Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Hata design pia inaweza isiwe shida, design inaweza kuwa nzuri Ila mjenzi akajenga vibayaSasa picha ulizoonesha na mifano ya Barabara kukosa sehemu ya watembea Kwa miguu vinahusianaje na ujenzi chini ya kiwango?
Wewe ni mjinga mmja tuu,design ndio inaamua Barabara ijengwe vipi na mwisho sio kweli kwamba Barabara zetu Hazina watembea Kwa miguu.
Ukipita barabara haina njia za watembea kwa miguu na waendesha baiskeli hiyo barabara imejengwa kwa viwango vya juu vya ubora?Unajuaje barabara flani imejengwa chini ya kiwango?
Hii ni mitaa ya jiji la ethiopia cheki barabara ...hapa utagundua kuwa huyu mpumbavu chura kiziwi anatupotezea muda nchini kakuna cha ubunifu wala cha maana anacho fanya.Katika fuatilia zangu, nimegundua kuwa kuna upigaji mkubwa sana kwenye miradi ya ujenzi hasa majengo mbalimbali na barabara nchini Tanzania.
Kiukweli barabara nyingi nchini zinajengwa chini ya kiwango, kuanzia upana , hadi ubora wa barabara husika na kamwe huoni wakandarasi wakichukuliwa hatua jambo linaloashiria kandarasi husika kupatikana kwa njia ya rushwa.
Nimejaribu kufuatilia namna barabara za wenzetu kwenye mataifa ya hapa hapa Afrika zinavyojengwa mfano Afrika Kusini, Algeria, Ivory Coast, Kenya na hata Morocco na kusema kweli nimekuja kugundua barabara zetu zinajengwa kwa viwango duni sana na kwa gharama kubwa sana tofauti na wenzetu.
Ukitazama barabara nyingi zinazojengwa na Tarura hazina hata sehemu za Watembea kwa miguu (Pedestrians) au waendesha baiskeli na nyingi hazifungwi hata taa za kuona usiku kwa watembea kwa miguu na inasemekana fedha hizo huwa zinatengwa kwenye bajeti za ujenzi wa barabara husika.
Tanzania tuna kazi kubwa sana kwa kweli hasa katika uadilifu wa watu wetu na uzalendo wa wstu wetu katika kufanya mambo wakiangalia maslahi ya Taifa badala ya maslahi yao binafsi.View attachment 3097223View attachment 3097224View attachment 3097225
Mkuu hizo barabara unasema zinajengwa hovyo ni zipi? Ungetoa mifanoWachina ni wahuni namba moja duniani.
Wanazipiga sana nchi zinazoendekeza rushwa kwa kuwajengea miradi ya hovyo isiyo na ubora ya chini ya kiwango.
Kiukweli barabara tunazotengenezewa na wachina hapa Tanzania ni vituko na takataka tu!
Utaziona bora kama umekulia kijijini na hujawahi toka nje ya Tanzania ambapo ndo wanajenga barabara zenye viwango. Kama umefika mataifa yanayojua namna ya kutumia vizuri kodi za wananchi katika miradi ya maendeleo barabara zetu utaziona ujinga tu
Asante sana kwa kupandisha hii link.Hii ni mitaa ya jiji la ethiopia cheki barabara ...hapa utagundua kuwa huyu mpumbavu chura kiziwi anatupotezea muda nchini kakuna cha ubunifu wala cha maana anacho fanya.
View: https://youtu.be/bvBs_fQm-qA?si=gij5uD9cA4hKYvQH
Barabara nyingi sana. Karibu asilimia 70 ya barabara zetu.Mkuu hizo barabara unasema zinajengwa hovyo ni zipi? Ungetoa mifano
Pia unajuaje barabara flani imejengwa chini ya kiwango?
Na unalinganisha ubora wa barabara wa wapi na wapi? Au unalinganisha Europe na Tanzania? Au unalinganisha Kenya na Tanzania au Uganda na Tanzania? Be specific kwenye hii mada
Mkuu ubora wa barabara sio lazima uwe na njia za wapita kwa miguu. Mfano Trunk roads unataka ziwekwe njia za wapita miguu?Ukipita barabara haina njia za watembea kwa miguu na waendesha baiskeli hiyo barabara imejengwa kwa viwango vya juu vya ubora?
Ukipita barabara unaona hakuna hata mifereji ya maji , taa za barabani kuwezesha watu kutembea vizuri usiku au haina hata upana unaotakiwa kwa magari kupishana vizuri kuepusha ajali unadhani hiyo barabara itakuwa imejengwa kwa viwango au ubora sahihi??
Hapo hatujasema barabara hizi ambazo Inajengwa mwezi huu ikinyesha mvua tu imeshaanza kumeguka
Hiv barabara Ina mwaka mmoja tu ,then unakuta mashimo ?,what comes on your mind?Unajuaje barabara flani imejengwa chini ya kiwango?
Ubora wa barabara sio lazima njia za wapita miguu, zipo barabara zenye hizo njia lakini zimeharibika ndani ya muda mfupi. Na zipo barabara hazina hizo njia zimedumu kwa miaka mingi.Barabara nyingi sana. Karibu asilimia 70 ya barabara zetu.
Juzi nilikuwa Dodoma. Nikasema nifanye mazoezi njia ya Waziri Mkuu hadi Martin Luther nimeishia kugongwa na pikipiki tu maana barabara yote haina njia za watembea kwa miguu na baiskeli.
