Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 12,823
- 21,210
Alihisi kitu kitatokea sababu ya uendeshaji wa ovyo. Na kweli kikatokea ni vile unamsikia anamwabia mwenzie "si nilikwambia chalii angu?".Ni kama tukio liliandaliwa kwa ajili ya tik tok ila likaenda mrama, maana jamaa alirekodi wawili wakipita kwa kasi sana alipokuwa anarudi upande wa mwanzo ikawa anagongwa huyo aliyeishia gapo