeshi yule aliyepita , yule Rais aliyepita kabla ya huyu Da Silva , walipelekwa polisi kule wanauawa kama panya ,wakapelekwa wanajeshi ndio mpaka sasa wanapambana na hao wahuni ila hali ni mbaya , ile ni war zone kabisa , wale wahuni wameshindikana
 
Back
Top Bottom