Kuna Watu hawafai jamani: Waliokaa chini wakatengeneza hizi Series nitawaheshimu siku zote

Kuna Watu hawafai jamani: Waliokaa chini wakatengeneza hizi Series nitawaheshimu siku zote

Duniani kuna series moja tu. Game of Thrones yaani hadi obama akawa anawapigia simu japo wamuhadithie muendelezo arosto inataka kumuua. Wanalinganisha na BB??
Kwanza ilivyoandikwa yaani ukiwa unasikiliza maongezi yao huchoki yaani. Script zimepangiliwa zikapangika. Tafuta mazungumzo ya Tywin Lannister na Jaime Lannister S1Ep8 wakati Tywin anachuna Deer. Yaani hutamani wamalize kuongea
Da'Vinci angalia audience score, hiyo ndo imetolewa kwa mashabiki....
Breaking bad
bb.jpg

Game of thrones
got.jpg


haya sasa bisha tena....
 
[emoji28][emoji28] japo PB ipo juu ya ya hzo movies mbili ila hzo ndo zinaweza kukaa kundi moja sio kwa GOT Mkuu. kuna vjana wanaweza kukwambia hakuna movie kama money heist au kama squid game nawaonaga akili ndgo.
GOT ina nafasi yake pale juu ila PB hayupo level moja na akina Money Heist na Squid Game
 
Siwezi kukaa na kushangilia Sci-Fi hata siku moja, bora niangalie chaneli za wanyama at least nitajua muayo wa mamba unakuaje kuliko kuangalia tu tu tyulilu tuko Mars mara tyu tyu tupo Saturn. Garbage 😂😂😂
Watu wanahama hadi galaxy, wakati kiuhalisia kwenda tu mwezini ni shughuli pevu 😆🤣🤣
 
Siwezi kukaa na kushangilia Sci-Fi hata siku moja, bora niangalie chaneli za wanyama at least nitajua muayo wa mamba unakuaje kuliko kuangalia tu tu tyulilu tuko Mars mara tyu tyu tupo Saturn. Garbage 😂😂😂
😆😆😆😆
Nikishaona Sci-Fi najua uongo huu hapa
Nilishajaribu Welcome to Eden na The Mist
Nkaona kamba hizi nkaachana nazo
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ile series mimi niliangaliaga kipindi flani Nikaacha maana nikawa sielewi kabisaaa.. na zile ishu za Ushoga ndo kabisaa.. Ilaa baadae nikakomaa nielewe aiseee ni bonge moja la Series.. the summer is coming ukisikia hivyo juaa balaaaa lake si mchezo
Kheeee🙄🙄🙄na hiyo GOT ina ushoga
Sasa mbona mnaishabikia hivo
Na wale si wako misituni mambo ya ushoga walijulia wapi😂😂😂
 
Kukimbizana tu kule msituni ndio palinitoa kwenye reli na mm nikaanza kuikimbia
Nitaitafuta niiangalie
Nsije nkaonekana mshamba😆😆😆
rikiboy
Wewe ni mshamba kweli, ila mshamba_Hachekwi. Jipoe moyo utazame hadi s3 huko ndio inaanza kushika moto
 
Duniani kuna series moja tu. Game of Thrones yaani hadi obama akawa anawapigia simu japo wamuhadithie muendelezo arosto inataka kumuua. Wanalinganisha na BB??
Kwanza ilivyoandikwa yaani ukiwa unasikiliza maongezi yao huchoki yaani. Script zimepangiliwa zikapangika. Tafuta mazungumzo ya Tywin Lannister na Jaime Lannister S1Ep8 wakati Tywin anachuna Deer. Yaani hutamani wamalize kuongea
Acha kabisa mkuu ile movie producer alituliza kichwa mnoo, hakuna movie imeigizwa kama ile kuna unforgrtable events nyng mnoo, nilipenda dana ile developments ya characters kama Arya (my best character), Daenerys, Sansa, jofrey na wengne. nimeirudia kama mara mbili tu ila nna mpango niirudie tena maana naona kuna matukio mengi yalinipita mule.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ile series mimi niliangaliaga kipindi flani Nikaacha maana nikawa sielewi kabisaaa.. na zile ishu za Ushoga ndo kabisaa.. Ilaa baadae nikakomaa nielewe aiseee ni bonge moja la Series.. the summer is coming ukisikia hivyo juaa balaaaa lake si mchezo
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Wewe ni mshamba kweli, ila mshamba_Hachekwi. Jipoe moyo utazame hadi s3 huko ndio inaanza kushika moto
Mshamba mwenywe😂😂😂

Imetosha mkuu ngoja niitafute na mimi nije kuhadithia humu ndani.
 
Acha kabisa mkuu ile movie producer alituliza kichwa mnoo, hakuna movie imeigizwa kama ile kuna unforgrtable events nyng mnoo, nilipenda dana ile developments ya characters kama Arya (my best character), Daenerys, Sansa, jofrey na wengne. nimeirudia kama mara mbili tu ila nna mpango niirudie tena maana naona kuna matukio mengi yalinipita mule.
Ile series walisema watairudisha kuonesha namna White walkers walitokeaa... Ila wale wambaaa nawakubalii maishaa yoteeeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mamaee yani yule mwamba wao akifungua macho tu kumekuchaaaa... WALIVYOKUFAA WOTEE ILINIUMAA SANA
 
Back
Top Bottom