Kuna tofauti gani kati ya Degree Holder aliye pita Diploma, na degree holder aliye pitia form 5 & 6 ( A level)?

PCM/ PCB sio makalio kwamba kila mtu anayo, ndo maana walikimbia, unadhani hao waliopita Dip hatujakutana nao huko chuo? Ni weupee kabisaa afu hawajiamini sasa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usitudanganye hapa,
 
Kwenye ajira, Mfano Ualimu, Aliyepitia Diploma (Ualimu) ana nafasi kubwa zaidi ya kupata ajira. (hasa kwa wakati huu ambapo ajira ni changamoto ya kitaifa).
Ulipofungia mabano ndo faida ya Dip, na hiyo inatokana na mshahara wanaolipwa kiduchuuuu.
 
PCM/ PCB sio makalio kwamba kila mtu anayo, ndo maana walikimbia, unadhani hao waliopita Dip hatujakutana nao huko chuo? Ni weupee kabisaa afu hawajiamini sasa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usitudanganye hapa,
Naomba nikuulize swali moja, unazungumzia advance level ya miaka ipi? Pia naomba tusijadili kwa kutumia lugha ambazo sio nzuri.
 
Usually wanaopitia diploma ni failures waliokosa credits za kwenda F5 directly. Nowadays baadhi ya degree bila point 5 no admission.
Kijana wa ndoto na arrogance za kale huyu. Diploma kwanza ndio dili siku hizi.
 

PCM/ PCB sio makalio kwamba kila mtu anayo, ndo maana walikimbia, unadhani hao waliopita Dip hatujakutana nao huko chuo? Ni weupee kabisaa afu hawajiamini sasa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usitudanganye hapa,
Hapana sometimes mtu lazma ujiongeze yaani uhangaike kwenda ughaibuni kwa kutumia baiskeli wakati usafiri wa anga upo, au ung'oe kisiki kwa kutumia kisu ili tu uonekane mwamba wakati ingetumia sururu ingetumia muda mfupi na ungeonekana mjanja na timamu
 
Kwenye ajira, Mfano Ualimu, Aliyepitia Diploma (Ualimu) ana nafasi kubwa zaidi ya kupata ajira. (hasa kwa wakati huu ambapo ajira ni changamoto ya kitaifa).
Humu ndani watu wamejawa ushabiki, mimi nina friends zangu walisoma Diploma Engineering DIT, wengine walisoma chuo cha sayansi kama sikosei kipo Lindi, hawa wote hawakukaa kitaa hata kwa miezi mitatu, hawa DIT walikaa kama mwezi tu kama sio miwili wakaenda Tanesco Tanga.

Wale walindi mmoja ni clinical officer na wengine ni mafamasia, mmoja yupo muhimbili, wote waajiriwa. Nina mifano mingi sana, diploma inaweza kukufanya uanze kushika mia mbili mia tatu mapema zaidi kuliko kupitia a level.
 
Kijana wa ndoto na arrogance za kale huyu. Diploma kwanza ndio dili siku hizi.
Asikwambie mtu mkuu, diploma zinatoka saana, hata ukiwa kazini, diploma ni mtu na nusu kutokana na experience yake. Experience ambayo wewe ukitoka shule ndo uanze kazi inaweza ikakuchukua miaka kuikamata.

Na hao wenye experience, ndo wanaoshika vyeo makazini.
 
Kuna tofauti gani kati ya degree holder aliye pitia diploma na degree holder aliye pitia form 5&6?
Ukianza na certificate/diploma baadaye ndo ukatafute degree ni wazi kuwa unakuwa na elimu ya kuunga unga. Hata kama una div.1 form 4, ukienda huko utachangamana na vilaza kibao halafu utashuka viwango tu.

Kama akili inamudu acha mtoto afanye A level halafu aende kwenye degree.
Kujaribu kulinganisha diploma ya CBE na degree ni kichekesho
 
Ulipofungia mabano ndo faida ya Dip, na hiyo inatokana na mshahara wanaolipwa kiduchuuuu.
Samahani mkuu, bila shaka shule umeenda. Unachangia huu mdahalo ukiwa una ajira, una uzoefu na utendaji wa kazi wa watu makazini? Una ufahamu na mambo ya elimu kiundani?
 
Tukimchukua jobless yoyote aliyetokea a level kisha tukamuuliza, endapo ukarudi form 4, je utarudi tena advance au utaenda diploma?

Hakuna atakayekwambia ataenda advance.
 
Kuna tofauti gani kati ya degree holder aliye pitia diploma na degree holder aliye pitia form 5&6?
Kinacho matter hapa, can you deliver on what you claim to be expert on? kama ni CPA, au engineer, unaweza kutatua shida za kiufundi kwenye taaluma uliyosomea? Isiwe uzuri wa vyeti tu,
 
Kuna tofauti gani kati ya degree holder aliye pitia diploma na degree holder aliye pitia form 5&6?
Tofauti ya Ni maturity.
Diploma inamjenga mtu kukua Na kufanya Jambo (kutenda) Zaidi kuliko advanced schools.
 
Usually wanaopitia diploma ni failures waliokosa credits za kwenda F5 directly. Nowadays baadhi ya degree bila point 5 no admission.
Well that not true, in my times i saw diploma candidates waliokuwa na div 2, from their point of view walitaka kupata kazi kwa haraka ili baadae wawez kuji support degree. And they did it
Now days zama zimebadilika, diploma si failures tena, even wenye ufaulu mkubwa wana opt kupita huko. Now ita depends na mtu mwenyewe
 
Hapo
Cheti Cha Form 6 Haina application kwenye kazi lakini ya diploma unaweza kuombea kazi
Hapo ndio nilisubiri, hivi ukiomba kazi watakiomba na hicho cheti cha form six?😂
 
Kuna tofauti gani kati ya degree holder aliye pitia diploma na degree holder aliye pitia form 5&6?
Diploma nyingi ni practical oriented, waliopita diploma ( na hawakubadili course kwenye degree) wanakuwa na heavy expierience kwenye eneo husika kuliko waliopita form 6. Mostly huwa wanakuwa na uzoefu kazini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…