Kuna tetesi ligi kuu yetu wapo wachezaji wa nje wanakunja mpaka milioni 10 kila mwezi. Je, kuna mzawa yeyote anealipwa hata milioni 5 ?

Kuna tetesi ligi kuu yetu wapo wachezaji wa nje wanakunja mpaka milioni 10 kila mwezi. Je, kuna mzawa yeyote anealipwa hata milioni 5 ?

Kwa wachezaji wa nje wa hapa bongo wapo wanaokunja hadi dola milioni 10 lakini kwa wazawa wetu kuna utata.

Tukija kwa wachezaji wetu wa japa bongo, kunawea kuwa na yeyote anaelamba walau dola elf 3 kwa mwezi takribani milioni 7 kila mwezi ?

Kuna tetesi zipo kwamba Feisal Salum Feitoto ndie anaelipwa zaidi kuliko wachezaji wenzake ila haijabainika makadirio ni sh ngapi, wataalam tunaombeni msaada wenu kama itakuwa alau imefikia dola elf 3.

John Boccco nae kiwango kimeshuka huenda mshahara wake nao umeshuka ila kipindi yupo Hot kuna uwezekano mkubwa hakuna mzawa aliekuwa anamikia kwa mshahara.

Manula ni kipa mzuri ila inaonekana hafikii hizo level, mwaka huu alivunja mkataba na meneja wake Jemedari Said kwa tetesi kwamba kachoka kulipwa mshahara wa kawaida na Meneja wake hana uwezo wa kuwashawishi wahindi wa pale simba wampe Manula mshahara anaostahili
Dola milioni 10 unaijua wewe au unaota
 
Mleta mada ni mbumbumbu katika michezo, wachezaji kutoka nje ndo wanafanya ligi ifuatiliwe na watu wengi hasa kutoka katika mataifa husika ya wachezaji hao wanakotoka, na kuipandishia ligi na nchi yetu thaman, idiot ndo hataelewa hapa.
 
Leta ushahidi wa Manula kugoma kwenda nje usiongelee ushabiki. Hili la Ngasa lipo wazi na peupe kbs. Lofa mwingine ni Ajib akaitwa na TP MAZEMBE kaona bora aimbe Singeli.
Wakati deal ya kwenda Tp mazembe inamfikia ajibu. Ajibu alishasaini simba na pia aliona mazembe hawezi kupata namba, kitu ambacho ni halisi kabisa.
Ngasa alipoitoroka deal ya Sudan na kwenda Yanga, yanga walikuwa wanampa mil 5 kwa mwezi, japo yanga hawakutimiza ahadi ya kumlipia gharama za kuvunja mkataba wa simba hivyo Ngasa akalazimika kukopa CRDB na Akaka anakatwa kwenye hiyo mil 5, hivyo akajikuta kwa mwezi anakuja kiasi pungufu.
 
Wakati deal ya kwenda Tp mazembe inamfikia ajibu. Ajibu alishasaini simba na pia aliona mazembe hawezi kupata namba, kitu ambacho ni halisi kabisa.
Ngasa alipoitoroka deal ya Sudan na kwenda Yanga, yanga walikuwa wanampa mil 5 kwa mwezi, japo yanga hawakutimiza ahadi ya kumlipia gharama za kuvunja mkataba wa simba hivyo Ngasa akalazimika kukopa CRDB na Akaka anakatwa kwenye hiyo mil 5, hivyo akajikuta kwa mwezi anakuja kiasi pungufu.
Umeona umasikini wa wachezaji wetu unapokuja. Timu kubwa kama Mazembe ikutake halafu unaogopa kisa utakosa namba ni uongo mkubwa. Inakuingia akilini Wasudani wakutake na kitita chote cha pesa washindwe kujadiliana na Yanga?!
 
