mjenziwakale
JF-Expert Member
- Sep 24, 2015
- 954
- 1,469
***** wale Kenge ilibidi wawe tu wapole sababu ya kizungu, waliona mambo yasiwe mengi, ndo zao hao wakiona mtu mgeni au ukiwapigisha ngeli huwa wanasanda na kujikuta wakarimu .....🤗🤗🤗Ni jamaa au mwanamke? Sijaona Cha ajabu mbona wameongea nae vizuri tu mpaka anaondoka anasema " are Tanzania police always this nice? "
Kwenye dunia ya Messi, Kiingereza kimemsaidia nini?Mzee dunia ya sasa Kiingereza muhimu wewe baki na Kiswahili chako
ukoloni mamboleo tu unakusumbua. Hivi wachina, wajapani wanaopiga kazi kwa lugha zao kuna shida gani?Mdada ni Mnigeria ana pikipiki zile za masafa marefu, yupo mpakani kasimamishwa na wana mamlaka wetu. Wakaanza kuongea nae kiingereza, aibu nimeona mimi.
Mdada ana camera kaifunga nadhani kwenye pikipiki so alikuwa anarekodi matukio na kuyapost mtandaoni.
Tusomeshe watoto jamani dunia ya sasa kiingereza hakiepukiki
Mleta mada ana hoja Mfano mataifa ya ulaya wasiozungumza kiingereza Mfano France, German, Italy, Spain, Belgium, scandinavia n.k. kiingereza ndiyo lugha muhimu Kwa lugha za kigeni wanafundishwa vizuri na wanakiongea kama kikwao utagundua wenzetu wapo strategic na hawaja temper na elimu sasa nikuulize swali mjerumani kujua kiingereza ni utumwa au ni matakwa ya Dunia? Kama wewe unakaa nanjikinji ukisafir kuja Dsm labda unaenda mhimbili kama siyo Mloganzila utakuwa sawa lakini kama upo ofisi flani au kupata na mwewe kuvuka maji kwenga ng'ambo huu ulioandika utakuwa upumbavHuu utumwa utaisha lini? Mleta mada ni mtumwa lakini hajui kama ni mtumwa.
Kweli wajinga kama wewe kwenye dunia hiini wengi!Mdada ni Mnigeria ana pikipiki zile za masafa marefu, yupo mpakani kasimamishwa na wana mamlaka wetu. Wakaanza kuongea nae kiingereza, aibu nimeona mimi.
Mdada ana camera kaifunga nadhani kwenye pikipiki so alikuwa anarekodi matukio na kuyapost mtandaoni.
Tusomeshe watoto jamani dunia ya sasa kiingereza hakiepukiki
Acha upuuzi wewe fagilia lugha yako....Mleta mada ana hoja Mfano mataifa ya ulaya wasiozungumza kiingereza Mfano France, German, Italy, Spain, Belgium, scandinavia n.k. kiingereza ndiyo lugha muhimu Kwa lugha za kigeni wanafundishwa vizuri na wanakiongea kama kikwao utagundua wenzetu wapo strategic na hawaja temper na elimu sasa nikuulize swali mjerumani kujua kiingereza ni utumwa au ni matakwa ya Dunia? Kama wewe unakaa nanjikinji ukisafir kuja Dsm labda unaenda mhimbili kama siyo Mloganzila utakuwa sawa lakini kama upo ofisi flani au kupata na mwewe kuvuka maji kwenga ng'ambo huu ulioandika utakuwa upumbav
Wewe ndio mwenye shida. Huyo Dada anaweza kuongea Kiswahili vizuri?Mdada ni Mnigeria ana pikipiki zile za masafa marefu, yupo mpakani kasimamishwa na wana mamlaka wetu. Wakaanza kuongea nae kiingereza, aibu nimeona mimi.
Mdada ana camera kaifunga nadhani kwenye pikipiki so alikuwa anarekodi matukio na kuyapost mtandaoni.
Tusomeshe watoto jamani dunia ya sasa kiingereza hakiepukiki
Jibu swaafiWewe ndio mwenye shida. Huyo Dada anaweza kuongea Kiswahili vizuri?
HahahaZambia at Chama🤣🤣
Siwezi kubishana na Nanga kama weweYeye aliweza kuongea Kiswahili?
Endelea kuongea kisukuma tuKwan ukienda marekan then ukakuta kiswahili kinawpga chenga utashangaa? Mtanzania lugha ni kiswahili hayo mengne ni chombezaaa tuu
Aibu kamuonee mumeo hukoNimeona aibu mm kwa upumbavu aloandika mtoa uzi
Dah tunadhihirisha ufinyu wetu wa kufikiri. Yan mtoa mada unadhani kiingereza ndo kilakituuu??
Dah kwa akili hizo bado utaendelea kumshukuru waziri kwa kuleta mvua
China hawajui kiingereza
Ulivyo mjinga kuchwani mwako, ukaja ku-coment usichokielewa na kisichokuhusu. Kenge weweMada yenyewe umeleta haina mpangilio wala supporting documents, halafu inaonekana wewe bado una fikra za utumwa wa lugha, cha ajabu nini sasa kutofahamu lugha ya kiingereza, mbona hata huko ulaya ni nchi kibao tu za wazungu wanabambia kingereza au unadhani hiko chako cha yes yes mzungu kala mafenesi ndio kingereza? Acha kuwa mtumwa wa fikra.
Hongera mwalimu mpamileKila siku naingiza kitu
Mdogo mdogo
View attachment 2980275View attachment 2980276View attachment 2980277View attachment 2980278View attachment 2980279View attachment 2980280View attachment 2980281
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Bure kabisa wewe!! Huna unachojuaHata huyo Mnigeria hajui Kiswahili, hivyo sioni tatizo.
Ndio umeandika nini? 🚮🚮🚮ukoloni mamboleo tu unakusumbua. Hivi wachina, wajapani wanaopiga kazi kwa lugha zao kuna shida gani?
Halafu siku hizi kuna apps ambazo zinatafsiri kutoka lugha moja kwenda nyingine, tatizo ni nini sasa?