Kuna vodeo inatembea mitandaoni ya bodaboda kugongana uso kwa uso na Subaru huko Arusha inahuzunisha sana

Kuna vodeo inatembea mitandaoni ya bodaboda kugongana uso kwa uso na Subaru huko Arusha inahuzunisha sana

Hv bashite anajua kama Arusha kuna msiba kweli??? Mbona km sijamsikia akisema kitu.
Yupo bussy anayarudi goma la mama
 
Ni kama tukio liliandaliwa kwa ajili ya tik tok ila likaenda mrama, maana jamaa alirekodi wawili wakipita kwa kasi sana alipokuwa anarudi upande wa mwanzo ikawa anagongwa huyo aliyeishia gapo
Tik tok kama lilivyo jina lake ni a ticking time bomb, likes, gifts, zinamaliza vijana.
 
Vijana wa Arusha (wadudu) msipobadilika mtaangamia sana.

Kuna video inatembea mitandaoni hasa twitter, bodaboda akigongana uso kwa uso na Subaru.

Chanzo ni mwendo kasi wa bodaboda na ku-over take bila kuchukua tahadhari.

Nafikiri wale jamaa wa bodaboda wamefariki palepale. Maana mmoja aliburuzwa na tairi la gari.

Kuna ajali nyingine naambiwa imetokea huko Kikatiti leo jioni ambapo bodaboda amevunjika miguu kutokana na mwendo kasi.

Godbless Lema alikuwa mbele ya muda
Naona waliigonga tairi gari halafu wakarushwa ndio wakagongwa na hiyo gari nyingine
 
SAFI SANA, ZINATAKIWA ZITOKEE 100 KWA SIKU.
NDIO AKILI ZITAKAA SAWA KICHWANI

RIP WADUDU
 
Vijana wa Arusha (wadudu) msipobadilika mtaangamia sana.

Kuna video inatembea mitandaoni hasa twitter, bodaboda akigongana uso kwa uso na Subaru.

Chanzo ni mwendo kasi wa bodaboda na ku-over take bila kuchukua tahadhari.

Nafikiri wale jamaa wa bodaboda wamefariki palepale. Maana mmoja aliburuzwa na tairi la gari.

Kuna ajali nyingine naambiwa imetokea huko Kikatiti leo jioni ambapo bodaboda amevunjika miguu kutokana na mwendo kasi.

Godbless Lema alikuwa mbele ya muda
bodaboda wote wana matatizo... wanyooshwe wote
 
Tangia nipate ajari nimekua muoga Sana ( kuhusu Maisha na siku zetu hapa duniani)

Video imenipa mshituko Mkubwa maana jamaa hajaomba hata maji Najua how it feels kupata ajari na ku survive then ku recovery na kupambania Maisha YAKO

Mungu Ni mwema WAKATI WOTE wakati wote MUNGU NI MWEMA
 
Vijana wa Arusha (wadudu) msipobadilika mtaangamia sana.

Kuna video inatembea mitandaoni hasa twitter, bodaboda akigongana uso kwa uso na Subaru.

Chanzo ni mwendo kasi wa bodaboda na ku-over take bila kuchukua tahadhari.

Nafikiri wale jamaa wa bodaboda wamefariki palepale. Maana mmoja aliburuzwa na tairi la gari.

Kuna ajali nyingine naambiwa imetokea huko Kikatiti leo jioni ambapo bodaboda amevunjika miguu kutokana na mwendo kasi.

Godbless Lema alikuwa mbele ya muda
Ni kweli walikuwa wanaenda kuzika moshi walikuwa wengi makundi makundi na mwendo wa ngiri mkia juu!!!
 
Ni kweli walikuwa wanaenda kuzika moshi walikuwa wengi makundi makundi na mwendo wa ngiri mkia juu!!!
Sio kuzika,walikuwa wanaenda kwenye mashindano ya mbio za pikipiki leo.Unaambiwa wamekufa bodaboda 7 kwa siku ya leo tu
 
SAFI SANA, ZINATAKIWA ZITOKEE 100 KWA SIKU.
NDIO AKILI ZITAKAA SAWA KICHWANI

RIP WADUDU
Mkuu sijui hawa vijana ujasiri ule wanautoa wapi? Yani wapo speed kaliii na anainyenyua toyo tairi la mbele anatembelea la nyuma.Mbaya zaidi utakuta amepakia wenzake kwa nyuma na wengine ni mabint.

Wangehamisha ujasiri huu kwenye kupigania haki na usawa wa kunufaika na keki ya taifa,maendeleo yangekuwa makubwa sana kwa mtu mmoja na taifa kwa ujumla.
 
Huo ndio mwendo wa buku sasa...

Kwa usalama wako ukipanda boda boda Arusha usijaribu kuomba kupunguziwa bei... Utajuta!
 
Nadhani kuna namna inatakiwa kufanywa kulisaidia hili kundi la watoto ma wala si vijana hawa.
 
Boda boda washenzi Sana ajali nyingi wana jisababishia wenyewe acha waendelee kupungua tuu shenzi zao
 
Back
Top Bottom