Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Mzee dunia ya sasa Kiingereza muhimu wewe baki na Kiswahili chakoKuelewa ni kugumu sana, hivi kingereza ni lugha Mama ya Wakenya? Hivi Kiswahili sio lugha Mama ya watanzania? Mwingereza akiongea Kiswahili ndio ni mtumwa wa Kiswahili tumemtuma azungumze Kiswahili akitangaze Kiswahili cha kwetu kifike mbali na kuvuka mipaka zaidi BBC Swahili
Umesema vyema ephen_Nyenyere ametufanyia upumbavu mwingi wa Tanzania, hafai kuitwa baba yetu
Muungano❌
Katiba❌
Lugha❌
Kiswahili ndio kimetufanya tuishi kwa Umoja zidumu fikra za NyerereMzee ulimwengu wa sasa Kiingereza muhimu wewe baki na Kiswahili chako
Babu alifeli sanaKiswahili ndio kimetufanya tuishi kwa Umoja zidumu fikra za Nyerere
Haaaaa mtoa mada kundaf sana mbona polese wetu wamebonga ngeli mnyooko pigin flani ya kinyaki na kizaramuno naHawa hapa?
Aibu kwa kutofahamu kiingereza?? Yy mbona hajui kiswahili?? Nadhani ww ndo unatakiwa kuona aibu kwa mawazo kama yako,kutokujua kiingereza wala siyo jinai ni lugha kama kisukuma na kimakondeMdada ni Mnigeria ana pikipiki zile za masafa marefu, yupo mpakani kasimamishwa na wana mamlaka wetu. Wakaanza kuongea nae kiingereza, aibu nimeona mimi.
Mdada ana camera kaifunga nadhani kwenye pikipiki so alikuwa anarekodi matukio na kuyapost mtandaoni.
Tusomeshe watoto jamani dunia ya sasa kiingereza hakiepukiki
Lugha gongana ndio maana hao polisi wamekuwa wapole. Ingekuwa kiswahili hapo kwanza funguo zingechomolewa then mengine yaendelee.Hawa hapa?
polisi wametema yai limeiva na pia lina chumvi kiasi.ni vile jf kuna wajuaji waliopitiliza.Hawa hapa?
Polisi wanamkubali sana Mwamba wa lusaka. Chriotas chotaa Chama.Zambia at Chama🤣🤣
Kama hutojali, naomba tafsiri ya "Zambia at Chama". Alimaanisha nini?Zambia at Chama🤣🤣
Hehehe anamaanisha zambia kwa kina chama.Kama hutojali, naomba tafsiri ya "Zambia at Chama". Alimaanisha nini?
Msemaji wa serikali leo kahojiwa bbc juu ya kimbunga hidaya, ngeli ya kitanzania kabisa yaniMdada ni Mnigeria ana pikipiki zile za masafa marefu, yupo mpakani kasimamishwa na wana mamlaka wetu. Wakaanza kuongea nae kiingereza, aibu nimeona mimi.
Mdada ana camera kaifunga nadhani kwenye pikipiki so alikuwa anarekodi matukio na kuyapost mtandaoni.
Tusomeshe watoto jamani dunia ya sasa kiingereza hakiepukiki
mbona wamejitahidi sana. ukienda nchi kama angola, na msumbiji walikozoea kireno, hata kihi kiswahili hautapata. nilishawahi kukutana na mwanafunzi mwafrika mwenzangu Ulaya, kwenye nchi isiyoongea kiingereza, yeye alikuwa ametokea Angola, hajui kabisa hata kiingereza cha maji.Hawa hapa?
Shukran mkuu!Hehehe anamaanisha zambia kwa kina chama.
Bila video ni umbea tuMdada ni Mnigeria ana pikipiki zile za masafa marefu, yupo mpakani kasimamishwa na wana mamlaka wetu. Wakaanza kuongea nae kiingereza, aibu nimeona mimi.
Mdada ana camera kaifunga nadhani kwenye pikipiki so alikuwa anarekodi matukio na kuyapost mtandaoni.
Tusomeshe watoto jamani dunia ya sasa kiingereza hakiepukiki
Umekionaje Kizungu chake?Msemaji wa serikali leo kahojiwa bbc juu ya kimbunga hidaya, ngeli ya kitanzania kabisa yani
Aibu gani sasa. Yeye mnaijeria ndio ajifunze kiswahiliMdada ni Mnigeria ana pikipiki zile za masafa marefu, yupo mpakani kasimamishwa na wana mamlaka wetu. Wakaanza kuongea nae kiingereza, aibu nimeona mimi.
Mdada ana camera kaifunga nadhani kwenye pikipiki so alikuwa anarekodi matukio na kuyapost mtandaoni.
Tusomeshe watoto jamani dunia ya sasa kiingereza hakiepukiki