Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahah umenigeuza babu yako sasaNimekuja na code ukabaki kushangaa🤣🤣
🤣🤣🤣poapoa....nikaita Baba ukamute kuona new I’d 🤣🙌🏿hahah umenigeuza babu yako sasa
vipi hali lakini binti yangu
nilibaki kujiuliza huyu kijana wangu ni yupi vilee🤣🤣🤣poapoa....nikaita Baba ukamute kuona new I’d 🤣🙌🏿
Kumbe ni bintio yuleyule tofauti visogo😃nilibaki kujiuliza huyu kijana wangu ni yupi vilee
kazi kwelikweli namna hii utaniangusha na bp To yeyeKumbe ni bintio yuleyule tofauti visogo😃
Hakikani wakuzungumza nao kabla hawajakomaa
Dah.. nimeangalia mara nyingi.. mchukua picha ni kama alitarajia anasema "Si unaona Chali yangu"Kaanza kugonga Corolla kwa nyuma, kapoteza balance ya boda, kajipeleka kwa Subaru kukata roho na abiria wake...
View attachment 2963705
ooh lema ndio alikua anaendesha kwa mwendokasi kuwahi muda sio? dah 🐒Vijana wa Arusha (wadudu) msipobadilika mtaangamia sana.
Kuna video inatembea mitandaoni hasa twitter, bodaboda akigongana uso kwa uso na Subaru.
Chanzo ni mwendo kasi wa bodaboda na ku-over take bila kuchukua tahadhari.
Nafikiri wale jamaa wa bodaboda wamefariki palepale. Maana mmoja aliburuzwa na tairi la gari.
Kuna ajali nyingine naambiwa imetokea huko Kikatiti leo jioni ambapo bodaboda amevunjika miguu kutokana na mwendo kasi.
Godbless Lema alikuwa mbele ya muda
hii kwa sisi wazee haina shida sanaSi tumeruhusiwa sahivi ivo mjitahidi kutulia la sivyo utakutana na yuleyule 🤣
kwa hapo arusha hata madereva bajaji ni kero wanachomekea na kupack kila mahali tena ghafla.Hakika
mchina anakupa kopy ya chochoteMi nimesikitika kuona subaru ilivyokunjika mpaka sina imani na Wajapan,wanajeenga gari kama nyumba zao zilivyo kujihami na matetemeko.
🤣🤣Hii ni changamoto aisee 🙌🏿kupiga dede'
Mungu atuepushie roho za mauti na ajali IJN
Hakuna tusi jipyaUlivyoandika kwa hisia utadhani wewe hutakufa fakii yuu
Sawa madamUsichanganye mambo, hao sio afisa usafirishaji hao ni wahuni na wapumbavu wanaoendesha pikipiki japokuwa kuna afisa usafirishaji wapo hvy.