DOKEZO Kuna wakimbizi wengi toka Malawi maeneo ya Mwananyamala

DOKEZO Kuna wakimbizi wengi toka Malawi maeneo ya Mwananyamala

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Habari,

Nimejaribu sana kufuatilia na kugundua sana sehemu ya Mwananyamala kumejaa sana wakimbizi au malawi au wamalawi wengi wano ishi bila ya kua na vibari.

Sijajua Uhamiaji wanafanya kazi gani. Maana imekuwa kawaida sana kukuta wamalawi wakiwa wengi sehemu hiyo pamoja na Mbezi Beach wakiwa kama wafanyakazi wa ndani.

Sijajua shida ni nini ila naomba serikali ifanye jitihada. Maana nipo na rafiki yangu wa kike mmalawi.
Yani wewe ni zaidi ya mchawi na kama ww ni mwanaume daaah inasikitisha yani unamchoma rafiki yako?
 
Wanawake wengi wakimalawi hawajui kupika, ila ni wakarimu Sana nimekaa nao Zaidi ya miezi3 mwaka 2017 maeneo ya Nkhata Bay,
Kupika ni Sanaa, ni utashi wa mtu binafsi kujifunza.

Hata wewe ukitaka kujifunza mapishi unaweza kujifunza online na watu wakashangaa na spice zote utazijuwa na utajuwa kumarinate nyama mtu ale apate ladha nzuri.
 
Mi huwa nawahurumia wabongo na watu wengine,kule S.A kipindi wakiwavalia njuga,waondoke,kumbe hata huku nako kuna watu wana roho mbaya hivi?
Hao ma hausiboyi au mahausigeli wakiondolewa,utapata nafasi ya hizo kazi kweli?
We ni mwaminifu na unajua Kiingereza?
Kitakachofanyika watatafutiwa vibali na wataendelea kuwepo.Pole sana mleta mada.
 
Habari,

Nimejaribu sana kufuatilia na kugundua sana sehemu ya Mwananyamala kumejaa sana wakimbizi au malawi au wamalawi wengi wano ishi bila ya kua na vibari.

Sijajua Uhamiaji wanafanya kazi gani. Maana imekuwa kawaida sana kukuta wamalawi wakiwa wengi sehemu hiyo pamoja na Mbezi Beach wakiwa kama wafanyakazi wa ndani.

Sijajua shida ni nini ila naomba serikali ifanye jitihada. Maana nipo na rafiki yangu wa kike mmalawi.
Watanzania kuweni na akili hata yakuchambia tu chooni! Malawi imeanza lini kuzalisha wakimbuzi? Hovyo sana.
 
Halafu watanzania wa mpakani wanapata huduma bure za matibabu wakiingia Malawi,wapo watz wengi wanakaa Tanzania lakini watoto wa msingi wanasoma shule za Malawi kule Ileje,hata ukienda Wilaya za mpakani

Mtz kwenda kutibiwa au kusoma Malawi ni kichekesho. Malawi wanaiona bongo kama London.
 
Hawana baya hawa na ni waaminifu sana. Mimi kuna rafiki zangu wamalawi na namba zao ninazo tunawasiliana vizuri tu. Ukimpa kazi anakufanyia vizuri tofauti na wengine.
 
Ni tangu kitambo sana na chaka kao kubwa lilikuwa Mwenge .. Hii ninayosemea ni wayback 2010 na kuendelea au kurudi nyuma kidogo
Wengi walitawanywa kwenye familia zinazojiweza na kuwa ma house boys na girls kwa mishahara mizuri kutokana na kumudu lugha ya kiingereza vizuri
Wengine walikuwa waajiriwa kwenye mabaa makubwa, hotel na sehemu za starehe
Walipatikana zaidi
Mwenge
Kijitonyama
Ma saki
Mikocheni
Oyterbay
Maeneo jirani na chuo kikuu
Kamwe no
Wengi wao waliajiriaa kwenye familia za matajiri, wageni, wafanyabiashara na wawekezaji mbalimbali.. Kuna ambao walijiongeza wakajifunza Kiswahili haraka na mikataba yao ya Kazi ilipokwisha wakajichanganya mitaani kuoa na kuolewa.. Wapo pia wenye vitambulisho vya taifa kabisa..!

Kwa jinsi walivyokuwa wanakuja kwa wingi sssa hivi watakuwa wamejichanganya sehemu kubwa ya nchi na hata Dodoma wapo wa kutosha sana.. Last week nilikuwa Tanga kwenye mishe zangu nikakutana na mmoja dogo tu anafanya ishu za madini.. Hajui kabisa Kiswahili hivyo anatembea na mkalimani na tayari amepata binti wa kitanga [emoji23]
hawa TISS na wengine wanafanya kazi gani?
 
Vipi una shida gani na hiki nilichochangia kwenye hii mada? Mbona umekuja kwa kupaniki sana?
Ni sehemu gani nimeandika kwa kupaniki zaidi ya kueleza hali halisi kati ya Tanzania na Malawi.
Kwa anayejua historia ya Tanganyika na Malawi kabla ya uhuru chini ya mwingereza hashangai uwepo wa wamalawi hapa nchini kama ilivyokuwa wanyakyusa kusoma shule nchini Malawi bila kuulizwa na mtu.
 
Back
Top Bottom