Kuna vodeo inatembea mitandaoni ya bodaboda kugongana uso kwa uso na Subaru huko Arusha inahuzunisha sana

Kuna vodeo inatembea mitandaoni ya bodaboda kugongana uso kwa uso na Subaru huko Arusha inahuzunisha sana

Chanzo ni mwendo kasi wa bodaboda na ku-over take bila kuchukua tahadhari.

Nafikiri wale jamaa wa bodaboda wamefariki palepale. Maana mmoja aliburuzwa na tairi la gari.
Ni kama tukio liliandaliwa kwa ajili ya tik tok ila likaenda mrama, maana jamaa alirekodi wawili wakipita kwa kasi sana alipokuwa anarudi upande wa mwanzo ikawa anagongwa huyo aliyeishia gapo
 
Ulivyoandika kwa hisia utadhani wewe hutakufa fakii yuu
Wote tutakufa mkuu. Ila tunakufaje? Kuna vingine vinaepukika, ingawa siku ikifika imefika.

Imagine unaamka asbh unaenda kazini, unamaliza kazi vizuri. Unasema ngoja nidake toyo niwahi home maana mvua haitabiliki.

Njiani boda anavaa cruiser ya porini ilikuwa iko mshale na enyewe hapo mbele ilikuwa na barakoa… oh si unawajua drivers wenye barakoa wanavyoisogeza ukifijifanya una overtake hovyo? , wote mnafia hapo.
 
Arusha kunahitaji uwe dereva kweli maana usipowakwepa hawa boda boda na kuwapigia honi mara kwa mara utawaua sana maana wao hawakwepi gari wanasema unalilenga kweli hawa watu ni kiboko ukipita maeneo ya Uswahilini usiku unafanya kuwakwepa wao kama ndio gari na wewe ndio boda wakipita kwa kupishana karibu na side mirror wanaita nyembe ile imekubali...
 
Mi nimesikitika kuona subaru ilivyokunjika mpaka sina imani na Wajapan,wanajeenga gari kama nyumba zao zilivyo kujihami na matetemeko.
 
Back
Top Bottom