Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Ni huzuni aiseh 🥺🥺Hata wa kike mpenzi....tena sana tu.
"Daddy issues" ni chanzo kikubwa sana cha matatizo kwenye maisha/mahusiano ya mabinti wengi sana 😒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni huzuni aiseh 🥺🥺Hata wa kike mpenzi....tena sana tu.
"Daddy issues" ni chanzo kikubwa sana cha matatizo kwenye maisha/mahusiano ya mabinti wengi sana 😒
Jamani watu8 kwani unanini?
Tumuombee heri afunge ndoa ampate mtoto ndani ya ndoa.asipite huku tunakokusimulia sasa🥺🥺🥺🥺
📌📌📌📌📌📌Kitanda hakizai haramu mpenzi...
Muhimu watoto wapate mama au baba au wazazi bora...
mimi nataka mtoto ila sitaki process yakeTusimtishe sana Saint Anne...
Process ya kupata mtoto raha, vita ya viuno kitandani...na ukiwa na mtoto raha vilevile
mimi nataka mtoto ila sitaki process yake
Mama mchungaji Yani hii ishu ya watoto ni nzito sana ☹️Sikuwahigi kuelewa mpka pale nilipowapata wale vijana aiseh Baba ni baba hakuna baba mbaya..ila tunatokea kutamka maneno mabaya kwa baba watoto zetu kwakuwa moyo unakuwa umezingirwa na uchungu + hasira.Mungu atusaidie kwakweli
why strange?that's strange
Vunja na dining table kabisaaWell, kabla sijakuwa mzee na kuokoteza busara kidogo here and there I was once young and perhaps a bit stupid.
Kwa kutokuwa kwangu responsible (kama nilivyokuwa na-preach mchana 🙄🙄) I got pregnant. Nikaamua kuwa if I was irresponsible enough to the point of getting pregnant at such a young age...I might as well start by holding myself accountable, so....I did!
Anyway, leo dogo anatimiza miaka kadhaa and I'm happy & proud I made the decision I made! No idea what will become of him 10 or 20 yrs mbeleni but right now....he is an awesome kid!!😊 Kanacheza sana mpira and he is the captain of his team💪🏾💪🏾 I honestly couldn't ask for better kids. 😇
Happiest birthday to my little dude 🥳🥳
View attachment 1968720View attachment 1968721
Maybe one day (for the sake of educating & inspiring others) I'll write an autobiography nimwage ugali, mboga mpaka chai.🤷🏾♀️🤷🏾♀️
vita siiwezithat's strange
sababu hii vita lazima ipiganwe chini kwa chini, halafu uishie kuvimba juu 😊
Hongera Sana.🙂🙂🙂
Nyati dume mie mwenyewe nakula kipaji changu zaidi ya cheti so lazima nipigie debe watoto kujaribu kila kitu wanachopenda/weza...as long as sio kitu kibaya!
Jamani Heaven Sent 🤗🤗🤗 Thank you for the lovely ujumbe.😘😘😘Lizzy Mungu akupe maisha marefu yenye afya tele; uyaone, na kula matunda ya uzao wa tumbo lako. Watoto wako wakakuvike taji ya heshima; kwa wao mama yao ukaitwe "mbarikiwa". Watoto wako hawatokutesa, wala kukufanya uone aibu,wala kuwa jaribu la maisha yako IJN. You are blessed
Asante mpenzi ila mbona nipo muda mrefu...Lizzy is baaaaaaaaack
Kumbe ulikuwa unalea
Hongera kwa kukuza
Happy birthday kwa huyo malaika!!!!
Ishu inakuja, huyo huyo anayekupa stress na ukaamua ku-move on, bado ataendelea kukuambukiza ujauzito.Mpenzi hawa kina KakaJambazi tuishie kuwaangalia tu. Kutilia maoni yao maanani ni kujitakia stress sizizotuhusu 🥴🥴
Btw...thank you for the birthday wishes!🤗😘
I hope you & yours are doing great!!!
Ila si anafanya nje ya ndoa!?Jamani watu8 kwani unanini?
Tumuombee heri afunge ndoa ampate mtoto ndani ya ndoa.asipite huku tunakokusimulia sasa🥺🥺🥺🥺
Nimemaanisha kupata mtotnje ya nndoa jamani.tumuombee heri mambo yake yapate kwenda Sawa lohIla si anafanya nje ya ndoa!?