Kuna wanaume wanaishi kwenye ndoa ngumu nyie

Ndoa ni taasisi inayo jumuisha upendo na utii. Hata mafundisho ya ndoa haya elekezi mwanamke atoe taarifa bali anatakiwa kuomba ruhusa kwa mume, then mume kama kiongozi na kichwa cha familia ataona inafaa au haifai kupewa ruhusa.
 
Wanawake wa humu wangekuwa na akili, wisodm kama wewe ingekuwa safi.. kupitia huu uzi taka taka kibao zimeonekana
 
Saa nyingine mume wake kajionea sawa tu sababu ndo wameshajizowesha hivyo.

Nionavyo ieleweke kwamba kila ndoa ina style yake.
Hapo anazungumza na mume wake ? Anachofanya hapo kuifundisha jamii, iwe hivyo ambayo sio fundisho sahihi la ndoa. Hata kama anaishi hivyo na mume wake haitakiwi maisha yake wayaishi jamii, jamii inapaswa fundishwa mafundisho sahihi tu, na sio upumbavu kama huo
 
ebu ingie mahala agiza chochote nitumie LIPA NAMBA
 
ni mpumbavu tu huyo mwanamke. kwanza mwanamke mwenye mume hawezi kuzungumza maneno kama hayo mbele za watu.

pili hata ukimsikiliza upangilianji wa maneno na sentensi ni wazi kichwani yuko empty mtupu kabisa
Kuna makalai hayaoni tatizo hapo. Inasikitisha sana, kwanza ni aibu kwa mume wake na familia kutokana na hizo kauli.
 
Wanapiga hela kupitia huo mradi wao wa Superwoman. Nafikiri kuna mkoba wa hela kutoka states unaofadhili hizo Campaign.
 
anaongea mataka taka yake public, huyu angekuwa wangu ningempasua na ndio ungekuwa mwisho wa ndoa. Mpumbavu kabisaa huyo mama, anaongea hayo public ili iweje ? Hovyoo kabisa
Anamdhalilisha mumewe huku akitaka kuwaonesha kuwa kwao wameridhiana kuishi kwa style hio. πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€!
Ila kifupi ni mashudu matupu.
 
Anamdhalilisha mumewe huku akitaka kuwaonesha kuwa kwao wameridhiana kuishi kwa style hio. πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€!
Ila kifupi ni mashudu matupu.
Hasara tupu na mashabiki wake ni walio shindwa ndoa na wasio dumu kwenye mahusiano kutokana na tabia chafu ndio unaona wana muunga mkono hata humu.. haya majitu bomu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…