THE BOILER ROOM
JF-Expert Member
- Sep 17, 2018
- 1,054
- 3,212
- Thread starter
-
- #241
💯Tanzania hatuna mipango Miji sikuhizi hamna tofauti ya makazi ya watu,soko, makazi ya watu yamezungukwa na bar na Kila mtu kwenye nyumba yake anajenga fremu tu.
In short sikuhizi makazi mazuri ya watu hamna, na hata aliyeanzisha wazo la fremu na wote kuiga sijui nani Yani fremu nyingi kuliko wateja
Tupo Mjomba.Wale wa morogorostore na tulio soma oyster bay primary school tujuane
Kumbe pale TX kitambo eeh?Wale wazungu expertise magari yao zilikuwa TX,watoto wa kinondoni wale janja janja wote unawakuta sokoni tx kinondoni,tunasubiri kuwapokea wazungu kuwabebea mizigo nk
Wanatu tip [emoji1] haya maisha bana
Ova
Nimekukubali....nyie ndio downtown kitambo👍👍👍Wakati huo lami haileselasie inashia shule ya IST mbele kote vumbi tu
Ova
Wacha weee!Siku hizi pande zipi?Tupo Mjomba.
AiseeKwanza kabisa naomba mnisamehe kama Uzi wangu unaofanania na kudhihaki ila hii si shabaha yangu!Shabaha yangu kubwa ni kutoa taswira ya namna mabadiliko ya matumizi ya ardhi ya maeneo husika yalivyotofautiana sana na mpango wa awali wa matumizi ya ardhi ya maeneo hayo kabla;
Enzi hizo wakati naishi mimi:
Masaki ilikuwa ni Residential Area pekee huwezi kuta ofisi yoyote iwe ya serikali au taasisi binafsi ikifanya shughuli zake maeneo hayo.
Miaka hiyo Masaki huwezi kuta jengo lenye urefu wa ghorofa zaidi ya ghorofa tatu kwa uchache na upekee wake utakutana na mazingira ya namna hiyo kwny maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya flats yakiwemo maeneo kama ya TIB,THB na kule Harbors.
Masaki ya wakati huo wahudumu walikuwa hawarudi makwao zaidi ya kuishi kwenye nyumba za servants zilizokuwa nyuma ya nyumba kubwa za maboss wao
Wakati huo Masaki huwezi kuta watu wakiwa wamezagaa zagaa hovyo asilimia kubwa kwenye mtaa husika watu tulikuwa tukifahamiana kwa sura hata kama tulikuwa hatusalimiani.
Kwa kifupi mimi nimeishi na kukua kwenye mtaa wa Haile Selassie.
😂😂fala kweli mkuu! Wewe ni beki tatu!? Tulikuja na ndinga ya maana mpaka Beki tatu akadhani waziri mkuu katia timuDah kumbe ndo nyinyi mligonga geti nikawafungulia? Madalali matapeli.
Ulipotaja hapa tu kaka umemaliza "Mhalibwa grocery" kulikuwa na mshkaji mmoja mnene mnene hivi ndo palikuwa kwao krb na zile flat za TIB baadae kidogo kuna duka jingine lilifunguliwa kule krb na kwa mzee Nimrod Mkono krb na Oysterbay Hospital.So sad!!!!Aisee
Umenikumbusha mbali sana, kweli tumezeeka
Haile Sellasie road ndio nyumbani kabisa ilikuwa miaka hiyo kabla hujafika Mhalibwa grocery, hebu fikiria ndio lilikuwa duka pekee, ukiacha Supermarket ya Morogoro stores.
Enzi za kina Rob D, na Nigga one (RIP) ndani ya mtaa
Wakati huo basi ni moja tu la UDA, mitaa kimyaaaa
Kibibii ya Tryphone Maji peke yake ndio alikuja kupewa leseni ya daladala
Mitaa mingine unajikuta ni wewe peke yako barabara nzima
Nilikuja kwenda na familia miaka kadhaa niwaonyeshe madogo wangu nilipokulia, duuh..hadi aibu kama uswahilini tu mabaa na bodaboda, wamasai wametapakaa mtaa mzima, tulipokuwa tunaishi sasa mbele kuna Pub, nilishindwa hata niwaonyeshe nini watoto wenyewe hawajazaliwa bongo ni ilikuwa kituko tu
Masaki kumechafukwa na kuvurugwa haswa, sio tena residential area ya kishua
Ilikuwa ndo njia yetu tukielekea kule Masaki mwisho na baiskeli zetu za BMX across Europa Mini-Supermarket mwisho kbs kule kwenye kambi ya jeshi kucheza basketball kwny ile court ya jeshi.Pande zote ni ushua mtupu!.Aisee
Umenikumbusha mbali sana, kweli tumezeeka
Haile Sellasie road ndio nyumbani kabisa ilikuwa miaka hiyo kabla hujafika Mhalibwa grocery, hebu fikiria ndio lilikuwa duka pekee, ukiacha Supermarket ya Morogoro stores.
