Kuna wahenga mnaokumbuka hili tangazo la UKIMWI la kwenye TV?

Jirani yetu mwanaume alimleta mmama wakawa wanaishi wote kama mwaka

Juzi kati hapo huyo mama kapukutika uzuri wote kwishaa

Nikaenda kisimani nawasikia wamama wanapiga umbea wanamcheka eti "alikuja hata hajauliza historia, mwenzake kaungua kitambo"

Kumbe huyo baba ana ngoma kashamuambukiza mama wa watuπŸ₯Ή
 
Mkuu mimi sisemi zaidi nisije nikakufuru ila mapito niliyopita na mechi nilizouza nashukuru nipo salama na sirudii tena.
 
Nyie mbona hatareee hii

Mtafanya leo nizunguke magengeni hapa kupata historia ya antiel carah aiseee πŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯Ί
 
Kama wewe unajiona muoga muoga hakuna kupima..
Upime ili iweje.....
 
Kuna muda huna namna, kupima ni moja ya kuipenda na kuijali afya yako na kesho yako ili ufanye maamuzi sahihi mapema.
Una wazimu wewe si bure πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Et ufanye maamuzi mapema
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Wee jamaa juu kule tumeanza vzr ila huku mwisho umeanza kupuyanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…