ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Yasemwe hapo hayo yanayosemwa mbona unakwepa kwepa ,kwani Mimi naishi mbinguni kwamba sifanyi hayo unayofanya wewe?Udhaifu wako ktk mjadala upo too personal.
Mimi napanda daladala, naendq sokoni na pia nakunywa kahawa huku nikiangalia soka la timu za mtaani.
Thubutu kuwa kama mimi kwanza ili uyafehemu ya wananzengo.
Itisheni kura ya maoni leo uone mziki wake. Hata wewe haupo wima na Hangaya unajikosha tu
Inategemea kiwango CHAKO cha Akili kwa Akili ndogo ulizonazo huwezi kuona CCM oyeeMe mbona sioni chochote au kwa kuwa nashinda bar kutwa nzima...naona raia wanakula konyagi,k vant,smart,safari,kilimanjaro,Heineken, savana,caste lite na serengeti...na mara moja moja wanapopata hela wanachoma chama na kucheza mziki...naona wanasikitika tu hawana hela...ila mambo ya sijui mapinduzi au kuandamana ni stories tu kusogesha siku maisha yasonge
Haya yote umezaliwa unaishi na utakufa ukiyaacha hapa hapa Tanzania, hakuna kipya.Kwa majority waliosoma na hawana ajira vipi,na Hilo rundo la watu wanaojaa kwenye interview dodoma unasemaje kosa ni la nani.
Kodi komozi, kuzuia watu kwenda nje kufanya kazi,rushwa ufisadi, mipango miji mibovu, kuingia mikataba mibovu, matumizi mabaya ya kodi haya yanafanywa na nani.
Wizi wa kura ni siasa nyingine isiyo na ushahidi hivyo ni hisia tu hasi.Baada ya kuiba kura 2019 na 2020 hongera naona umenogewa.
KAZI IENDELEEB
Bora akili za kimaskini zinazoamini katika utu na haki ya urithi kuliko akili za kitajiri zinazoamini katika utegemezi,rushwa na ujinga wa kumilikiwa na mwenye pesa.
Unasema muda huu ukiwa unaweza kuandika chochote katika simu yako ya mkononi, pakichafuka hata hiyo simu utaiona nzito isiyoweza kubebeka.Potelea pote
tupoooFaida mojawapo ya machafuko ni pamoja na vijana kupata haki ya ukimbizi nchi za ughaibuni.......vijana mpoo?
Yashasemwa ktk post ya kwanza.Yasemwe hapo hayo yanayosemwa mbona unakwepa kwepa ,kwani Mimi naishi mbinguni kwamba sifanyi hayo unayofanya wewe?
Huna hoja wewe hater,endelea kuota ndoto za kujifarijiYashasemwa ktk post ya kwanza.
Kurudia rudia maneno ni kujaza server. Tunaendeleza mjadala kwa kushauri ingawa wasiona ufahamu kama wewe wanagruza mjadala kama shambulizi baya kwa watawala
Wewe ni mb*a wa CCMHata wakati wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere,hakuwachekea wavunjifu wa amani.Aliwaonyesha chamoto,hata wenzake aliodai nao uhuru,hakuwachekea,cha moto walikiona
Kwa hata Kongo wanauana ila bar hazijafungwa huo zipo wazi na walevi hupigwa na kufia Bar!Me mbona sioni chochote au kwa kuwa nashinda bar kutwa nzima...naona raia wanakula konyagi,k vant,smart,safari,kilimanjaro,Heineken, savana,caste lite na serengeti...na mara moja moja wanapopata hela wanachoma chama na kucheza mziki...naona wanasikitika tu hawana hela...ila mambo ya sijui mapinduzi au kuandamana ni stories tu kusogesha siku maisha yasonge
Shukrani mkuuHuna hoja wewe hater,endelea kuota ndoto za kujifariji
Ushahidi kwa sababu muda ulishapita,basi endelea na hisia zako kwamba kulikuwa uchaguzi.Wizi wa kura ni siasa nyingine isiyo na ushahidi hivyo ni hisia tu hasi.
Wewe vyote unavyoShukrani mkuu
Wewe unajua zaidi
Wewe una akili zaidi
Wewe utaishi milele
Sisi wacha tuendelee na hizo tamathali zenu kuwa ni haters, wahaini na mengineyo.
Muda ni hakimu mwema na huwa hana rufaa
Tatizo la wanaharakati ni kuongea na kulalamika muda wote. Hao wanaolalamikiwa siku zote wapo na wananchi wakiziishi shida zao.Ushahidi kwa sababu muda ulishapita,basi endelea na hisia zako kwamba kulikuwa uchaguzi.
Sizani kama kuna mtafiti amewahi kuchunguza uwezo wa akili ya mdudu chawaNingekuwa moderator ningeku BAN life kabisa hapa JF. Watu ka ninyi sijui kwa nini mlizaliwa. Muacheni Mama afanye kazi kwa ajili ya maendeleo ya watanzania. Bila CCM hakuna amani, ndiyo maana tunaendelea kushinda chaguzi zote.
Kwa nini tusilalamike kama tunaona mambo hayaendi sawa????Mbona wewe kila siku unalalamika mtandaoni kuwa Mama anaonewa??Wewe kama umeridhika na mambo ya Samiah kosa lako ni lipi??Kama sijaridhika na mambo anayoyafanya Samiah kosa langu ni lipi?Acha watu waongee pale palipo na tatizo kama wewe unaona sawa ni wewe kwa mtazamo wako na maslahi yako.Ubinadamu wa mtu haununuliwi na mtu yeyote yule yaani thamani ya mtu ni mtu mwenyewe.Tatizo la wanaharakati ni kuongea na kulalamika muda wote. Hao wanaolalamikiwa siku zote wapo na wananchi wakiziishi shida zao.
Kulialia ni kuishia humu mitandaoni huko nje CCM wapo na wananchi na mwisho wa siku kulalamika ni kuumiza tu nafsi zetu.
Kweli kabisa,yeye kila siku ni kunyonya damu za viumbe wenzie.Sizani kama kuna mtafiti amewahi kuchunguza uwezo wa akili ya mdudu chawa
Sababu hana faida kwenye mzunguko wa maisha ya binadamu