Enzi za kina Rob D, na Nigga one (RIP) ndani ya mtaa
Wakati huo basi ni moja tu la UDA, mitaa kimyaaaa
Kibibii ya Tryphone Maji peke yake ndio alikuja kupewa leseni ya daladala
Mitaa mingine unajikuta ni wewe peke yako barabara nzima
Nilikuja kwenda na familia miaka kadhaa niwaonyeshe madogo wangu nilipokulia, duuh..hadi aibu kama uswahilini tu mabaa na bodaboda, wamasai wametapakaa mtaa mzima, tulipokuwa tunaishi sasa mbele kuna Pub, nilishindwa hata niwaonyeshe nini watoto wenyewe hawajazaliwa bongo ni ilikuwa kituko tu
Masaki kumechafukwa na kuvurugwa haswa, sio tena residential area ya kishua
ipo Hapa nyuma ya seacliffHivi hapo mwaya kuna kambi gani mkuu
Saiv kuna dada poa wanajiuza kuanzia saa moja wanasima upande wa gardenKilima jina kwa sababu cha ghafla halafu kifupi ukipita ndani ya gari kuna ka msimumuko fulani. Sijui siku hizi kama wanatoa huduma hapo.
Hayo maeneo palikuwa na uwazi siku hizi kumejaa ma bar ukipita usiku kama unaijua masaki ya zamani na ujaenda muda mrefu panakuchanganya. Ilipo elements opposite alikuwa anakaa shushushu mmoja kanali Mnyani kulikuwa na space kubwa tu hadi ufikie gate lake.
Kulikuwa kimya sana maeneo hayo hasa kwenye hiyo cross-junction hapo ya kilima nyege halafu land niliyokuwa naijua ni nyumba ya captain Mutafungwa zile chongoma hazipo tena. Ukishuka chini kwenye walikokuwa wanakaa hakina Wasia Mushi unatembea barabarani magari kupita nadra, ukipanda juu wanapokaa kina James Lugembe ile mitaa ukipita kama humjui mtu ata bila ya kuitiwa mwizi unaweza jistukia.
Tanzania hatuna mipango Miji sikuhizi hamna tofauti ya makazi ya watu,soko, makazi ya watu yamezungukwa na bar na Kila mtu kwenye nyumba yake anajenga fremu tu.
In short sikuhizi makazi mazuri ya watu hamna, na hata aliyeanzisha wazo la fremu na wote kuiga sijui nani Yani fremu nyingi kuliko wateja
Wapiii, [emoji23][emoji23][emoji23], masaki ni masaki tu haitakaa kufanana na kokote kuleMasaki imehamia Goba sshv
Chole roadIvi ile ni chore road au Chile road wakishua mnatuchangany
Hapana, isiunganishwe, ila Kibaha na Bagamoyo zipandishwe hadhi ziwe manispaa zinazojitegemeaSema Mbweni sasa hivi ni habari nyingine na mji unakuwa kuelekea Bagamoyo, natamani Dar na Pwani ingeunganishwa uwe mkoa mmoja tu uitwe Dar ili watu wasogeesogee huko, na waondokane na ile dhana ya kutaka kuonekana hawaishi Dar wanaishi nje ya miji
Wakati maduka mawili, chang'ombe ndio ushuani ya ukanda wenu.Wa
Walikuwa wanakuja maduka mawili wanasema mbona lami yenu humu mitaani imechakaa sio Kama Chole road?ukiwaambie tukanywe soda TTC club wanasema Kuna mavumbi sio Kama Slipway nyieeeeeeeee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sijui na vitoto vya siku hizi vinajidai hivyohivyo
Mabibo hostel zimejengwa kuanzia 2000 acha fixMabibo hostel ilianza1998 kama sikosei,Ila ujue ubungo mi kubwa Sana,kibangu,maziwa,kibo,msewe,shekilango NHC,urafiki,mabibo hostel imeafect sehemu ndogo ya ubungo
Halafu wenyewe wanaleta dharau🤣🤣🤣🤣
hahahahaaaaaaaMzee Umekulia Masaki ,Vipi Mzee Wako Alikuachia Hata Kaplot Masaki?