Kuna uwezekano Watanzania tuna tatizo la uelewa? Nikimsikiliza Polepole, namuona Mwl. Nyerere. Nyie msiomuelewa Polepole, je Nyerere mngemuelewa?

Sawa umeeleweka kaka,vp Mbowe ni #GAIDI ?.

najua wewe ni msomi tena mwenyewe taaluma nzuri.

Jaribu siku moja utuletee bandiko juu ya hilo kaka.
Najua we ni kada, hivyo uweke ukada pembeni, utumie taaluma yako kudadavua swala la Mh Mbowe.
Santé.
 
Huku ni kumdhalilisha Baba Wa Taifa hili kwa kiwango kichopitiliza, muwe na heshima japo kwa Waasisi wa Taifa hili enyi vijana, acheni njaa za kijinga, hata ungepewa vyakula vyote vya dunia hii huwez kuvila ukavimaliza na kile kidogo utakachokula hapo utaenda choon unakitoa na bado utataka tena na tena. Msiendekeze matumbo yenu.
 
Duuuh!!!!!!...... Nyerere na Polepole wamefanana!!!!, kweli?
Naona kweli uzee unakujia vibaya.
Huyu aliekua tume ya Jaji Warioba anahubiri katiba mpya, alipopewa madaraka akabadilika akawa hataki katiba mpya, akaungana na Prof alieokotwa jalalani kukana waliyokuwa wakihubiri na Mzee Warioba.
Huyu ambae watu waliotoa maoni wakati wa utawala wa mwendazake aliwanyamazisha leo yeye hataki kunyamazishwa.
Huyu ambae alikua anatuuliza kama tunaijua vi eit.
Huyu ambae Membe alipotoa maoni yanayopingana serikali iliyopo madarakani alitoa karipio na vitisho lukuki.
Na mengine mengi siwezi orodhesha hapa.

Leo ndio umfananishe na Mwalimu!!! this is a shit joke!

Namuona ana hoja inayohitaji majibu lakini sio kumfananisha na Mwalimu
 
Ni kweli kabisa. Polepole ni kichwa kuliko vilaza wote pale safu ya CCM ukianzia Samia,katibu mpaka katibu mwenezi wa sasa.
 
nadhani anamaanishq steve nyerere
 
Julius Kambarage Nyerere=Polepole?

Polepole akifa naye ataitwa hayati siyo marehemu???
Hayati na marehemu wana hadhi tofauti ujue!

Everyday is Saturday................................😎
Ungejua neno hayati ni neno la kiarabu, na washahili walilitohoa kimakosa kumaanisha mtu aliyekufa, ila neno hayati ni neno la kiarabu al hayyat likitamkwa sawa na kiswahili hayati likiimaanisha 'maisha' ...
 
AMEN
 
Hata wewe sio wa KUKUAMINI.
watoto waliozaliwa baada ya MAGUFULI kufariki ndo watamuelewa na kumuamini Pole pole.
 
Hizi ndo low mind.

Mambo ya mtu binafsi yanakuhusu nini? Hao warembo uliwaona. Au dada zako ndo walikuwa wateja ? Tujifunze kujadili hoja na si maisha binafsi ya Mtu.
Pamoja na yote ndugu yangu, TUWE WAKWELI. Mtu mwenye matendo machafu/maovu iwe ya binafsi au la, hafai.
Hana tena sifa wala kingine cha kumfanya awe wa kuheshimiwa/kutiliwa maanani. Huo ndio unafiki unaotukwamisha watz wengi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…