ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kwani Waziri akikemea ndio halijirudii? Toa upuuzi wewe,Ummg alikuwa maarufu wa kukemea hayo mambo vipi yaliacha kujirudia?Kuchukulia hatua ni jambo moja, wqziri kusimaama na kukemea ili isijirudie tena ni jambo la pili
Kiutendaji, kimamlaka Boss wao ni mmoja tu . Wote ni presidential appointment. Waziri hawezi kumtumbua RC , anachoweza kufanya ni kumsagia kunguni yaani kupeleka umbeaRC bosi mabosi zake ni Mawaziri wote.
Ndo maana huwa wanataka maelekezo kupitia ma RC.
Nchenherwa na makonda wote wanafanya KAZI vzr.
Makonda Kuna wakati anaropoka ovyo Hana utulivu.
Miongozo ifuatishweKwani Waziri akikemea ndio halijirudii? Toa upuuzi wewe,Ummg alikuwa maarufu wa kukemea hayo mambo vipi yaliacha kujirudia?
Kati ya kukemea bila hatua na kuchukua hatua bila matamko ni kipi kuko effective?
Mwisho ndio maana Waziri amemkemea Konda aache upuuzi
uko nchi gani?Makonda alisema nini na waziri kasema nini
Na ukishajua Tamisemi ni nini itakusaidia niniTamisemi ni nini na Inasimamiwa na nani?
Madiwani wapo chini ya wizara gani mkuu?
Una f wa m n ge wewe. Hauna akili wala weledi wa kumkashifu Makonda. Watanzania tunampenda Makonda!Shida ni moja, Makonda kichwani hamna kitu. Yeye ndiye msimamizi wa serikali mkoani, chini ya usimamizi wake, Muriet haina barabara. Pamoja na hayo yeye anaamini Mwenyekiti wa Mtaa ana fungu la kuitengeneza.
Huo ndio unaitwa upumbavu
Sina upendeleoMkuu wote Makonda na Mchengerwa wapo hapo kwa nepotism, hakuna mwenye nafuu.
Sema ukweli, naona nawe una upendeleo unaoupinga!!!
kwa nini yule mwingine naye asifukuzwe kazi, au unasaba?Makonda na Mchengerwa wote wanabebwa tu.
Kwenye hili bifu atakaefukuzwa kazi anajulikana huhitaji D2 kujua.
Tuliambiwa ana kifua kipana, (elewa neno kifua kipana)kwa nini yule mwingine naye asifukuzwe kazi, au unasaba?
Makonda ni mchapa kazi?? Kazi zipi? Uchapakazi unaanzia kwenye plans. Makonda ana plans zipi zaidi ya kutrend na matukio?Kwa sababu hujui ladha ya kuwa na kiongozi mchapa kazi
Mchengerwa ni mvivu na ufanyaji wake kazi ni wa matukio
Makonda apewe hiyo nafasi
Hii umeiweka vizuri sana mkuu,asanteMchengerwa ni mume wa Wanu Hafidh binti pekee wa Samia Suluhu Hassan na Makonda ni chawa anayetafuta wa kunyonya. Hivyo, hiyo ndiyo shida yao. Mchengerwa ni mkwe wa malkia. Makonda ni mbwaa wa malkia. Mchengerwa ni mjanja. Makonda ni kanjanja na msanii wa kawaida tu. Mchengerwa na Makonda wanafanana kuwa wote hawafai hata kuongoza kundi la chawa achia mbali binadamu.
Kama Makonda alitoa kauli ambayo sio ya SERIKALI, ni nani anapaswa kuikana ?
Ni Mchengerwa au Gerson Msigwa.
Kikawaida ? ,
Ukitizama vizuri ndani yake kuna chuki kubwa dhidi ya Utendaji wa Makonda.
Mchengerwa hana mandate juu ya mkuu wa Mkoa, RC ni presidential appointment na Waziri ni presidential appointements hivyo wote wapo sawa mbele ya boss.
Makonda sio mwanasiasa ni mtendaji, Mchengerwa ambae amefika hapo alipo from Nepotism sijawqhi kuona utendaji wake wenye TIJA. Ni anafanya siasa kuliko utendaji.
TAMISEMI inahitaji mtu mwenye weledi na mchapa kazi. Ni Wizara yenye changamoto nyingi mno za kiutendaji na hazijawahi kupatiwa majibu.
Hii wizara akipewa makonda mtashangaa wimbi la malalamiko streaming from TAMISEMI from wananchi hadi watumishi wa Umma.
Ajira yangu ya kwanza ilikuwa kwenye Hospital moja iliyochini ya Tamisemi mkoani Kagera……nilifanya kazi masaa 48 tu , nikaona kabisa huku ninaenda kuua carrer path yangu, chap nikakimbia na kurudi Town, ni wizara yenye mambo ya hovyo na kila kitu ni dili….. majungu, umbea, wizi, ushirikina, kusagiana kunguni….
Mchengerwa akishirikiana na Maulid Kitenge wanachuki sana na utendaji wa makonda na wanatamani snaa kumsagia kunguni…. But hawatoweza maana makonda ni mtendaji by nature.
