Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Money heist zikuimalizaaa... Afadhali Squid.[emoji28][emoji28] japo PB ipo juu ya ya hzo movies mbili ila hzo ndo zinaweza kukaa kundi moja sio kwa GOT Mkuu. kuna vjana wanaweza kukwambia hakuna movie kama money heist au kama squid game nawaonaga akili ndgo.
Da'Vinci angalia audience score, hiyo ndo imetolewa kwa mashabiki....Duniani kuna series moja tu. Game of Thrones yaani hadi obama akawa anawapigia simu japo wamuhadithie muendelezo arosto inataka kumuua. Wanalinganisha na BB??
Kwanza ilivyoandikwa yaani ukiwa unasikiliza maongezi yao huchoki yaani. Script zimepangiliwa zikapangika. Tafuta mazungumzo ya Tywin Lannister na Jaime Lannister S1Ep8 wakati Tywin anachuna Deer. Yaani hutamani wamalize kuongea
Bado bado sijawa na muda wa kutazama series ndefu. Nikitulia nitaitafuta. Naona wanaisifia sana
GOT ina nafasi yake pale juu ila PB hayupo level moja na akina Money Heist na Squid Game[emoji28][emoji28] japo PB ipo juu ya ya hzo movies mbili ila hzo ndo zinaweza kukaa kundi moja sio kwa GOT Mkuu. kuna vjana wanaweza kukwambia hakuna movie kama money heist au kama squid game nawaonaga akili ndgo.
Watu wanahama hadi galaxy, wakati kiuhalisia kwenda tu mwezini ni shughuli pevu 😆🤣🤣Siwezi kukaa na kushangilia Sci-Fi hata siku moja, bora niangalie chaneli za wanyama at least nitajua muayo wa mamba unakuaje kuliko kuangalia tu tu tyulilu tuko Mars mara tyu tyu tupo Saturn. Garbage 😂😂😂
😆😆😆😆Siwezi kukaa na kushangilia Sci-Fi hata siku moja, bora niangalie chaneli za wanyama at least nitajua muayo wa mamba unakuaje kuliko kuangalia tu tu tyulilu tuko Mars mara tyu tyu tupo Saturn. Garbage 😂😂😂
Kheeee🙄🙄🙄na hiyo GOT ina ushoga[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ile series mimi niliangaliaga kipindi flani Nikaacha maana nikawa sielewi kabisaaa.. na zile ishu za Ushoga ndo kabisaa.. Ilaa baadae nikakomaa nielewe aiseee ni bonge moja la Series.. the summer is coming ukisikia hivyo juaa balaaaa lake si mchezo
ni mwishoooo.....Bado bado sijawa na muda wa kutazama series ndefu. Nikitulia nitaitafuta. Naona wanaisifia sana
Kamba za kihuni mno alafu kuna watu wanazililia kabisa.Watu wanahama hadi galaxy, wakati kiuhalisia kwenda tu mwezini ni shughuli pevu 😆🤣🤣
Upuuzi.comDa'Vinci angalia audience score, hiyo ndo imetolewa kwa mashabiki....
Breaking bad
View attachment 2603068
Game of thrones
View attachment 2603069
haya sasa bisha tena....
kwenye ushoga unafunga macho kidogo....Kheeee🙄🙄🙄na hiyo GOT ina ushoga
Sasa mbona mnaishabikia hivo
Na wale si wako misituni mambo ya ushoga walijulia wapi😂😂😂
tungekua karibu tungeshapigana walahi vile 😂Upuuzi.com
BB haiwezi kufanana na GOT... Hasa in term of writing
Sawa ngoja niitafuteYani kama mimi nilikuwa sielewii ila tuliza kichwaaa.. aaha ule mziki balaaa
Wewe ni mshamba kweli, ila mshamba_Hachekwi. Jipoe moyo utazame hadi s3 huko ndio inaanza kushika motoKukimbizana tu kule msituni ndio palinitoa kwenye reli na mm nikaanza kuikimbia
Nitaitafuta niiangalie
Nsije nkaonekana mshamba😆😆😆
rikiboy
Acha kabisa mkuu ile movie producer alituliza kichwa mnoo, hakuna movie imeigizwa kama ile kuna unforgrtable events nyng mnoo, nilipenda dana ile developments ya characters kama Arya (my best character), Daenerys, Sansa, jofrey na wengne. nimeirudia kama mara mbili tu ila nna mpango niirudie tena maana naona kuna matukio mengi yalinipita mule.Duniani kuna series moja tu. Game of Thrones yaani hadi obama akawa anawapigia simu japo wamuhadithie muendelezo arosto inataka kumuua. Wanalinganisha na BB??
Kwanza ilivyoandikwa yaani ukiwa unasikiliza maongezi yao huchoki yaani. Script zimepangiliwa zikapangika. Tafuta mazungumzo ya Tywin Lannister na Jaime Lannister S1Ep8 wakati Tywin anachuna Deer. Yaani hutamani wamalize kuongea
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ile series mimi niliangaliaga kipindi flani Nikaacha maana nikawa sielewi kabisaaa.. na zile ishu za Ushoga ndo kabisaa.. Ilaa baadae nikakomaa nielewe aiseee ni bonge moja la Series.. the summer is coming ukisikia hivyo juaa balaaaa lake si mchezo
Mshamba mwenywe😂😂😂Wewe ni mshamba kweli, ila mshamba_Hachekwi. Jipoe moyo utazame hadi s3 huko ndio inaanza kushika moto
My review of a song of Ice and Fire: Game of Thrones series
Kuna wakati unaweza kusoma kitu ukabaki unajiuliza mambo mengi sana juu ya mwandishi wa kitu hicho. Aliwaza nini,alipata wapi hii stori,ana akili yenye uwezo gani hadi kuandika kitu hiki. Basi ndio maswali mengi ambayo hua najiuliza juu ya huyu George Raymond Martin kutokana na uandishi wake wa...www.jamiiforums.com
Ile series walisema watairudisha kuonesha namna White walkers walitokeaa... Ila wale wambaaa nawakubalii maishaa yoteeeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mamaee yani yule mwamba wao akifungua macho tu kumekuchaaaa... WALIVYOKUFAA WOTEE ILINIUMAA SANAAcha kabisa mkuu ile movie producer alituliza kichwa mnoo, hakuna movie imeigizwa kama ile kuna unforgrtable events nyng mnoo, nilipenda dana ile developments ya characters kama Arya (my best character), Daenerys, Sansa, jofrey na wengne. nimeirudia kama mara mbili tu ila nna mpango niirudie tena maana naona kuna matukio mengi yalinipita mule.