Nenda njia ya Milocheni hadi Kawe Dar kama utaona sehemu ya watembea kwa miguu, nenda njia ya makumbusho hadi Tandale, hakuna kabisa
Eeh naingia kweny siasa ,siwezi acha wajinga wanitawale,nchi haiwezi endeshwa kienyeji halafu watu weny maono tunakaa kimya.Wanaishi kwa kujiangalia wao na familia zao. Neno maslahi mapana ya nchi na wananchi lipo midomoni mwao tu wala sio kwenye uhalisia na utendaji wao
Swali zuri, sasa hiki ndio alipaswa kukisema huku akieleza ni percentage ngapi ya barabara zinazojengwa/zilizojengwa zimekaa muda mfupi na kuharibika. Hapo ndio utakuja na hoja kuwa barabara hazina ubora.Hiv barabara Ina mwaka mmoja tu ,then unakuta mashimo ?,what comes on your mind?
Tanzania ikiwekwa "Deathrow" au sheria ya kufumuliwa ubongo na risasi kisha ikasimamiwa vizuri ndani ya miaka 20 ijayo bongo patakuwa kama Japan 🤣.Katika fuatilia zangu, nimegundua kuwa kuna upigaji mkubwa sana kwenye miradi ya ujenzi hasa majengo mbalimbali na barabara nchini Tanzania.
Kiukweli barabara nyingi nchini zinajengwa chini ya kiwango, kuanzia upana , hadi ubora wa barabara husika na kamwe huoni wakandarasi wakichukuliwa hatua jambo linaloashiria kandarasi husika kupatikana kwa njia ya rushwa.
Nimejaribu kufuatilia namna barabara za wenzetu kwenye mataifa ya hapa hapa Afrika zinavyojengwa mfano Afrika Kusini, Algeria, Ivory Coast, Kenya na hata Morocco na kusema kweli nimekuja kugundua barabara zetu zinajengwa kwa viwango duni sana na kwa gharama kubwa sana tofauti na wenzetu.
Ukitazama barabara nyingi zinazojengwa na Tarura hazina hata sehemu za Watembea kwa miguu (Pedestrians) au waendesha baiskeli na nyingi hazifungwi hata taa za kuona usiku kwa watembea kwa miguu na inasemekana fedha hizo huwa zinatengwa kwenye bajeti za ujenzi wa barabara husika.
Tanzania tuna kazi kubwa sana kwa kweli hasa katika uadilifu wa watu wetu na uzalendo wa wstu wetu katika kufanya mambo wakiangalia maslahi ya Taifa badala ya maslahi yao binafsi.View attachment 3097223View attachment 3097224View attachment 3097225
Kweli kabisaTanzania ikiwekwa "Deathrow" au sheria ya kufumuliwa ubongo na risasi kisha ikasimamiwa vizuri ndani ya miaka 20 ijayo bongo patakuwa kama Japan 🤣.
Uadilifu sio swala la negotiation, ni swala la compliance tu! Mtu ambaye anaona hauwezi uadilifu akae pembeni au akubali kufa.
Tutalipitisha kweny katiba koz hata vitabu vyao vya dini vinaruhusu wezi na majambazi waadhibiweKweli kabisa
So vitu Kam hivyo ndio vinaleta picha uenda Kuna wizi ufanyika,na mm huwa siamini kwamba hizo pesa za miradi huenda hupelea na zisitosheleze..,hyo n big No,kitu iliyopo uadilifu n tatizo kwa viongoz weng wa ummaSwali zuri, sasa hiki ndio alipaswa kukisema huku akieleza ni percentage ngapi ya barabara zinazojengwa/zilizojengwa zimekaa muda mfupi na kuharibika. Hapo ndio utakuja na hoja kuwa barabara hazina ubora.
Mkuu nimetoka sababu. Anayejenga ni serikali mkadarasi ni mtekelezaji tu. Na siyo vyote ni upigajiKu compromise quality ndo ujenge barabara ambazo hazina njia za waenda kwa miguu?
Mtu unatembea pembeni ya barabara gari zinakupigia honi ukiyumba kidogo umegongwa? Hapana kwa kweli
Huo ni ujinga. Na tuseme ukweli tu, tuliachana na wazungu kwenye ujenzi wa miradi yetu kwa sababu wao sio watoa rushwa wazuri compared to Chinese full stop
Kuna kitu huelewi.Katika fuatilia zangu, nimegundua kuwa kuna upigaji mkubwa sana kwenye miradi ya ujenzi hasa majengo mbalimbali na barabara nchini Tanzania.
Kiukweli barabara nyingi nchini zinajengwa chini ya kiwango, kuanzia upana , hadi ubora wa barabara husika na kamwe huoni wakandarasi wakichukuliwa hatua jambo linaloashiria kandarasi husika kupatikana kwa njia ya rushwa.
Nimejaribu kufuatilia namna barabara za wenzetu kwenye mataifa ya hapa hapa Afrika zinavyojengwa mfano Afrika Kusini, Algeria, Ivory Coast, Kenya na hata Morocco na kusema kweli nimekuja kugundua barabara zetu zinajengwa kwa viwango duni sana na kwa gharama kubwa sana tofauti na wenzetu.
Ukitazama barabara nyingi zinazojengwa na Tarura hazina hata sehemu za Watembea kwa miguu (Pedestrians) au waendesha baiskeli na nyingi hazifungwi hata taa za kuona usiku kwa watembea kwa miguu na inasemekana fedha hizo huwa zinatengwa kwenye bajeti za ujenzi wa barabara husika.
Tanzania tuna kazi kubwa sana kwa kweli hasa katika uadilifu wa watu wetu na uzalendo wa wstu wetu katika kufanya mambo wakiangalia maslahi ya Taifa badala ya maslahi yao binafsi.View attachment 3097223View attachment 3097224View attachment 3097225
Kipi hicho?Kuna kitu huelewi.
Aaah wapi stori za vijiweniHuo ni ukweli mtupu