MAKONDA apewe hii WIZARA! tutajionea mengi. Tutaona kama yaliyomo yamo.
Kauli aliyotoa Makonda ni SAHIHI.
Viongozi wanatakiwa wawajibishwe, na viongozi wengi ni mazero brain…. yanaenda ofisini kuzuga zuga na kupiga dili fake huku wananchi wanakosa huduma, check barabara zinazojengwa chini ya TAMISEMI, manyunyu tu … barabara zimeshaweka mashimo….hapo imepigwa hela na hakuna huduma
I wonder Mchengerwa alipataje hii WIZARA.
Mama wa Babati amekufa kwa kunyimwa ANTIVENOM, waziri hujasimama kukemea hivi vitendo vya watumishi walio chini ya Wizara yake ila umeona la makonda ambalo halikuwa na TIJA! hii ni chuki na majungu ya utendaji.
Amekufa kibao , did you Even comment ? Kuna matukio mengi chini ya TAMISEMI ya hovyo hujawahi kufanyia kazi.
Makonda is far better na hamuwezi ku slow down utendaji wake…..uchapakazi upo kwenye damu yake, nyie endeleeni kubebana kwenye Nepotism, kwanza ni Conflict of interest kwenye utumishi, unakuaje Waziri wakati Mama wa mke wako ni Rais wa nchi, usiniambie hakuna manoveur yaliyofanyika!?
Hatuwezi kuwa na taifa la NEPOTISM
Mji wa Arusha ulikuwa unapotea kwenye Ramani…., Mchengerwa hujawahi kuwa chochote kitu kwenye mkoa wetu ; makonda ameurudisha kwenye Ramani.
Nepotism is bad
Dr Megalodon
Ottawa
Kuna tofauti gani kati ya siasa na utendaji mbona mis entrprite neno siasa (policy) siasa ni aproch au namna ya kufanya jamboKama Makonda alitoa kauli ambayo sio ya SERIKALI, ni nani anapaswa kuikana ?
Ni Mchengerwa au Gerson Msigwa.
Kikawaida ? ,
Ukitizama vizuri ndani yake kuna chuki kubwa dhidi ya Utendaji wa Makonda.
Mchengerwa hana mandate juu ya mkuu wa Mkoa, RC ni presidential appointment na Waziri ni presidential appointements hivyo wote wapo sawa mbele ya boss.
Makonda sio mwanasiasa ni mtendaji, Mchengerwa ambae amefika hapo alipo from Nepotism sijawqhi kuona utendaji wake wenye TIJA. Ni anafanya siasa kuliko utendaji.
TAMISEMI inahitaji mtu mwenye weledi na mchapa kazi. Ni Wizara yenye changamoto nyingi mno za kiutendaji na hazijawahi kupatiwa majibu.
Hii wizara akipewa makonda mtashangaa wimbi la malalamiko streaming from TAMISEMI from wananchi hadi watumishi wa Umma.
Ajira yangu ya kwanza ilikuwa kwenye Hospital moja iliyochini ya Tamisemi mkoani Kagera……nilifanya kazi masaa 48 tu , nikaona kabisa huku ninaenda kuua carrer path yangu, chap nikakimbia na kurudi Town, ni wizara yenye mambo ya hovyo na kila kitu ni dili….. majungu, umbea, wizi, ushirikina, kusagiana kunguni….
Mchengerwa akishirikiana na Maulid Kitenge wanachuki sana na utendaji wa makonda na wanatamani snaa kumsagia kunguni…. But hawatoweza maana makonda ni mtendaji by nature.
MAKONDA apewe hii WIZARA! tutajionea mengi. Tutaona kama yaliyomo yamo.
Kauli aliyotoa Makonda ni SAHIHI.
Viongozi wanatakiwa wawajibishwe, na viongozi wengi ni mazero brain…. yanaenda ofisini kuzuga zuga na kupiga dili fake huku wananchi wanakosa huduma, check barabara zinazojengwa chini ya TAMISEMI, manyunyu tu … barabara zimeshaweka mashimo….hapo imepigwa hela na hakuna huduma
I wonder Mchengerwa alipataje hii WIZARA.
Mama wa Babati amekufa kwa kunyimwa ANTIVENOM, waziri hujasimama kukemea hivi vitendo vya watumishi walio chini ya Wizara yake ila umeona la makonda ambalo halikuwa na TIJA! hii ni chuki na majungu ya utendaji.
Amekufa kibao , did you Even comment ? Kuna matukio mengi chini ya TAMISEMI ya hovyo hujawahi kufanyia kazi.
Makonda is far better na hamuwezi ku slow down utendaji wake…..uchapakazi upo kwenye damu yake, nyie endeleeni kubebana kwenye Nepotism, kwanza ni Conflict of interest kwenye utumishi, unakuaje Waziri wakati Mama wa mke wako ni Rais wa nchi, usiniambie hakuna manoveur yaliyofanyika!?
Hatuwezi kuwa na taifa la NEPOTISM
Mji wa Arusha ulikuwa unapotea kwenye Ramani…., Mchengerwa hujawahi kuwa chochote kitu kwenye mkoa wetu ; makonda ameurudisha kwenye Ramani.
Nepotism is bad
Dr Megalodon
Ottawa