Kuna viashiria vikubwa vya uvunjifu wa amani siku zijazo…

Naunga mkono hoja. Hayo machafuko anayo zungumzia mtoa mada ni ya mitandaoni sio kwenye .maisha halisi.
 
Point. Acha waendelee kuziba masikio
 
Kweli kabisa,yeye kila siku ni kunyonya damu za viumbe wenzie.
Na sababu anategemea kuishi juu ya mgongo wa mwingine haoni haja ya kupambana na maisha
Asipo uwawa na yule anayemnyonya damu atakufa juu ya kiumbe huyo ikiwa kiumbe uyo atakufa
Dawa na kibamiza uko wanakotoa damu
 
Kama ni wanyama basi watanzania wengi ni Kondoo na Ngamia. Ni wapole, wavumilivu sana, wasikivu na kikubwa zaidi walichojaaliwa wamekuwa ni watu WAKUSHANGAA TU BASI.
Kwa hiyo hizo vurugu na machafuko haziwezi kutokea nchi hii kwasababu watanzania wameridhika sana na maisha yao. Katika nchi nzuri za kutawala ni pamoja na Tanzania ,yaani utasikia tu wananchi wakisema jamani hivi ni kwanini inakuwa hivi, tunamuachia Mungu tu.
 
Wewe nae ni juha tu. Unadhani wao hawana surveillance report hadi uwaambie wewe..?? Watu wana briefings za every 12 hours, detailed reported, ndo waje wapokee barua za kipopoma hizo kutoka JF. Mnakuwaga na viherehere kweli. Hii nchi iko salama kuliko mnavyoweza kudhani, people are working tirelessly 24/7.
 
Mtu aache kutafuta mlo wake aende kuandamana mitaani, hakuna mwenye muda huo.
 
Barua inajitosheleza yenyewe, hakuna cha ziada cha kuongezea hapo.

Tatizo tu ni hao wanaoandikiwa hiyo barua:"Baraza la Usalama la Taifa"?

Ni akina nani hawa. Wanayo tofauti gani na hawa wengine, kama Spika wa Bunge au 'Chief Justice' wa nchi hii?

Hii barua ingeandikwa kuelekezwa kwa Spika au Jaji Mkuu ingeleta maana yoyote kwa watu hao?

Kwa hiyo, kwa maoni yangu ni kuwa, hii barua hasa imelengwa kwa wananchi wa nchi hii. Hawa ndio walioandikiwa barua yenye maana kubwa sana kwa nchi yao.

Ikimpendeza mwandishi wa barua hii, aibadilishe na kuielekeza kwa wahusika, wananchi wenyewe.
Hawa ndio wanaoshikilia hatma ya nchi hii mikononi mwao.

Siwezi kunyamaza, bila kumpongeza mwandishi wa barua hii, amabye, pamoja na kuwa na mashaka naye kwa wakati fulani, sasa kajipambanua wazi kabisa kuwa ni mtu anayejali maslahi ya nchi hii kwa kila hali bila kujali matabaka yaliyomo katika jamii yeyu.

Ahsante sana mkuu 'Missile of the Nation', kwa uzalendo wako.
 
Tukuamini wewe kwa sababu zipi hasa, kwa kuandika hapa vimistari vitatu, tena visivyokuwa na maana yoyote?
Sasa sikiliza, hivyo visenti vya waarabu visikutie upofu na kushindwa kuona alama za nyakati.
Kiyama chenu kinakuja. Safari hii hamponi, ng'oo!
 
Ningekuwa moderator ningeku BAN life kabisa hapa JF. Watu ka ninyi sijui kwa nini mlizaliwa. Muacheni Mama afanye kazi kwa ajili ya maendeleo ya watanzania. Bila CCM hakuna amani, ndiyo maana tunaendelea kushinda chaguzi zote.

We ni choko kama choko tu, Mama amekuwa Mungu asiambiwe anakosea wapi, acha kujitegua bolt akilini, Mama ako mwambie aone ya kuwa wanainchi hatulizishwi na Namna vile anavyoiongoza, Nchi inanuka ufisadi kila Sehemu na amekaa kimya.

Wapumbavu kama ninyi Mnaishushia heshima hii platform.
 
Ningekuwa moderator ningeku BAN life kabisa hapa JF. Watu ka ninyi sijui kwa nini mlizaliwa. Muacheni Mama afanye kazi kwa ajili ya maendeleo ya watanzania. Bila CCM hakuna amani, ndiyo maana tunaendelea kushinda chaguzi zote.
Na wewe ni walewale nani aliyekuambia kwamba bila CCM hakuna amani. Vurugu na uvunjifu wa amani utaletwa na CCM ,maana nyinyi hamtaki kushindwa kupitia sanduku la kura.
Mkizidiwa mnatumia vyombo vya dola kupora uchaguzi.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Acha upuuzi wewe,nyie wachochezi ndio mnatakiwa kushughulikiwa.

Hiyo lugha Huwa unasikia wewe tuu? Mbona Mimi sijawahi sikia wakiongea?

Serikali msiwakalie kimya watu dizaini ya huyu mtoa mada.
Mambo Kama hapo na yameanza kusemwa semwa sana siku hizi acha kumtisha mtoa maada
Yeye ameshauri tu ,Wala hajavunja sheria yeyote.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Tukuamini wewe kwa sababu zipi hasa, kwa kuandika hapa vimistari vitatu, tena visivyokuwa na maana yoyote?
Sasa sikiliza, hivyo visenti vya waarabu visikutie upofu na kushindwa kuona alama za nyakati.
Kiyama chenu kinakuja. Safari hii hamponi, ng'oo!
Wewe endelea kujificha nyuma ya keyboard muone kama hayo mabadiriko mtayapata.
 
CHAWA maana yake ni uchafu, uadui, chukii, unyonyaji, kujipatia kipato kisicho halali na kisababishi cha hasara ya kiuchumi, kiafya na kiusalama.

Kama unajiita wewe ni chawa basi sifa zako na tabia zako ni hizo hapo juu
Liambie hilo duduna
 
Kuna mambo Mimi yananishangaza hata sielewi kwa kweli!! Kwa nini issue ya bandari ilete machafuko makubwa kiasi hichi? Eti vita vya kiuchumi? How? Kama tungekuwa tunajenga wenyewe then mtanzania akatuinukia hapo ningesema vita vya kiuchumi!! Kama vile tulivyoamua kujenga Bwawa la nyerere then watanzania fulani wakatuinukia .hii kweli ilikuwa vita ya kiuchumi.Sasa hatika vita hii tunapambana na Nani? Ili iweje?tumeishi kwa amani kwa miaka mingi bila ufanisi mkubwa wa bandari.tufahamu kuwa unaweza kuwa tajiri lakini ukakosa amani,ukakosa pakutembelea na gari lako la kifahari. Tunavutana pasipo sababu yoyote.unless Kuna hidden ajenda .nasikia kulia nionapo Jambo dogo linapotaka kuleta sintofahamu.

Maybe we need national dialogue
 
Wewe endelea kujificha nyuma ya keyboard muone kama hayo mabadiriko mtayapata.
Haya hayazuiliki, imebaki ni lini tu.
Kama unayo akili timamu, lipeleke hilo benki ukadai kitata chako, kwa sababu ni la uhakika.

Sasa naelewa wazi, huwezi kujua nilichoandika hapa kutokana na ufinyo wa akili yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…