Hela nyingi anakula bocco 15+mil (toka aliporenew mkataba 2020)

Manula na mkude hawa wapo over 10+mil(sekeseke za kuongeza mikataba ndio zilifanya simba wajilipue)

Huyo feisal wanaemuimba kila siku monthy salary yake haifiki hata 10mil...ndio maana anapagawa na hela ya bakhresa
Lini kakuambia amepagawa na hela za bakhresa? Boko hawezi kulipwa milion 15 huo ni uongo wa kitoto sana
 
Kwa wachezaji wa nje wa hapa bongo wapo wanaokunja hadi dola milioni 10 lakini kwa wazawa wetu kuna utata.

Tukija kwa wachezaji wetu wa japa bongo, kunawea kuwa na yeyote anaelamba walau dola elf 3 kwa mwezi takribani milioni 7 kila mwezi ?

Kuna tetesi zipo kwamba Feisal Salum Feitoto ndie anaelipwa zaidi kuliko wachezaji wenzake ila haijabainika makadirio ni sh ngapi, wataalam tunaombeni msaada wenu kama itakuwa alau imefikia dola elf 3.

John Boccco nae kiwango kimeshuka huenda mshahara wake nao umeshuka ila kipindi yupo Hot kuna uwezekano mkubwa hakuna mzawa aliekuwa anamikia kwa mshahara.

Manula ni kipa mzuri ila inaonekana hafikii hizo level, mwaka huu alivunja mkataba na meneja wake Jemedari Said kwa tetesi kwamba kachoka kulipwa mshahara wa kawaida na Meneja wake hana uwezo wa kuwashawishi wahindi wa pale simba wampe Manula mshahara anaostahili
Faisal toto angekuwa analipwa vizuri asingekuwa anaendesha Ile IST yake imechoka anazunguka nayo kariakoo kama kichaa
 
Ngasa ni mpuuzi sana yule atakufa lofa tena atakuwa mlinzi wa magetini. Unatafutwa upewe pesa ndefu anajificha Magomeni kazi kuoa tu. Hopeless sana anayefuatia ya FeiToto asipokuwa makini atamalizia mpira wake hapo Kaunda Stadium.
Ngasa anashinda kinondoni kachoka Hana lolote
 
Kwa wachezaji wa nje wa hapa bongo wapo wanaokunja hadi dola milioni 10 lakini kwa wazawa wetu kuna utata.

Tukija kwa wachezaji wetu wa japa bongo, kunawea kuwa na yeyote anaelamba walau dola elf 3 kwa mwezi takribani milioni 7 kila mwezi ?

Kuna tetesi zipo kwamba Feisal Salum Feitoto ndie anaelipwa zaidi kuliko wachezaji wenzake ila haijabainika makadirio ni sh ngapi, wataalam tunaombeni msaada wenu kama itakuwa alau imefikia dola elf 3.

John Boccco nae kiwango kimeshuka huenda mshahara wake nao umeshuka ila kipindi yupo Hot kuna uwezekano mkubwa hakuna mzawa aliekuwa anamikia kwa mshahara.

Manula ni kipa mzuri ila inaonekana hafikii hizo level, mwaka huu alivunja mkataba na meneja wake Jemedari Said kwa tetesi kwamba kachoka kulipwa mshahara wa kawaida na Meneja wake hana uwezo wa kuwashawishi wahindi wa pale simba wampe Manula mshahara anaostahili
Sahihisha hapo juu..."wanakunja hadi dola milioni 10"...!
 
Boko kwa kiwango chake cha sasa wahindi watakuwa wamempunguzia huo mshahara na si ajabu anapokea 4, ni ngumu sana muhindi kutoa pesa aisee.

Mkude nae pia kwa sasa sidhani kama kina Babra wapo tayari kumpa hizo 10, ngumu sana hio, hata ile kesi yake ya utovu wa nidhamu ni yeye anajua kilichotokea na huenda wahindi wamekitumia kumbana.

