Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
mkuu nilijiota "misfortune" kwa kiswahili ni kama mikosi au majanga sasa msela naona kwa kutokujua lugha ya kizungu alidhani ni miss fortuneNimecheka sana aisee. Sasa kosa la hilo jamaa ni nini wakati mwenyewe ulijiita Miss Fortune [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Yaah! good nina kabase
Alie comment mwenyewe kimempiga chengamkuu nilijiota "misfortune" kwa kiswahili ni kama mikosi au majanga sasa msela naona kwa kutokujua lugha ya kizungu alidhani ni miss fortune
Basi majanga[ kumpata jangaemoji23]mkuu nilijiota "misfortune" kwa kiswahili ni kama mikosi au majanga sasa msela naona kwa kutokujua lugha ya kizungu alidhani ni miss fortune
Ulitaka Niandikaje?Uandishi wako umekaa kama wa mwanamke, nashangaa kwanini vijana wasiombe tunda kwa mwandiko wako huo
Pia tabia ya mwanaume unakuwa husomeki sometimes nako inafikirisha sana ... au utakuta mwanaume anajifanya demu au anaweka avast ya kike .... ofcoz na mimi naunga mkono hoja
huyo atakua alisoma kwa haraka tu,yupo Kwa wazungu huko huyo jamaa ni mbeba box,mwanangu wa ma yutongAlie comment mwenyewe kimempiga chenga
Wadau siyo poa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mshkaji ameogopa kuliwa kimasihara
Hahaha...mkuu kaza mwandiko wako....
Uwe unakoroma kwenye comments la sivyo hizi mamboz hazitaisha.
Tunda poriTunda ni tunda tu mkuu wafikirie sio kupiga mikwara
Anajifanya haelewi ππTunda pori
Acheni UfalaHahahaha mjomba anaona soo kuliwa kimasihara [emoji23][emoji23]
So wahuni hawajakosea...Anajifanya haelewi ππ
Hii Idea unaweza ingia chaka sioAhahah waache wajichanganye unawakubalia fresh mnaeka appointment anakutumia na nauli
Then unatokea pale pande la mtu unampa kichapo hevi
hahahHapo hakuna cha ajabu.
Acha wavamie ndivyo walivyoumbwa kujaribu jaribu tu.
Na kwa vile tupo anonymous humu sio rahisi jinsia kujulikana.
Mara pap Karucee ni dume πππππ€£π€£π€£π€£
Satoh Hirosh sura yako utaiweka wapi kijanaaa
ferther tena babu?Not Open for ferther reply atakaye kumbuka hii lazima anijue
Nitazidi Tu kukukazia huko DM hata nikijua Karucee ni wa kiumeHapo hakuna cha ajabu.
Acha wavamie ndivyo walivyoumbwa kujaribu jaribu tu.
Na kwa vile tupo anonymous humu sio rahisi jinsia kujulikana.
Mara pap Karucee ni dume πππππ€£π€£π€£π€£
Satoh Hirosh sura yako utaiweka wapi kijanaaa