bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Sheria haiwezi maliza uhalifu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kudanganya watu SA ni hatari kuishi kwa africa na ipo top ten ya nchi hatari duniani lkn haiwez kuifikia mexicoWa South Africa ni mafia sana kuzid mexico
Mbona Skudu Makudubela amezamia Tanzania?Nadra kukuta kijana wa kisauzi ana ndoto za kuzamia ulaya akafanye nini wakati kila kitu anapata south
Wa south wanawake ni wakawaida sana huwez fananisha n'a warangi wanyaturu au wairaq kwa uzuri labda ww km kwenu mbeya au njombe ndio utaona wanawake wa SA wazuriMmmh mzee acha kujidanganya mimi zaidi ya miaka kumi naenda kila mwezi na nimetembea sehemu nyingi africa hakuna hata ukaribu wa southafrica na nchi yetu ni mbingu na ardhi
Congo ni cha mtoto kwa South africa wacongo ni vibaka tu lkn South Africa ni wahuniNakubaliana na wewe ni baada ya Rais Bitozi Bukele kuua magenge yote ya wahuni, pigwa risasi hadharani ukinusurika na kuuwawa na polisi unaishia jela, miaka 2 nchi ina usalama wa hali ya juu.
Ila sidhani South inawafikia Mexico, Columbia na Haiti. Kule uhalifu ni mkubwa sana.
Ukija Afrika, Central Africa, Congo DRC, South Sudan, Somalia, Nigeria nk ni worse kuliko South Africa.
Asia kuna Afghanistan, Pakistani, Iraq, Yemen kule magenge ya wahuni ni nje nje unakuta mtu yuko saluni na AK47 anayoa. Kinyozi ana hand launcher Anti-aircraft na siraha za hatari hapo jirani.
Mh we nawe embu baki huko huko kwenu singidaWa south wanawake ni wakawaida sana huwez fananisha n'a warangi wanyaturu au wairaq kwa uzuri labda ww km kwenu mbeya au njombe ndio utaona wanawake wa SA wazuri
Sent from my PRA-LA1 using JamiiForums mobile app
Los zetas kuna mtu alikua anaitwa el taleban , balaa sanasio movie mzee ingia dark web uone dismemberment, decapitations nk
Wa south wana nini sasa cha maana labda kutembea uchi tu lkn wanawake ni km wanyakyusa tuMh we nawe embu baki huko huko kwenu singida
Halaf mm sio msingida mm ni Brazilian nchi yenye wanawake wazuri kuliko nchi yoyote duniani achana na sokwe wa SA ww unasema eti ni wazuri labda wazuri kulinganisha na ww ulivyoMh we nawe embu baki huko huko kwenu singida
karachi pakistaniCongo?
Afghanistan?
South Sudan?
Ndo naniMbona Skudu Makudubela amezamia Tanzania?
Acha fix.
Shida sio kwenda ulaya shida hana vigezo vya kwenda ulaya wa south wengi wemeridhika na maisha n'a uchumi wa SA unamilikiwa n'a weupe wenyeji ni maskini tu ila wameridhika n'a umaskini wao wakila ugali na kulewa ndio maisha wameshamalizaHawawezi fanya yote hayo bila pesa sasa wakatafute nini ulaya wakati vipo south
Adult clubs na ma-stripper na ile miili daaaaah. Mpaka mwenyeji anakushtua oyaaa muda umeenda tusepeNenda siku moja Mkuu. Actually, South Africa ipo Africa by location ile ni Ulaya. Tena ukifika Johannesburg chukua hotel kule New City halafu starehe kafanyie Old City ndio kuna bata za kufa mtu. Ila hakikisha hapo hotelini kwako wamekupa mtu wa kukusindikiza (anayejua mkono) ndio uende Old City. Hapo utafurahia bata za huko.
Wana uhuni wa kutembea tumbo waziMexico sio Nchi ile unakuta karibu watu wengi wamejichora tattoo wao wanazielewa wewe ambae hauna tattoo yeyote unaweza kumuuliza kitu akakuangalia tu au akivurugwa anakuchapa risasi ile ndio Nchi niliona mtu anatumwa dukani anakumbushwa kuchukua na bastola...
Uongo wangu nn naona unapost picha za wazungu n'a hela tu kwanza mtu unaitwa afande una akili timamu?
Elewa mantiki ya member kuleta uzi huuSasa hujatembea sehemu zingine za dunia unataka kusema South Africa ndio sehemu hatari ya kuishi.
Kuna nchi kama Haiti, El Salvador hizi ni moto wa kuotea mbali raia karibu wote washapinda.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Mexico, Colombia, Chile, El Salvador, Venezuela, Peru, na Ecuador huko ndipo wanakaa watu katili wasio ogopa kifo Wala serikalimwezi wa 10 last yeakr niliingia south Africa. Ila February nikarud bongo nilifanikiwa kutembelea mikoai karibu yote
South Africa kimaendeleo imezidi nchi nyingi sana za ulaya ,Asia ,na america yaani south Africa ipo mbali san kiuchumi.
Tatizo Ina raia wenye hasira sana mara nyingi ni watu wenye kinyongo na kulipa kisasi yan dakika sifuri tu unawezA kupoteza uhai
Swala la mapenzi south Africa ni next level Kuna mchezo unaitwa sleep over.
Yani unawezA kukutana bint kituo Cha tren ukaomba namba ukifika home unamuomba aje alale kwako simply anakuja kesho anaondoka then unatafuta mwingine simply tu.
Shule south Africa wanafunzi wanavaa nusu uchi kama south Korea .
Ushoga na usagaji kwao sio kitu Cha kushangaza.
Kuna miamba huko America ya kusini wana territories kabisa na hata jeshi wala polisi hawaingii au kusogeza pua zaoDawa pekee ya uhalifu ni bunduki.
Ni kuwaua wahalifu wote,ukikutwa na bunduki Sali sala zako za mwisho.
Kabla ya kuuwawa upewe mateso utaje kundi lako lote kisha ni kuwatembezea bunduki wote.
Mbona makaburu walikomesha uhalifu hawakucheka na takataka.
Sio kila mtu anatakiwa kuishi duniani wengine yatakiwa warejeshwe kuzimu walipotoka kwa lazima.
China,uarabuni wezi wanapigwa chuma tu ndo maana ukuti ushenzi huo,hata Rwanda tu chakula cha mwizi ni risasi.