Ukiona anakuepuka na wewe mkaushie kutunza heshima yako dunia inawatu 7B+ huyo mtu mmoja akionyesha hahitaji hata Salam yako achana nae tu kama umempenda sana jaribu tena siku nyingine ukiona hali ni hiyohiyo mkaushie tu hakuna kitu kizuri kama kukubaliana na mambo mapema kuliko kulazimisha mapenzi baadae uje kuwa mtumwa wa hilo penzi bureFunny fact kidogo😂😂
Muda unampa hiyo salamu anajibu poa huku Speed mara mbili yako unasema sorry penguin speed katoa simu anabonyabonya yule formula zote zinapotea
Kuna pis moja ilikuwa inakuja inanikalia inanichezea nikitaka kuivua chup inagoma,inaniambia kama unataka uniahidi utaniowa,alikuwa akisema Tu hivyo namtoa namweka pemben na najitenga mbali alirudia kama five times for days at the end aliamua kujichomekea mwenyewe, of coz am a man of my word siwez kusema kitu ambayo siwez ku-affordSimba mwendapole, ndiye mla nyama...
Mkuu una swagger moja tata sana.Kuna pis moja ilikuwa inakuja inanikalia inanichezea nikitaka kuivua chup inagoma,inaniambia kama unataka uniahidi utaniowa,alikuwa akisema Tu hivyo namtoa namweka pemben na najitenga mbali alirudia kama five times at the end aliamua kujichomekea mwenyewe, of coz am a man of my word siwez kusema kitu ambayo siwez ku-afford
Lazima ulielewa falsafa ya Fernando Sucre kwenye Prison Break, anasema hakuna urafiki kati ya mwanamke na mwanaumeUkaribu kwa nani? Mimi hiyo nafasi huwezi kuipata. Sinaga ukaribu na wanaume zaidi ya mwanaume wangu tu.
Pole.
Mwanamke akishafika hapo hawez rudi nyuma kwasabu maamuz yeyote atakayochukua ya ku-pull back yatamgarim psychologically maana atakuwa anasumbuliwa na kitu kinaitwa inferiority complex akiwa mazingira ambayo upo, kwahiyo lazma asonge mbele🤠Mkuu una swagger moja tata sana.
Yani kama nakuona una uhakika wako kuwa atakuja tu, hata huna papara naye 🤣🤣🤣
Aah, hujakutana na majasusi bado wewe.Mwanamke akishafika hapo hawez rudi nyuma kwasabu maamuz yeyote atakayochukua yatamgarim psychologically maana atakuwa anasumbuliwa na kitu kinaitwa inferiority complex akiwa mazingira ambayo upo, kwahiyo lazma asonge mbele🤠
Of coz mi sichezagi ule mchezo wa vischana wa staki kumbe nataka yaan akipotezea wala sijisumbui wala simtafuti hatakama pic kal unless na mpango naye ya baadaye 🤠🤠Aah, hujakutana na majasusi bado wewe.
Miaka yetu ile tunachipukia, Tiger Woods anatamba, tulikuwa tuna msemo mmoja mtu ukiji feel on top unasema "I'm Tiger Woods".Of coz mi sichezagi ule mchezo wa vischana wa staki kumbe nataka yaan akipotezea wala sijisumbui wala simtafuti hatakama pic kal unless na mpango naye ya baadaye 🤠🤠
Hakuna cha janja janja . Ujasusi ni hela. Namba utatoa mwenyewe bila kuombwa[emoji2089][emoji2089][emoji1787]Yule mwanaume sijui ana nini haki! Ila alisota na yeye hadi alipotumia mbinu ya kijasusi [emoji23] [emoji23]
Ila nini, kaka mzuri anatosha... Hakuna tena janja janja.
NailedMwanamke anaetowa namba yake kwa kila mwanamme, huyo ni kahaba au malaya.
[emoji1787][emoji1787]Ni humble inayochangamka ikikutana na Ndombolo.
Inatengeneza "humbolo" chini ya mkanda hapo.
kwamba ulimkazia??Kuna siku dada mmoja aliniuliza hivyo tuko kwenye lift wawili tu, natoka kazini.
Akawa ananiambia wewe kaka kama nimekuona sehemu. Nikawa nimestuka. Nikamuuliza sehemu gani?
Basi anataja chuo alichosoma, ola, anataja kafanya kazi wapi, ola, anataja anakaa wapi, ola.
Basi nikasema au hapa muwinda nawindwa nini? Nikawa na mtihani fulani hivi.
Ujue hata Amiri Mkuu Jemadari Mfalme Napoleon alivyokuwa anaingia Moscow na kukuta mji upo wazi hauna ulinzi wowote alisita kidogo kuingiza majeshi yake. Asije kuingia kwenye mtego wa kijeshi buree.
Unakijua ulichoandika hapa unaomuoa mwanamke njiani unamtongoza vipi, unamtpngoza huku anatembea....USE YOUR BRAIN.Mwanaume uko vzr unaachaje kwaga sera laivu mpaka ujifiche kwenye keyboard ya simu. Hufai. Hujiamini.
Hapo mwanamke yuko sahihi tu.
Mwimbishe hata shairi la beti 1 bila vina.
Kama unataka namba nenda TCRA .
Tuna vijana na kizazi cha ovyo sana unaume haumo kazi kutetemeka na kumwaga hela . Mbona jogoo huwa haombi namba?
Sema hujui kuanzisha mahusiano. Kwahiyo ukikaa naye Mwendokasi ndio unarukia kuomba namba atagawia wangappi? Fikiri mara mbili. Eti binti anapita zake wewe unamwambia naomba namba zako. Akikupa ni malaya huo.Unakijua ulichoandika hapa unaomuoa mwanamke njiani unamtongoza vipi, unamtpngoza huku anatembea....USE YOUR BRAIN.
Namba ndio first attempt ukiwanayo utapanga appointment or whatever sio unamuona Mwanamke ukonar kwenye mwendokasi mambo, nakupenda, nataka tuwe wapenzi WEWE MWEHU.
😂 we mtoto chizi kweliShida Wana kuona nusu albino, so Wana ogopa kuambiwa wame tamani ngozi yako 😂🤣🤒
Huo ni utotokuna jamaa yangu anatabia kama hiyo bas anaenda kwa upole jamaa: dada habari, dada:safi jamaa: kama nakufananisha hv we si ulikuwa unakaa kuleeeee dada:wapi? Jamaa:hapaa kwa kina nani hivi lucy unampata? dada kabla hajajibu jamaa tuache hayo unajua we ni mrembo yaan dah sijui nisemeje ooh hebu nisaidie kwanza namba yako ,, dada:mi nimeolewa namba yangu ya nini? Hadi hapo jamaa uvumilivu unamshindwa jamaa:hivi we mdada mbona unajiona sana cheki ulivyo miguu kama suria kudadek nilikuwa nakujaribu tu utanipeleka wap mtu kama wewe,, kwa aibu dada wa watu huyoo hapo jamaa ndio anazidi siku nyingn ukiniona upite mbali.. Nina hasira sana na ww dada umetangaza vita, na sio kwamba anatania, akimkuta tena kejel tena mara ya tatu ndio anaomba tena kwa woga wa dada anampa na akisha pewa hamtafuti