Sehemu yoyote ikishawekwa miundo mbinu vzr basi,sehemu lazima ionekane ya kishuwaDah inauma sana hivi hawa washamba na wajuaji walitoka wapi?!
Nyie ndio malegendary Sasa!Kwenye mvua unarudi na tope ambalo halisemeki unajulikana kabisa huyu katoka wapi
Wakati huo lami haileselasie inashia shule ya IST mbele kote vumbi tuEeeh wewe nae kitambo Sana,tangu dongo jekundu?
Wale wazungu expertise magari yao zilikuwa TX,watoto wa kinondoni wale janja janja wote unawakuta sokoni tx kinondoni,tunasubiri kuwapokea wazungu kuwabebea mizigo nkNyie ndio malegendary Sasa!
Mbweni....Hata Prof jay 99 alitoa wimbo wa chemsha bongo na moja ya mstari wake aliimba "Tulikuwa tukihama hama leo Obey kesho Mikocheni" - Miaka hiyo Obay,mikocheni,masaki,upanga ilikuwa full wa kishua.
Ni kweli mkuu mjumba mengi wanakaa walinzi,shamba boys ,beki tatu.
Mbweni (plots za kupimwa) kule ni hatari prime areas sana ,kule ndiyo USHUANI.
Kule Mbweni kwa Samia plots nadhani si chini ya milioni 300.
Mbweni kuko sawa sawaMbweni....
Kitu kingine nachosikitikaga ni namna wanavyo vunja nyumba za zamani mjini na kujenga maghorofa mapyaWatu hudhani maghorofa ni maendeleo kumbe yanaharibu miji. Maeneo yote prime ya Dar yatajaa maghorofa kama Kariakoo. Masaki, Mikocheni, Mbezi Beach nk. Itakuwa kama una nyumba ya chini hupati hewa wala jua. Na hiyo ni nchi nzima. Maeneo yote yaliyoitwa Uzunguni yanaota maghorofa yanayoharibu mji.
Msafara wa mamba fisi tumo tu,🤣🤣🤣🤣,Kwa hiyo Wana kutoka uswazi ndio mlikuwa mnapiga harakati zenu kule?🤣🤣🤣mwenyewe wameshiba chapati na maini wamelala
Nchi imejaa wafilisti unafikiri wanajali historia au uvutiaji wa mji? Wanawaza tu pesa. Inaudhi sana.Kitu kingine nachosikitikaga ni namna wanavyo vunja nyumba za zamani mjini na kujenga maghorofa mapya
Wanapoteza kabisa historia na asili ya mji
Ova
Inasikitisha sana....Nchi imejaa wafilisti unafikiri wanajali historia au uvutiaji wa mji? Wanawaza tu pesa. Inaudhi sana.
Kitu kingine nachosikitikaga ni namna wanavyo vunja nyumba za zamani mjini na kujenga maghorofa mapya
Wanapoteza kabisa historia na asili ya mji
Ova
Wakati kuanzia Kerege hakuna kitu cha maamaSema Mbweni sasa hivi ni habari nyingine na mji unakuwa kuelekea Bagamoyo, natamani Dar na Pwani ingeunganishwa uwe mkoa mmoja tu uitwe Dar ili watu wasogeesogee huko, na waondokane na ile dhana ya kutaka kuonekana hawaishi Dar wanaishi nje ya miji
Sio Dodoma tu hata kigamboni unapewa kiwanja na ramani ya nyumba unayotakiwa kujengaNiliwahi sikia CDA,ule mradi Dom walikuwa wanakuuzia kiwanja unapewa na na condition ya Aina ya nyumba utayotakiwa kujenga kwenye eneo husika Kama sikosei,wataalamu wangeonyesha Hilo,na muda Kama ulivyosema
Alafu uzuri wa mahali ni mpangilio tu sehemu inakuwa inavutia sio lazima mpaka majumba makubwa makubwaZambia,lusaka kuna sehemu ya kishuwa ilijengwa inaitwa kingsland
Aise mahala hapo si mchezo
Bongo sijui tunashindwa nn
Unajua hakuna eneo baya sema tTizo ni namna ya watu wanavyojenga
Huyu kajenga vile huyu kajenga kile
Huyu kaziba njia basi vurugu tupu
Ova
Acha wavunje tu majengo yetu mengi hayana ubora hata hizi nyumba mpya unazoziona sahv miaka 20 ijayo hutatamani kuyaangalia mengi yaoKitu kingine nachosikitikaga ni namna wanavyo vunja nyumba za zamani mjini na kujenga maghorofa mapya
Wanapoteza kabisa historia na asili ya mji
Ova
Niliwahi ambiwa kuwa miaka ya 90 mji ulikuwa unaishia Lugalo, kuanzia Mbezi Beach kuja huku kulikuwa ni mapori tuWakati kuanzia Kerege hakuna kitu cha maama
😂😂Sometimes watu wanasubiri mvua inyeshe wanaunga tela hapohapo,unakuwa unajiuliza kwanini mvua ikinyesha kunakuwa na harufu mbaya kumbe watu wamejiongeza...Kwenye miundo mbinu masaki na obay,walichelewa sana kuipeleka
Hiyo mbezi beach yenyewe nyumba nyingi hazina sewage system kuelekea baharini,we pita usiku utasikia vijenereta na pump wanamwaga maji machafu nje kimchongo
Ova
Na ukanda ule mimi ndio nauita Dar ya asili yaani kariakoo kuelekea Muhimbili Upanga,Posta,Obay,Masaki,Msasani kidogo,Mikocheni walau unaweza kuhisi harufu ya Dar ila the rest zipo Dar kijiografia tu lakini ni changamoto sana kuishi tena mno hasa maeneo Mandela Road inapopitaIla mkuu wanaokaa maeneo hayo wana nafuu kubwa kulinganisha na maeneo mengine ya dar aisee kuna maeneo unatembea rough road 9km ndo ufike unapoenda yaani bado obay masaki upanga kwa barabara wamejaaliwa tena sana