Kuna vodeo inatembea mitandaoni ya bodaboda kugongana uso kwa uso na Subaru huko Arusha inahuzunisha sana

Kuna vodeo inatembea mitandaoni ya bodaboda kugongana uso kwa uso na Subaru huko Arusha inahuzunisha sana

Kaanza kugonga Corolla kwa nyuma, kapoteza balance ya boda, kajipeleka kwa Subaru kukata roho na abiria wake...

20240414_195220.jpg
 
Vijana wa Arusha (wadudu) msipobadilika mtaangamia sana.

Kuna video inatembea mitandaoni hasa twitter, bodaboda akigongana uso kwa uso na Subaru.

Chanzo ni mwendo kasi wa bodaboda na ku-over take bila kuchukua tahadhari.

Nafikiri wale jamaa wa bodaboda wamefariki palepale. Maana mmoja aliburuzwa na tairi la gari.

Kuna ajali nyingine naambiwa imetokea huko Kikatiti leo jioni ambapo bodaboda amevunjika miguu kutokana na mwendo kasi.

Godbless Lema alikuwa mbele ya muda
ooh lema ndio alikua anaendesha kwa mwendokasi kuwahi muda sio? dah 🐒
 
Mi nimesikitika kuona subaru ilivyokunjika mpaka sina imani na Wajapan,wanajeenga gari kama nyumba zao zilivyo kujihami na matetemeko.
mchina anakupa kopy ya chochote
 
Bodaboda kwa asilimia fulani mengi huwa wanayatafua wao, japokuwa kuna wakati wanasababisiwa ajali, ila kwa asilimia kubwa, vijana wengi wa bodaboda wana akili za kijinga mno, yani wengine wakiwa barabarani ni zero brain kabisa, yani hamnazo.
 
Back
Top Bottom