Kuna siri gani kati ya mwanaume mrefu mweusi na wanawake?


Beta vibes. You's a better man than I.
 
Ila kwenye makalio tumedumu sana.makalio yana kitu
 
Manabii wengi waliferishwa na WAnawake kwenye huduma zao,,,,,,Hawa WAnawake Hawa kama Kuna mtu anae jua wanachoitaji aniambie nijue namimi,,,,,nimama zetu ni dada zetu tunashindwa kusema sana
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ww fala xnaaa ila una akiliii [emoji23][emoji23][emoji23]
 
ila haya yote wanayoyatafuta ndio hubaki kuwa single mothers at the end.
 
Hii movie gani uliangalia 🤣🤣
 
Ulituona wapi mrembo?
 
Urefu na ufupi,weupe na weusi sio kipaumbele kwangu.......Ana akili TIMAMU?....TIMAMU jamani anazooo????
Oooooh Isije huko mbele ukamuona ni Goliath yanapoanza mambo ya kutumia akili.
Uko sahihi J, halafu hao wanaosema wanaume warefu eti wana mizigo kunako boksa sio kweli kuna mkaka ni mrefu sana anaweza kumzidi yule mabangi wa clouds anaewapigaga wenzie ila ndg ni ana kibamia pro max km kidole cha kati yani kidudu km cha mtoto wa darasa la tano
 
Eeeh usiniambie alikukula nacho hicho kidude chake kama kidole cha kati?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…