Wabongo wanachojua n wivu tu na roho mbayayani hadi soda nazo ni makapi?
hadi kwenda kukojoa nako huduma ni duni?
we kijana TAFUTA HELA wenzako wametumia mamilioni kuwekeza kwenye hospitality industry halafu wewe unatumia bando la jero kutukana juhudi za wenzio..
Pumbafuck
Wameongea na madereva, Dereva anakula na kondakta wanakula bure na dereva anapata sh 10,000 kila akisimama pale,either uamue kupewa hapo hapo au yote kwa mwezi ni makubaliano yenuHuwa kama sio hotel ya wenye mabus basi hayo mabus wamiliki huwa wanapata comission kila baada ya muda fulani.
Yani utakuta mwenye hotel anakula deal na mwenye bus zikipita hapo kwa mwezi anampatia commission kiasi fulani.
Kiukweli kama unasafiri na nilazima ule njiani basi bora tu uandae msosi wako nyumbani ubebe take away. Otherwise ni heri ukanunua vi bites bites tu na maji maana kinachoendelea ni wizi mtupu.
Serikali iingilie kati.
ukipata muda kwenda kwenye majiko wanakopikia, na usafi wa hao watu kabla na baada ya kutembelea msalani, siharibu biashara za watu ila muwe makini sana na matumbo yenu. usipoharisha leo, unaweza kupata taifodi itakayoibuka kesho. kuna siku niliwahi kula chakula pale al jazeera kabla ya kitonga, nilijuta. unaweza kuomba ushukie iringa hata kama ulikuwa hauishii hapo ili upate huduma ya choo bila bughudha. kuna mwamba mmoja alishawahi kujititia kabisa tena mwanaume kwenye basi kwasababu ya kulakula safarini hiyohiyo. kwahuruma akashuka katikati ya safari basi lote harufu. na hawa wenye mabasi wabaya sana, akisimama morogoro dakika 10, ataenda kusimama sehemu moja tu kabla hajafika kituo cha mwisho cha saa 12 jioni.Je, ni kwamba hizi hotel zinamilikiwa na hawa wenye mabasi au wenye mabasi wanapata nini hapa maana unakuta mabasi yanaendelea kusimama katika hotel hizihizi licha ya hotel kuwa na;
Huduma mbovu na ghali - Vyakula ni ghali hlf vina viwango duni. Unaagiza chakula ni basi tu kupooza njaa lakini kimsingi unakula makapi! Chipsi na zile nyama choma haviivi inavyotakiwa.
Mazingira mazima hasa chooni machafu na yasiyoridhisha.
Hapa shida ni nini wakuu? Maana siamini kama hakuna wawekezaji wanaoweza kuweka mzigo huko na kutoa huduma ya kueleweka.
Ndizi moja bukuKuna hapo nangulukuru aiseee chipsi vijiko viwili tu ni 2000 tsh. Kuna siku kidogo nisuse ila nikaona sio kweli basi nikachukua kinyonge tu.
Nilikula wali wa ovyo hotel sijui ya kilimanjaro,plate elfu nane etiyani hadi soda nazo ni makapi?
hadi kwenda kukojoa nako huduma ni duni?
we kijana TAFUTA HELA wenzako wametumia mamilioni kuwekeza kwenye hospitality industry halafu wewe unatumia bando la jero kutukana juhudi za wenzio..
Pumbafuck
Wakuu kama nanyie mnahusika msaidie kufikishia wenzenu ujumbe huu. Tumechoka.Wabongo wanachojua n wivu tu na roho mbaya
Una hoja ya msingi. Hizo hotel ziko za aina mbili. Kuna ambazo wenyewe ni wamiliki wa hayo mabasi hivyo hupata faida ya moja kwa moja kutokana na wateja kuhudumiwa hapo. Na nyingine ni za wajanja tu wameamua kujenga sehemu za porini halafu wakaongea na madereva ili wawe wanasimama hapo. Kawaida madereva hupewa chakula na vinywaji vya bure na pengine posho ya fedha.Je, ni kwamba hizi hotel zinamilikiwa na hawa wenye mabasi au wenye mabasi wanapata nini hapa maana unakuta mabasi yanaendelea kusimama katika hotel hizihizi licha ya hotel kuwa na;
Huduma mbovu na ghali - Vyakula ni ghali hlf vina viwango duni. Unaagiza chakula ni basi tu kupooza njaa lakini kimsingi unakula makapi! Chipsi na zile nyama choma haviivi inavyotakiwa.
Mazingira mazima hasa chooni machafu na yasiyoridhisha.
Hapa shida ni nini wakuu? Maana siamini kama hakuna wawekezaji wanaoweza kuweka mzigo huko na kutoa huduma ya kueleweka.
duh kuna kijiwe msolwa pale, aisee, wale ndio wanapika chakula. mbuzi choma, ng'ombe na ni wasafi, pembeni kuna supermarket kubwa. safi sana.Mmeshakula MSOLWA-CHALINZE NYIE??pale msosi mtamu balaaa nikiwa na gari la kazini lazima dereva nimwambie aingie walau nile mbavu za Mbuzi hata kama nimeshiba
Kauli ya kizembe kabisa hii.Kama vipi rudi kwenye ule utaratibu waliotumia wazazi wako enzi hizo wanasafiri. Yaani ule usiku wa kuamkia siku ya safari, andaa chakula chako kizuri! Weka kwenye chombo chako kisafi! Safiri nacho.
Kwa hiyo wakati wenzako wanashuka kwenda kununua hivyo vyakula bibaya, na vya bei kubwa! Wewe nenda kachimbe dawa tu na kurudi kwenye basi. Njaa ikikuuma, unakula chakula chako.
Kulalamika lalamika tu hovyo wakati mwingine kunaweza kukupunguzia siku za kuishi.
Umeandika vitu ambavyo havipo...Kama vipi rudi kwenye ule utaratibu waliotumia wazazi wako enzi hizo wanasafiri. Yaani ule usiku wa kuamkia siku ya safari, andaa chakula chako kizuri! Weka kwenye chombo chako kisafi! Safiri nacho.
Kwa hiyo wakati wenzako wanashuka kwenda kununua hivyo vyakula bibaya, na vya bei kubwa! Wewe nenda kachimbe dawa tu na kurudi kwenye basi. Njaa ikikuuma, unakula chakula chako.
Kulalamika lalamika tu hovyo wakati mwingine kunaweza kukupunguzia siku za kuishi.
Hahaa ukisema mikweche nshakujua kabila lako!Tatizo unapanda mikweche. Panda ma bus ya maana uone huduma zao