Zabron Hamis
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 7,093
- 11,377
Safari ya mwanza dar, HAPPY NATION na ALLY'S ndio mabus yanayosimama sehemu inayojielewa. Hao wengine ni upupu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbuzi na kakipznde cha nyama elfu 6 au 8 nilipita paleMmeshakula MSOLWA-CHALINZE NYIE??pale msosi mtamu balaaa nikiwa na gari la kazini lazima dereva nimwambie aingie walau nile mbavu za Mbuzi hata kama nimeshiba
Hahahahahah ndio bei za njiani. Kipindi nasoma chuo ilikuwa ni hiphop tu nikifika hotelini nachukua bavaria yangu naisubiria Dar tu.Mbuzi na kakipznde cha nyama elfu 6 au 8 nilipita pale
Swali la kijinga, utasafiri bila kula? Hujui kazi na dawa?Kwani braza wewe ulipanda basi usafiri au ulipanda basi ukale chips?
Kama unataka kula si upike nyumbani kwako.Swali la kijinga, utasafiri bila kula? Hujui kazi na dawa?
Jana nilitoka safari yangu kutoka Dodoma na Bus la Shabiby tulipofika Morogoro tulipelekwa kula kwenye hotel mbovu sana, vyakula hivyo kabisa, hivyo vyoo ni vichafu sana mimi na Abiria mwenzangu tukahoji lakini hawakuwa na majibu ya kutoshaJe, ni kwamba hizi hotel zinamilikiwa na hawa wenye mabasi au wenye mabasi wanapata nini hapa maana unakuta mabasi yanaendelea kusimama katika hotel hizihizi licha ya hotel kuwa na;
Huduma mbovu na ghali - Vyakula ni ghali hlf vina viwango duni. Unaagiza chakula ni basi tu kupooza njaa lakini kimsingi unakula makapi! Chipsi na zile nyama choma haviivi inavyotakiwa.
Mazingira mazima hasa chooni machafu na yasiyoridhisha.
Hapa shida ni nini wakuu? Maana siamini kama hakuna wawekezaji wanaoweza kuweka mzigo huko na kutoa huduma ya kueleweka.
Mtego huo kimbia mbali utakula ban sasaivi😆Swali la kijinga, utasafiri bila kula? Hujui kazi na dawa?
HahahahahahahahahahaKwani braza wewe ulipanda basi usafiri au ulipanda basi ukale chips?
sio kila mada lzm uchangie , kuna umuhimu gan ww kuuza chips elf 3 wkt sehem husika viaz ni bei chini kuliko dar , ukiwq mjinga utastuka shida ikiwa mlangonYani hadi soda nazo ni makapi?
Hadi kwenda kukojoa nako huduma ni duni?
We kijana TAFUTA HELA wenzako wametumia mamilioni kuwekeza kwenye hospitality industry halafu wewe unatumia bando la jero kutukana juhudi za wenzio..
unasafir kwa dk 5 unakuwa umefika?Kwani braza wewe ulipanda basi usafiri au ulipanda basi ukale chips?
Acha barabara ya tabora dar hakuna hoteli ya maana, vyakula vyakulala halafu bei juuJamaa labda kalenga kwenye bei,nilisafiri kwenda tabora,aisee kila unachogusa bei ghali harafu ukicheki mpo3,utalia aiseee
Mimi na wife tuliandaa chips nyingi tu tulipofika kwenye basi asante rabi tukapewa chai ya maziwa milo tukajikuta tumeunga na zile chipsi ikanidi singida tununue chakula tena sijui wengine mnawezaje hii
au sio!sio kila mada lzm uchangie , kuna umuhimu gan ww kuuza chips elf 3 wkt sehem husika viaz ni bei chini kuliko dar , ukiwq mjinga utastuka shida ikiwa mlangon