Kuna siri gani kati ya Wachaga na Mwisho wa Mwaka?

Wana nyumba za kufikia na hawana uchawi kama makabila mengine kule ni mashindano wengine mukienda kijijini kwenu na gari ndio kwisha tata so acha watanue ili wawe chachu za maendeleo. Na wewe jenga kwenu uone!!!!!!!!!!
 
tuna group yetu fb tupo watu 780 kwanza tunaenda kutoa fungu letu la kumi kwa kituo cha watoto yatima kipo pale vilage tutakesha nao tar 24 then mishemishe zingine just imagine itakavikuwa poa
Weeee Smiley, hamtaki member mpya?
Hiyo imetulia kweli.
 
itadipendi na wewe ni wa ukoo gani sisi ni ukoo wa yuleeeeeeeeee mangi hatupendi uzushi. Ngoja niwasiliane na mod wa iyo kitu nitakupim lizzy
Hahahahha,kwahiyo Smiley mtakataa maombi yangu kisa mi ukoo wangu hauvumi?Come now. . .japo hatuvumi Tuna madaktari wengi pale Kibong'oto hosp so kuweni wazuri tu kabla hamjakosa huduma ikitokea mkatakiwa kwenda pale.
 
hahahahha,kwahiyo smiley mtakataa maombi yangu kisa mi ukoo wangu hauvumi?come now. . .japo hatuvumi tuna madaktari wengi pale kibong'oto hosp so kuweni wazuri tu kabla hamjakosa huduma ikitokea mkatakiwa kwenda pale.
hata sisi tunao yaani kila mahali tupo wee hadi mirembe tuna species
 
raha yake usisubiri kuhadithiwa karibu uchagani upate mbege na machalari
 
Kaka k ni nani mdau? Ulimaanisha mimi?
Mimi ni mchagga bila kuchanganya kabila. Wazazi wote wachagga.

Aiseee mbona unatuaibisha chalii wangu! yani wachagga huwa hatupigi mayowe kiasi hich ati, sisi tunafanya wanayaona wenyewe! wachagga hatujisifu sifu tunafanya vitu watu ndiyo wanatusie chalii wangu. Usirudie tena wasije wakakuita ISEMBO
 
Dah!!!hii sijui ilinipiataje?
Hapa nishamalizana na mkolon kanipa kazi za mwezi mzima nizimalize kabla ya tar 22 ili 23/12 mwendo mdundo,
Kituo cha kwanza kiborilon mwisho wa shuhuli mail sita,
Wacha kbs,najiandaa kufunja kibubu tar 20 nikifka huko ni matumisi tu kwa kwenda mbe.......mbele kweliii!!!
Euwiiiiii,yesu na maria,kutakuwa na rahaje!!!
 
dah..we acha tu, ni raha kwenda lakini kuanzia january ukiangalia account unaweza kulia!!

teh teh teh teh..! kwa yooote hongereni ila kwa hili poleeeni..! ila nasikia kwa wale wanao kaa tanga hua hawaendi bwana nasikia mijimama ya tanga ni balaaaa buwana weeewe hhhehehehehehhheheeeeeee uuuuuwiiiiiiiiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…