Kuna wakati kufanya kosa sio kosa....Happiest Birthday to my 1st love 🤗

Kuna wakati kufanya kosa sio kosa....Happiest Birthday to my 1st love 🤗

She is happy with her life, whether or not she is single.

Are you hitched? Are you happy with yours?

If you are not happy on your own, no one will ever be able to make you happy.
Mpenzi hawa kina KakaJambazi tuishie kuwaangalia tu. Kutilia maoni yao maanani ni kujitakia stress sizizotuhusu 🥴🥴

Btw...thank you for the birthday wishes!🤗😘
I hope you & yours are doing great!!!
 
Hakuna baba asiye na umuhimu.

Baba ni muhimu sana nasisitiza zaidi hasa kwa mtoto wa kiume [emoji3064]
Kuna siku mama Mchungaji wangu aliniambia; "Maskini sio mtu asiye na pesa/mali; umaskini mkubwa zaidi ni kutokuwa na wazazi".

Akaendelea akaniambia; " Ni bora mtoto akakosa mama lakini sio baba". Ukimkosa mama, mwanamke yeyote anaweza akawa mama kwako; kwa sababu kila mwanamke ana umama ndani yake. Ndiyo maana unaweza ukamuacha mtoto mdogo kabisa kwa ka binti hata ka miaka 14; utamkuta mtoto salama kabisa, kila kitu chake kiko poa. Baadhi ya familia; unakuta dada wakubwa ndiyo walezi wa familia, inapotokea mama akapata changamoto yoyote; hata kama dada mkubwa naye badi ana umri mdogo. Lakini sio kila mwanaume ni baba; na hata baba yako mzazi anaweza asiwe "baba" kwako. So many absentee fathers

Kuna siku nilikuwa naongea na mwanasaikolojia fulani; akaniambia cases nyingi za wanawake/mabinti wanaokuwa sexually abused; zinawapata mabinti wengi wenye daddy issues. Na hata wanawake wengi wanaovumilia abuses kwenye ndoa zao, na wengineo hata kupoteza maisha, wana daddy issues. Kwangu " baba" ni mtu mwingine kabisaaaaa.
 
Lizzy Mungu akupe maisha marefu yenye afya tele; uyaone, na kula matunda ya uzao wa tumbo lako. Watoto wako wakakuvike taji ya heshima; kwa wao mama yao ukaitwe "mbarikiwa". Watoto wako hawatokutesa, wala kukufanya uone aibu,wala kuwa jaribu la maisha yako IJN. You are blessed
 
Well, kabla sijakuwa mzee na kuokoteza busara kidogo here and there I was once young and perhaps a bit stupid.

Kwa kutokuwa kwangu responsible (kama nilivyokuwa na-preach mchana 🙄🙄) I got pregnant. Nikaamua kuwa if I was irresponsible enough to the point of getting pregnant at such a young age...I might as well start by holding myself accountable, so....I did!

Anyway, leo dogo anatimiza miaka kadhaa and I'm happy & proud I made the decision I made! No idea what will become of him 10 or 20 yrs mbeleni but right now....he is an awesome kid!!😊 Kanacheza sana mpira and he is the captain of his team💪🏾💪🏾 I honestly couldn't ask for better kids. 😇

Happiest birthday to my little dude 🥳🥳
View attachment 1968720View attachment 1968721

Maybe one day (for the sake of educating & inspiring others) I'll write an autobiography nimwage ugali, mboga mpaka chai.🤷🏾‍♀️🤷🏾‍♀️
Hongera mkuu kwa kuexpress feeling kwa mtu wako muhimu.
 
Kuna siku mama Mchungaji wangu aliniambia; "Maskini sio mtu asiye na pesa/mali; umaskini mkubwa zaidi ni kutokuwa na wazazi".

Akaendelea akaniambia; " Ni bora mtoto akakosa mama lakini sio baba". Ukimkosa mama, mwanamke yeyote anaweza akawa mama kwako; kwa sababu kila mwanamke ana umama ndani yake. Ndiyo maana unaweza ukamuacha mtoto mdogo kabisa kwa ka binti hata ka miaka 14; utamkuta mtoto salama kabisa, kila kitu chake kiko poa. Baadhi ya familia; unakuta dada wakubwa ndiyo walezi wa familia, inapotokea mama akapata changamoto yoyote; hata kama dada mkubwa naye badi ana umri mdogo. Lakini sio kila mwanaume ni baba; na hata baba yako mzazi anaweza asiwe "baba" kwako. So many absentee fathers

Kuna siku nilikuwa naongea na mwanasaikolojia fulani; akaniambia cases nyingi za wanawake/mabinti wanaokuwa sexually abused; zinawapata mabinti wengi wenye daddy issues. Na hata wanawake wengi wanaovumilia abuses kwenye ndoa zao, na wengineo hata kupoteza maisha, wana daddy issues. Kwangu " baba" ni mtu mwingine kabisaaaaa.
Mama mchungaji Yani hii ishu ya watoto ni nzito sana ☹️Sikuwahigi kuelewa mpka pale nilipowapata wale vijana aiseh

Baba ni baba hakuna baba mbaya..ila tunatokea kutamka maneno mabaya kwa baba watoto zetu kwakuwa moyo unakuwa umezingirwa na uchungu + hasira.Mungu atusaidie kwakweli
 
Back
Top Bottom