Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna baba asiye na umuhimu.Eeh watoto wako Curious sana kuna maswali ambayo faza of the nation angeweza yajibu ila mama inakuacha katika tafakuri nzito!
Tukiwaambiaga baba ni muhimu hata akiwa hana mchango mkubwa sana kifedha ila awepo tu mnalipukaga kama chemli ilioingia maji kwenye utambi!
Wanaume wengi wanakimbiaga sababu wanakuwa hawako financially stable by the time ila akija kupata ahueni tayari ulishamfurusha na mnamuwekea ngumu kuwa alikimbia mtoto. This is totally wrong baba ni muhimu kuwa nae!
Yani akiwepo mtu tu wa kutoa kauli we acha hio! Wewe usirudie hilo ntakutandika sasa hivi. Kwanini hujafika shule siku 2, makwenzi koh koh!Hakuna baba asiye na umuhimu.
Baba ni muhimu sana nasisitiza zaidi hasa kwa mtoto wa kiume π₯Ί
Tuingie kwenye kundi gani mkuu?Karibu kwangu mtumishi mwenzangu.
Watu ninaowaelewa wapo[emoji38]Uzuri tatizo linatatulika....[emoji85]
Ni swala la muda tu na muhusika unaemuelewa 105%[emoji6][emoji6]
Nina PM's nyingi mkuuNi pm.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Asante..na wewe utafute mtoto sasa umri unaenda hivyoo
[emoji38]Sasa si uchizi huo! Kama unaweza kulea mtoto wa mtu kwanini usizae wako sasa ulee kabisa![emoji28]
cc kama watumishi tuingie la kupata mtoto. niwe Baba fulani ,uwe mama fulani. twende tukaishi Goguryeo huko....Tuingie kwenye kundi gani mkuu?
La janjajanja au la kupata mtoto?
Lizzy nakuja PM kuchukua notes[emoji847][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] KakaJambazi hii mada sio ya kumwaga mboga, ugali wala chai. Hiyo itakuja siku nyingine....[emoji846]
Ila mume wa mtu hapana...unadhani siogopi kesi mie???[emoji848][emoji848]
Ukitaka kuftwata utumishi inabidi uanze na ndoacc kama watumishi tuingie la kupata mtoto. niwe Baba fulani ,uwe mama fulani. twende tukaishi Goguryeo huko....
Mtoto wake hb balaa Halafu ana akili mno,za darasani na mtaani.Such an awesome kid. Hongera sana Lizzy I wish him a very happy birthday. Stay blessed
ukimwaga ugali na mboga no worries!Well, kabla sijakuwa mzee na kuokoteza busara kidogo here and there I was once young and perhaps a bit stupid.
Kwa kutokuwa kwangu responsible (kama nilivyokuwa na-preach mchana ππ) I got pregnant. Nikaamua kuwa if I was irresponsible enough to the point of getting pregnant at such a young age...I might as well start by holding myself accountable, so....I did!
Anyway, leo dogo anatimiza miaka kadhaa and I'm happy & proud I made the decision I made! No idea what will become of him 10 or 20 yrs mbeleni but right now....he is an awesome kid!!π Kanacheza sana mpira and he is the captain of his teamπͺπΎπͺπΎ I honestly couldn't ask for better kids. π
Happiest birthday to my little dude π₯³π₯³
View attachment 1968720View attachment 1968721
Maybe one day (for the sake of educating & inspiring others) I'll write an autobiography nimwage ugali, mboga mpaka chai.π€·πΎββοΈπ€·πΎββοΈ
Kiukweli ni zaidi ya baraka kua na mtoto wa aina hiyo. I hope ataendelea kukua kwenye misingi hiyo, fingers crossed[emoji1696]Mtoto wake hb balaa Halafu ana akili mno,za darasani na mtaani.
She is happy with her life, whether or not she is single.I hope sio single Maza.