DOKEZO Kuna wakimbizi wengi toka Malawi maeneo ya Mwananyamala

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Wengi wanaona tz Kama ulaya ya magharibi nilikuwa Malawi kipind fln aisee jamaaa wanapakubali Sana dar es Salam yaani wanaamini kbsa wako mbele

Mwak2005 Bab angu mdg alimuajiri mmalawi na kukah hapo miaka 4 kimara stop over
 
Wamalawi ni watu wazuri sana kitabia. Sijawahi kusikia wanaleta chokochoko zozote. Nadhani kiwango cha umaskini kwao kiko juu ndiyo maana wanakuja kutafuta maisha. Rais wanaotakiwa kipiga marufuku ni mapopo.
 
Africans tend to glorify their differences more than those aspects that unifies us.

We are all Africans in African continent, This boundaries between us are just Fictional identity.
Wenyewe kwa wenyewe tunakaziana
Wakati wafrika wenzao wanatimuliwa
Huko kwenye ardhi yao na wageni kutoka nje ya afrika.....na hawapigi
Kelele

Ova
 
Lijitu ambalo halijawahi kuvuka boda
Lazima awe na mawazo hayo
Wakati wabongo wenyewe wamejaaa
Nchi za watu

Ova
 
Sina shida na uwepo Wao kea Uwingi kwani hata Watanzania nao wako Wengi sana Afrika Kusini na 70% hawana Vibali.

Mimi shida yangu Kubwa kwa Wamalawi walioko hapa Tanzania ni kwanini hawana Mbunye ( K ) Tamu japo siyo wachoyo wa Kukuvulia Chupi zao?
Ahahahahahaah
 
Africa eote ndugu moja ....hakuna sababu ya visa kati mchi na nchi ...huo utumwa mawazo....tujitambie ...Africa utumwam mawazoo...unatusumbuaa
 
Hili suala la Wamalawi nimelisikia sana Serikali iingilie kati kuhusu wahamiaji haramu.
 
Shamba la bibi
Mwalimu nyerere aliwajaza ikulu enzi hizo, katika watu bora,waaminifu friendly wana akili,hawana majidai hawachagui kazi ni jamii ya wamalawi,hata karume alikuwa mmalawi,wamalawi HAWANA NENO,karibuni sana.
 
Kuelewana na kua mjuzi wa hiyo lugha ni ishu mbili tofauti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…