Kuna Siri gani katika kufanya mapenzi?

Kuna Siri gani katika kufanya mapenzi?

Inategemea, ila kama wote ni 35+ na mnajielewa hakuna shida; mfano wengine tulishaoa, ila tunahitaji kampani tu iliyo active katika kusongesha haya maisha, kama mtakutana wote ni watu wazima na mnajielewa kunakuwa hakuna shida.
 
Kama una urafiki na mwanaume au mwanaume tafadhali msipeane vitumbua na mihogo....Yaan mkipeana tu mkamwagiana bila malengo ya kuoana ....bas mmeshatengeneza uadui.Ndo maana mnashauriwa hata pahala pa Kaz msiingize mapenz....maana hiyoo ofisi itakuwa chungu kwenu au Kwa mmoja hapo mbeleni.

Maana tukubali tukatae hakuna mahusiano ya kufanya tu yanayodumu.Ndoa tu zinatengeneza uadui sembuse kumwagiana tu Kwa kurefresh mind.

Tudumishe urafiki tusimruhusu shetani akatuvuruga.Nawapenda sana.
NB:Leo nina bafua bakari sana jabani!
Dogo, shule zina funguliwa lini mrudi shuleni??
Acha kuiba simu ya Mama yako, na Kuanzisha uzi
 
Inategemea, ila kama wote ni 35+ na mnajielewa hakuna shida; mfano wengine tulishaoa, ila tunahitaji kampani tu iliyo active katika kusongesha haya maisha, kama mtakutana wote ni watu wazima na mnajielewa kunakuwa hakuna shida.
Kweli kuna mahusiano mengine yaani mnajuana tu hapa hakuna ndoa mara nyingi haya mnaachana kimjinimjini mkikumbukana mnapasha kiporo
 
Shida watu tunafanya tendo la ndoa wkt hatupo kwenye ndoa. Kama tendo Ili lingesubiri mpk ndoa ingemake sense. Otherwise watu watakula tu na kupita Kule. Maana tumeharibu uhalisia wa tendo la ndoa.
Hakuna binadamu anaweza kuzuia hormone. Hormone ndo zinacontrol maisha ya binadamu na ndo zinakuendesha uvutiwe na mwanamke.....

Labda ukatwe pumbu afu ukiingia kwenye ndoa ushonewe tena[emoji23]
 
Kama una urafiki na mwanaume au mwanaume tafadhali msipeane vitumbua na mihogo....Yaan mkipeana tu mkamwagiana bila malengo ya kuoana ....bas mmeshatengeneza uadui.Ndo maana mnashauriwa hata pahala pa Kaz msiingize mapenz....maana hiyoo ofisi itakuwa chungu kwenu au Kwa mmoja hapo mbeleni.

Maana tukubali tukatae hakuna mahusiano ya kufanya tu yanayodumu.Ndoa tu zinatengeneza uadui sembuse kumwagiana tu Kwa kurefresh mind.

Tudumishe urafiki tusimruhusu shetani akatuvuruga.Nawapenda sana.
NB:Leo nina bafua bakari sana jabani!
Vipi usiku wote huu umemwagiwa ukachukiwa?
 
Kama una urafiki na mwanaume au mwanaume tafadhali msipeane vitumbua na mihogo....Yaan mkipeana tu mkamwagiana bila malengo ya kuoana ....bas mmeshatengeneza uadui.Ndo maana mnashauriwa hata pahala pa Kaz msiingize mapenz....maana hiyoo ofisi itakuwa chungu kwenu au Kwa mmoja hapo mbeleni.

Maana tukubali tukatae hakuna mahusiano ya kufanya tu yanayodumu.Ndoa tu zinatengeneza uadui sembuse kumwagiana tu Kwa kurefresh mind.

Tudumishe urafiki tusimruhusu shetani akatuvuruga.Nawapenda sana.
NB:Leo nina bafua bakari sana jabani!
Amekojozwa mtu akaachwa
 
Back
Top Bottom