Kuna viongozi wengi ni Usalama wa Taifa!?

Going far bro, mama wa mwenzio anaingiaje hapa, respect is not a rewards bro, control your emotional intelligence!
😁 au ndiyo wale wa bora unitukanie baba yangu kuliko mama yangu 🌈
 
WanakuzWa sana tu
Hamna lolote

Ova
 
Hamna lolote hapo hana cha teeth wala nini

Ova
sidhani.ila hawa viongozi wa dini ni lazma wapandikizwe na usalama katika taasisi za dini.ili kugundua hatari zitakazoanzia kwenye dini.sio mufti tu hata viongozi wa makanisa ni usalama.
 
sidhani.ila hawa viongozi wa dini ni lazma wapandikizwe na usalama katika taasisi za dini.ili kugundua hatari zitakazoanzia kwenye dini.sio mufti tu hata viongozi wa makanisa ni usalama.
Si dini zote, kuna dhehebu moja ambalo wameshindwa kuli penetrate wanavyotaka sababu control haipohapa iko kutoka nje
 
Idara yetu ni nzuri ila iko chinni ya political figure(Rais), ili ifanye kazi iwe independent authority, na bunge lisaidie hiki kitu lisiwe kile la ndioooooo, sioooo. Kuna mambo yako ki nchi zaidi ya kisiasa au uchama jambo hili linafanya watu wazuri wa Idara kuingia mtego wa kuwa wanasiasa na kulamba miguu ya wajumbe. Waanakusanya taarifa wanazichakata na kuziwasilisha kwa maamuzi wa wana siasa ambao maslahi yao yakiguswa na taarifa hizo wanatupilia mbali. Wapo wanasiasa hawastahili kuwa viongozi kabisa lakini kwa sababu zisizoelewekawameendelea kuwa viongozi. Idara ikiwa safi ye ye vetting ya kizalendo sio kikanda, kichama wala kujuana itakuwa na watu safi wenye kujali maslahi ya nchi mioyoni kwanza na sio siasa au ukanda na kujuana.
Nchi kwanza .Nchi kwanza
 
K
Mada pendwa JF, laiti wangejua jinsi hao vijana wa huko walivyo na shida wala wasingeitamani hiyo kazi
Kwani ni tofauti na maisha kama yale tuliokuwa tunayasoma kwenye Novel’s zilizokuwa zikiwahusu CIA na KGB za Enzi zile za Vita baridi ??!

Watu walikuwa wanakula raha kweli kweli na wakati wa kazi wanahenya na kazi kweli kweli πŸ˜…!
 
WanakuzWa sana tu
Hamna lolote

Ova
Ukibahatika kukutana na wale wazee ambao wamestaafu. Utawapenda mkuu.

Wana akili mno.

Mtu ana miaka 78 lakini kichwa kizuri kuzidi hata vijana wengi tu.
 
Ukibahatika kukutana na wale wazee ambao wamestaafu. Utawapenda mkuu.

Wana akili mno.

Mtu ana miaka 78 lakini kichwa kizuri kuzidi hata vijana wengi tu.
Nmekaa mkunguni jirani na nyumba aliyokuwa anakaa pinda
Enzi hizo jumapili unamuona pinda yule anatembea anaenda zake kanisani uwaziri bado hapo
Ule mtaa walijaa wao enzi za pajero

Ova
 
Mkuu, Naomba kujua Kuna wabunge na madiwan nawafahamu walipitia usalama wa taifa kabla hawajawa viongozi wa majimbo hii leo, Ile kazi yao wanaiacha kabsa au wanaendelea kuwa na ubunge pamoja usalama??
 
Kuna viongozi wengi sana ambao ni usalama wa taifa. Mmoja ambaye nina uhakika naye kwa πŸ’― ni Professor Mkumbo ambaye ni waziri kwa sasa. Miaka yote hata kabla ya kuingia Chadema alikuwa usalama wa taifa.
Katika hiyo list kama Zitto hayumo utakuwa una tongo tongo la utambuzi.
 
Kuna viongozi wengi sana ambao ni usalama wa taifa. Mmoja ambaye nina uhakika naye kwa πŸ’― ni Professor Mkumbo ambaye ni waziri kwa sasa. Miaka yote hata kabla ya kuingia Chadema alikuwa usalama wa taifa.
Kila mtu ni usalama wa taifa. Mnatofautiana vitengo tu.
 
Hamna lolote hapo hana cha teeth wala nini

Ova
Bakwata ni chombo cha serikali,na hujaa mashushu, uchaguzi wa mufti bakwata idara huwa bize kuhakikisha anakaa mtakiwa,hata watu wa vigango huwa bize na uchaguzi wa mufti wa bakwata, infact waliudhamini 1992
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…