Kuna wakati kufanya kosa sio kosa....Happiest Birthday to my 1st love 🤗

Kuna wakati kufanya kosa sio kosa....Happiest Birthday to my 1st love 🤗

Sio single mothers tu....hata single fathers!!

Washkaji zangu kibao wamelea watoto wao mpaka wamekuza on their own.

Single parenthood sio kitu cha kusifia ila ni kitu ambacho hakiepukiki nyakati zingine.

People change & priorities shifts....so inafika mahali kuachana kunakuwa ni muhimu kwa afya nzuri ya akili, hisia na mwili kwa wahusika wote kuanzia mama, baba hadi mtoto. Familia/couple zenye ugomvi ndani huwa sio nzuri kwa makuzi ya mtoto hata kidogo. Psychologically tunawaumiza sana!! Sema ndo hivyo tena....wengi hutaka kuiridhisha jamii huku wakiteketeza nyumba zao ndani kwa ndani.😏
Ofcourse sio kitu cha kusifia ila dah! I never wish for that atleast basi muwe mna co-parent tu for the sake of the kids
 
Hongera.

Inafurahisha kusikia mzazi wa Kitanzania anaongelea kuhusu kipaji cha mtoto wake, zamani sisi tulikuwa tunakatazwa kucheza mpira au kuruka sarakasi eti tutavunjika.Vipaji vyetu vilizikwa na wazazi wetu.

Sasa hivi kipaji siyo tu ni ajira bali ni utajiri ,wazazi pamoja na kuwapa elimu watoto wetu pia tuviendeleze vipaj vyao kwa kuwanunulia vifaa,kuwalipia gharama za mafunzo ya vipaji vyao nk.

Leo hii mchezaji mpira wa zamani wa Simba Luis Miquesone 'Konde boy' analipwa zaidi ya milioni 95 kwa mwezi na anacheza hapa hapa Afrika je akienda Ulaya?
🙂🙂🙂

Nyati dume mie mwenyewe nakula kipaji changu zaidi ya cheti so lazima nipigie debe watoto kujaribu kila kitu wanachopenda/weza...as long as sio kitu kibaya!
 
Eeh watoto wako Curious sana kuna maswali ambayo faza of the nation angeweza yajibu ila mama inakuacha katika tafakuri nzito!

Tukiwaambiaga baba ni muhimu hata akiwa hana mchango mkubwa sana kifedha ila awepo tu mnalipukaga kama chemli ilioingia maji kwenye utambi!

Wanaume wengi wanakimbiaga sababu wanakuwa hawako financially stable by the time ila akija kupata ahueni tayari ulishamfurusha na mnamuwekea ngumu kuwa alikimbia mtoto. This is totally wrong baba ni muhimu kuwa nae!
📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌
 
Ofcourse sio kitu cha kusifia ila dah! I never wish for that atleast basi muwe mna co-parent tu for the sake of the kids
Co-parenting ni mpango mzima 💯

Sema kwa wengi ni ngumu kutokana na hurt feelings & kutokuwa tayari ku-let go and move on. Maybe nije na hiyo mada soon ili tuijadili kwa kina.🤷🏾‍♀️
 
Eeh watoto wako Curious sana kuna maswali ambayo faza of the nation angeweza yajibu ila mama inakuacha katika tafakuri nzito!

Tukiwaambiaga baba ni muhimu hata akiwa hana mchango mkubwa sana kifedha ila awepo tu mnalipukaga kama chemli ilioingia maji kwenye utambi!

Wanaume wengi wanakimbiaga sababu wanakuwa hawako financially stable by the time ila akija kupata ahueni tayari ulishamfurusha na mnamuwekea ngumu kuwa alikimbia mtoto. This is totally wrong baba ni muhimu kuwa na
Nakazia
 
Co-parenting ni mpango mzima 💯

Sema kwa wengi ni ngumu kutokana na hurt feelings & kutokuwa tayari ku-let go and move on. Maybe nije na hiyo mada soon ili tuijadili kwa kina.🤷🏾‍♀️
Thats wise, ego ndio inafanya hili kuwa gumu ila kimsingi if things aint working it only takes wise adults kutambua kuwa life can go on na mkalea vyema tu. What ends ni ile intimate relationship yenu but watoto mnawa attend vizuri tu kila mmoja kwa nafasi yake yani na hawawezi feel ile gap sababu mnaongea vizuri tu na kujadiliana how to build up the kids future.

Concetration inakuwa watoto zaidi, ila wanawake wa kiswahili atataka mkiachana atafte bwana mwengine ambebeshe mzigo wa mtoto haraka haraka na kumfukuza baba halisi wa mtoto kwenye maisha yake! Very huge mistake
 
Ushimen punguza ukali baba....kuzaa sio kosa kabisa in my opinion. Hiyo ilikuwa reference tu ya mada inayohusiana na wale ambao hujiachia alafu baadae wanaanza kudai "mimba imetokea bahati mbaya" kisha ku-opt kutoa n.k

PS.
Natamani kuelewa kwanini mzee wako alikuwa akipenda kusema hivyo 🙂
Mzee wangu alikua mtata tu, hata pasipo hitaji utatanishi...😜
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dah[emoji23][emoji23]
 
Yani hujui mtoto unampataje toka la 6 umefundisha form 3 ukafundishwa tena hujui tu mtoto anapatikanaje? [emoji23][emoji23][emoji23]
Ah hilo zoezi la mtoto kuingia nimelisoma hadi uzee wangu huu ila siliwezi
 
Back
Top Bottom