Kwa Manula Naweza kukubali hapo.
Hivi we jamaa unafikiri suala ka mshhara ni MTU anajiamulia Tu nitakulipa hivi Kisha nitakulipa hivi usipikuwa na kiwango...!? Mchezaji anasaidia mkataba...wa miaka miwili au mitatu wenye thamani Sawa...au kuongezeka na sio kupungua...so kama walisaini millioni 10 , hata wasicheze kabisa wataendelea kulipwa hivyo hivyo...mpaka mkataba uishe.

Tukija kwenye swali lako , wapo wachezaji wanaolipwa hiyo pesa kwa kibongo...ila hakuna aliyevuka Dola 5000, kwa wannje hakuna aliyevuka Dola 7000 ..wengi wanarange kwenye Dola 3500 -6500 kwa sasa hivi kwa wachezaji wa nnje...wakati wa kibongo wanarange kwenye Dola 1500 mpaka 4500
 
Kwa wachezaji wa nje wa hapa bongo wapo wanaokunja hadi dola milioni 10 lakini kwa wazawa wetu kuna utata.

Tukija kwa wachezaji wetu wa japa bongo, kunawea kuwa na yeyote anaelamba walau dola elf 3 kwa mwezi takribani milioni 7 kila mwezi ?

Kuna tetesi zipo kwamba Feisal Salum Feitoto ndie anaelipwa zaidi kuliko wachezaji wenzake ila haijabainika makadirio ni sh ngapi, wataalam tunaombeni msaada wenu kama itakuwa alau imefikia dola elf 3.

John Boccco nae kiwango kimeshuka huenda mshahara wake nao umeshuka ila kipindi yupo Hot kuna uwezekano mkubwa hakuna mzawa aliekuwa anamikia kwa mshahara.

Manula ni kipa mzuri ila inaonekana hafikii hizo level, mwaka huu alivunja mkataba na meneja wake Jemedari Said kwa tetesi kwamba kachoka kulipwa mshahara wa kawaida na Meneja wake hana uwezo wa kuwashawishi wahindi wa pale simba wampe Manula mshahara anaostahili
Dola mil 10
 
Watanzania walivyo na siri hiyo mishahara nyie mmeijuaje??
 
John Bocco kiwango kimepungua sana kwa sasa, Nadhani hata Mo kapata kisingizio cha kumpunguzia
Usichanganye kati ya kiwango na mkataba. Unafikiri ni kwa nini Simba walimtengenezea zengwe Dejan "Lete Mzungu"? Ni kwa sababu mkataba waliouingia unawafunga kumlipa hata kama kiwango ni kidogo au kimeshuka, na njia pekee za kuepuka kuingia hasara ni kuuvunja mkataba, maana hakuna kitu kinachoitwa kupunguza mshahara
 
John Bocco kiwango kimepungua sana kwa sasa, Nadhani hata Mo kapata kisingizio cha kumpunguzia
Mshahara unalipwa kutokana na mkataba, haijalishi kiwango kimeshuka au kimepanda.
 
Yes kuna maendeleo mengi kwenye ligi linapokuja suala la wachezaji wa je kuanzia timu kusajili wachezaji wa nje wenye vipaji na bodi ya ligi kuongeza idadi ya wachezaji wa nje wanaoweza kucheza kwenye mechi.

Ila sasa kuna tetesi nilisikia kwamba hakuna mchezaji yoyote wa hapa bongo anakunja zaidi ya milioni 5.

Muda huo huo kuna wachezaji wa nje wana mikataba minono wengine wakivuta dola 5,000 takribani milioni 10 kila mwezi,

Ni kwamba hata kina Fei toto na Manulla wameshindwa kufika milioni 5 ?
Kama wameridhia wenyewe, hakuna shida. Na kama hawaridhiki, na wenyewe watoke nje kama wenzao akina Mbwana Samatta, Simon Msuva, nk.
 
Back
Top Bottom