spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Najua njia ni Dar _ Arusha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole. Unatakiwa kuridhika na hali halisi unayokutana nayo. Maana siyo rahisi kupata kila kitu unachokipenda kwa ubora unaoutaka wewe.Umeandika vitu ambavyo havipo...
Nimetoka Dar es salaam kwenda mbeya Kama mfanyabiashara/ mfanyakazi nimelala lodge Kwa siku mbili siku ya kurudi kutoka mbeya atanipikia nani ili nibebe chakula!
Na sio Kila mtu anaweza kubeba mahotpot safarini
Huwa kama sio hotel ya wenye mabus basi hayo mabus wamiliki huwa wanapata comission kila baada ya muda fulani.
Yani utakuta mwenye hotel anakula deal na mwenye bus zikipita hapo kwa mwezi anampatia commission kiasi fulani.
Kiukweli kama unasafiri na nilazima ule njiani basi bora tu uandae msosi wako nyumbani ubebe take away. Otherwise ni heri ukanunua vi bites bites tu na maji maana kinachoendelea ni wizi mtupu.
Serikali iingilie kati.
Kuna hapo nangulukuru aiseee chipsi vijiko viwili tu ni 2000 tsh. Kuna siku kidogo nisuse ila nikaona sio kweli basi nikachukua kinyonge tu.
Hii ndio sababu nikiwa natokea nyanda za juu kusini napenda kupanda basi za abc- nashukia kwenye hotel yao pale morogoro kula.Pole. Unatakiwa kuridhika na hali halisi unayokutana nayo. Maana siyo rahisi kupata kila kitu unachokipenda kwa ubora unaoutaka wewe.
Ni kweli, vyakula vya huko vinauzwa thrice the price. Nilishaachaga huo ujinga. Maana gharama ya njiani unatumia mara tatu ya kawaida na still hata quality hupati unaishia kuumwa tumbo. WTF? Unanunua ugonjwa bei ghali?Mimi nimeshaacha kununua vyakula na vinywaji,huwa nafungasha toka home au stendi kabla sijaondoka,mana wale wauzaji wa hizo hotel huwa wanatafuta super profit.
ukipata muda kwenda kwenye majiko wanakopikia, na usafi wa hao watu kabla na baada ya kutembelea msalani, siharibu biashara za watu ila muwe makini sana na matumbo yenu. usipoharisha leo, unaweza kupata taifodi itakayoibuka kesho. kuna siku niliwahi kula chakula pale al jazeera kabla ya kitonga, nilijuta. unaweza kuomba ushukie iringa hata kama ulikuwa hauishii hapo ili upate huduma ya choo bila bughudha. kuna mwamba mmoja alishawahi kujititia kabisa tena mwanaume kwenye basi kwasababu ya kulakula safarini hiyohiyo. kwahuruma akashuka katikati ya safari basi lote harufu. na hawa wenye mabasi wabaya sana, akisimama morogoro dakika 10, ataenda kusimama sehemu moja tu kabla hajafika kituo cha mwisho cha saa 12 jioni.
HaswaaaHuwa kama sio hotel ya wenye mabus basi hayo mabus wamiliki huwa wanapata comission kila baada ya muda fulani.
Yani utakuta mwenye hotel anakula deal na mwenye bus zikipita hapo kwa mwezi anampatia commission kiasi fulani.
Kiukweli kama unasafiri na nilazima ule njiani basi bora tu uandae msosi wako nyumbani ubebe take away. Otherwise ni heri ukanunua vi bites bites tu na maji maana kinachoendelea ni wizi mtupu.
Serikali iingilie kati.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo nimecheka had baasKuna hapo nangulukuru aiseee chipsi vijiko viwili tu ni 2000 tsh. Kuna siku kidogo nisuse ila nikaona sio kweli basi nikachukua kinyonge tu.
Sasa hiyo ni hotel?Mmeshakula MSOLWA-CHALINZE NYIE??pale msosi mtamu balaaa nikiwa na gari la kazini lazima dereva nimwambie aingie walau nile mbavu za Mbuzi hata kama nimeshiba
Al Jazeera ni ni upuuzi tyuuh umejaa palee.Hao waarabu wanauza vyakula vimechacha walikua na ingine mombo imekufa ...wamefungua ingine mombo nayo haina wateja,uhakika wa chakula kizuri njia ya arusha ni korogwe tu unakula kitu fresh
Haha ukakumbuka kwamba hata ukisusa huwakomoi ukaona ubebe tu, maana wale hawabembelezagi mtu wanakutajia bei zao huku wanaendelea na shughuli nyingine, unataka nunua hutaki achaKuna hapo nangulukuru aiseee chipsi vijiko viwili tu ni 2000 tsh. Kuna siku kidogo nisuse ila nikaona sio kweli basi nikachukua kinyonge tu.
Just imagine,wasafiri wote,mmojammoja awe na private car,yupo njiani anaenda Arusha,unadhani kutakua magari mangapi,na hiyo jam umeifikiria?Tumia private car chagua eneo la kula
1. Dereva na kondakta hula chakula bureJe, ni kwamba hizi hotel zinamilikiwa na hawa wenye mabasi au wenye mabasi wanapata nini hapa maana unakuta mabasi yanaendelea kusimama katika hotel hizihizi licha ya hotel kuwa na;
Huduma mbovu na ghali - Vyakula ni ghali hlf vina viwango duni. Unaagiza chakula ni basi tu kupooza njaa lakini kimsingi unakula makapi! Chipsi na zile nyama choma haviivi inavyotakiwa.
Mazingira mazima hasa chooni machafu na yasiyoridhisha.
Hapa shida ni nini wakuu? Maana siamini kama hakuna wawekezaji wanaoweza kuweka mzigo huko na kutoa huduma ya kueleweka.
Wanaringa sanaHaha ukakumbuka kwamba hata ukisusa huwakomoi ukaona ubebe tu, maana wale hawabembelezagi mtu wanakutajia bei zao huku wanaendelea na shughuli nyingine, unataka nunua hutaki acha
Yeah kwa Morogoro sehemu nzuri za kula na kuchimba dawa ni hapo Cate hotels na pale Msolwa kituo cha mafuta, ila Msamvu ni upuuzi mtupu na huko ndiko mishikaki ya paka na mbwa, na vikorokoro vingine vya ajabu ajabu hupatikana sanaHii ndio sababu nikiwa natokea nyanda za juu kusini napenda kupanda basi za abc- nashukia kwenye hotel yao pale morogoro kula.
Mazingira yapo safi japo Bado gharama haziendani na vyakula
Kwani route nyingi hawajifunzi kuwa na hotel bora kama kaskazini?Yeah kwa Morogoro sehemu nzuri za kula na kuchimba dawa ni hapo Cate hotels na pale Msolwa kituo cha mafuta, ila Msamvu ni upuuzi mtupu na huko ndiko mishikaki ya paka na mbwa, na vikorokoro vingine vya ajabu ajabu hupatikana sana