Kuna tofauti gani kati ya Degree Holder aliye pita Diploma, na degree holder aliye pitia form 5 & 6 ( A level)?

Kwani nani hajui siku hizi wanaajiriwa wa Dip kwa wingi, kisa mshahara wao ni mdogo na serikali ndo inaweza afford,

Unadhani unajua pekee ako hilo jambo?
 
Wakiambiwa ukweli eti wananuna, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dip bhana wanachekesha mnoo.
 
Kuna tofauti gani kati ya degree holder aliye pitia diploma na degree holder aliye pitia form 5&6?
Kwakuwa wote ni degree holder hakuna tofauti kubwa sana. Diploma zilianzishwa ili wahitimu wawezi kufanya kazi katika fani hiyo bila kujua "Nadharia " za masomo hayo kwa undani sana. Wahitimu wa diploma hawakutegemewa kuwa wapanga Sera au viongozi wa juu sana katika fani zao. Wahitimu kupitia form "5" na "6: walikuwa wanafundishwa "nadharia" ya masomo yao ili waweze kujua undani wa fani zao na kuweza kuchambua mambo kwa undani zaidi. Wahitimu hawa walitegemewa kuwa viongozi wakubwa na wagunduzi wa baadaye. Lakini kwa nyakati za sasa - kuna Elimu nyingi sana mitandaoni, mtu anayejituma hahitaji hiyo Diploma wala digrii kuwa muelewa wa mambo.
 
Samahani mkuu, bila shaka shule umeenda. Unachangia huu mdahalo ukiwa una ajira, una uzoefu na utendaji wa kazi wa watu makazini? Una ufahamu na mambo ya elimu kiundani?
Tunachangia mada jinsi ilivyoletwa, ukianza kunihoji kuhusu mie binafsi, unatoka nje ya mada, nweiii hata niliye m quote alifunga mabano nilicho kiafiki mie.
 
Kwani nani hajui siku hizi wanaajiriwa wa Dip kwa wingi, kisa mshahara wao ni mdogo na serikali ndo inaweza afford,

Unadhani unajua pekee ako hilo jambo?
Laki 5 ya mwalimu wa o level degree holder serikali haiwezi kudumu😂😂
 
Hakunagaaa
 
Form five na six wengi wana uwezo wa kukariri na ndomana sio watendaji. Yani wanakrem kinoma wengi ni watupu. Mdogo wangu alipigwa 1.7 nikamwambia acha upuuz akaenda zake diploma hakwenda 5 na 6
 
Laki 5 ya mwalimu wa o level degree holder serikali haiwezi kudumu[emoji23][emoji23]
Sasa si uandike vzuri, serikali haiwezi ndyo ndo maana ina ajiri laki 3 ya mwalimu wa Dip primary huko,

Degree holder yupi wa ualimu, aaanze na laki 5? Thubutuuu.
 
Form five na six wengi wana uwezo wa kukariri na ndomana sio watendaji. Yani wanakrem kinoma wengi ni watupu. Mdogo wangu alipigwa 1.7 nikamwambia acha upuuz akaenda zake diploma hakwenda 5 na 6
Useme ukweli uliona mdogo ako hatatoboa advance, mbona hamtaki kukubalii ukwelii wa mambo jamani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanakuwa na hofu ya vibarua vyao huko nyuma!,Ila uelewa ni mkubwa maana wanauzoefu wa vitendo mkuu.
 
Form six ni sawa na kula vyakula vingi (ambavyo vinaweza kukuletea matatizo) na diploma ni sawa na na kula vyakula muhimu
 
Useme ukweli uliona mdogo ako hatatoboa advance, mbona hamtaki kukubalii ukwelii wa mambo jamani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama diploma haina umuhimu basi vyuo vifungwe na kama A level haina umuhimu madarasa yao tufugie kuku
 
Useme ukweli uliona mdogo ako hatatoboa advance, mbona hamtaki kukubalii ukwelii wa mambo jamani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Woooii. Yule alipiga one ya Saba anapenda five na six kufanya nini?? Huko kwa wazungu waliotuletea biz elimu maabumash, mtt akifaulu vizuri form 4 anapenda college... Unampeleka mtt five na six unaharibu kipaji, tunapoteza muda wa mtoto, pengine huko akakutana na magenge ya ajabuuu.. Yani huo sio upumbavu ni ukumbafu
 
Ni kweli magenge ya wahuni na ushoga ni advance
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani mkikubalii mziki wa advance sio mchezo na wengi ndo wanakimbia hilo.

Usitafute visingizio, ukweli tunaujua.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani mkikubalii mziki wa advance sio mchezo na wengi ndo wanakimbia hilo.

Usitafute visingizio, ukweli tunaujua.
juma si hata wewe ulipata zero hata mama ashura ni shahidi😂😂
 
Sasa si uandike vzuri, serikali haiwezi ndyo ndo maana ina ajiri laki 3 ya mwalimu wa Dip primary huko,

Degree holder yupi wa ualimu, aaanze na laki 5? Thubutuuu.
Take home ya mwalimu ni 510,000 kwa ngazi ya degree.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…