Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #81
Hata mm nimesema, pesa inaamua mengi sana kiongozi maana laiti hawa watu wangekuwa wanavipato kama vya mwalimu hawawez kutengeneza miili kama Ile kwanza wanatumia gharama kubwa sana kumaintain appearance kwanzia ngozi mpaka mavazi, chakula na starehe maana hawa watu sidhani kama wanajua ugali dagaa, wao ni lambchops na bites za maana, bugger, pizza na matokolingo yote ya kizunguNi binadamu mkuu sema ndio maisha waliyoyachagua
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] moja au bucket?Heineken elfu kumi
Wamelaaniwa wale wanaoenda kwa kuuridhisha mwili na tamaa zake.Ndoivo mkuu acha wafanye starehe japo hatujui kesho yetu
Pisi moja mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] moja au bucket?
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Nakuelewa vya kutosha mr. President!Unajua mkuu
Ngono ni tendo la kimwili na kiroho,mtu ambae ni stable hawezi kuwa stimulated nabkila pis ambayo inaonekana ni kali machoni pa wengi!
Yaani lazima kuwe na connection ya kiroho kati YAKO na yenyewe ILI kufanikisha stage ya mating ndio maana hata madume ya wanyama yana nusa ke za madem zao na kuvuta hisia ILI kwenda stage nyingine ya mating!!
SASA unaweza kuta manzi ni mkali KWA kumcheki lakini asikustimulate kwenda nae labda uwe internally wewe hauko stable kihisia yaani roho chafu ya ngono uzembe imekujaa utafanya na KILA manzi as long as nothing mzuri!!
Lazima apate internal acceptance ya nafsi yako ILI uende nae!!!
Kuna kitu nakieleza hapa sijui kama utanielewa!!
Acha ukichaa wewe tafuta hela, masikini mnadanganyagwa sanaWamelaaniwa wale wanaoenda kwa kuuridhisha mwili na tamaa zake.
Kwakuwa mwili utaharibika na kufa.
Wamebarikiwa wale waendao kwa roho, kwakuwa huko kuna uzima wa milele.
Hao ugali kwao ni ndoto mkuuHata mm nimesema, pesa inaamua mengi sana kiongozi maana laiti hawa watu wangekuwa wanavipato kama vya mwalimu hawawez kutengeneza miili kama Ile kwanza wanatumia gharama kubwa sana kumaintain appearance kwanzia ngozi mpaka mavazi, chakula na starehe maana hawa watu sidhani kama wanajua ugali dagaa, wao ni lambchops na bites za maana, bugger, pizza na matokolingo yote ya kizungu
Wazazi wao sijui wapo ktk type gani maana hata mzazi kumtambulisha mwanae mbele za wageni kuwa huyu ndo mtoto wangu wa kwanza huyu wamwisho inakuwa mtihani kigodo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hao ugali kwao ni ndoto mkuu
Ni ngumu kwa tajiri kuurithi ufalme, kama ilivyo ngamia kupita kwenye tundu la sindano.Acha ukichaa wewe tafuta hela, masikini mnadanganyagwa sana
Nini kinachoshindikana hapo?Hayo yanawezekana ila sio wote, mapepo yatoa pesa mfukoni tena wanachanja Kwa visa card?? Ili walipie vinywaji
Mda huu ungekua kanisani ningekuona wamaana sanaNi ngumu kwa tajiri kuurithi ufalme, kama ilivyo ngamia kupita kwenye tundu la sindano.
Kwakuwa mawazo yao na macho yao yamezibwa na tamaa ya pesa wanazozitafuta.
Na wanadhani wakizipata watapata furaha na amani. Lakini kumbe wanakimbiza upepo.
Mwenye sikio na asikie.
Kanisa sio jengo kuwa uliendee.Mda huu ungekua kanisani ningekuona wamaana sana
Mkuu Kwa huu mshahara wetu wa walimu stoboi hapo kila kheri [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pisi moja mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]
Walimu nendeni kwenye viduka vya mangi huwa wanaoza bia ila bora ununue konyagi ulewe haraka usitumie gharama kubwa mwalimuMkuu Kwa huu mshahara wetu wa walimu stoboi hapo kila kheri [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Siku ingine nishtue na mie nikaone mkuuJana nimejifunza mengi sana, nilikunywa bia zangu Manzese kichwa kilivyochanganya nikasema pesa kitu gani bhana kesho nitatafuta tu kwanza zipo za kutosha nikakimbia chap ATM nikawithdraw laki nne nikasepa zangu ELEMENTS NIGHT CLUB kupiga vyombo baridi na laini.
Ipo hivi nilishuhudia kuona watu wa tofauti sana hata kimuonekano, mwili mweupeeee halafu matatooo kama yote, hawa binti zetu kuna wengine wamechora tattoo za sex mgongo mzima mpaka kwenye mashavu ni tattoo za ngono, nilicheka sana ila nilichojifunza usiku ni mkubwa kuliko mchana.
Jamii ya hawa watu mchana huwaoni kokote kule iwe mitaani iwe nyumbani ila usiku ukienda kwenye maclub makubwa na macasino kama princess ya post utawakuta wanamimina Heineken mwanzo mwisho na muonekano wao unastaajabisha kidogo hata uvaaji nguo zao zinazonyesha mpaka dudu Kwa ndani linaning'inia na watoto wa kike wapo kifua wazi khabisa titi lote limepigwa tattoo za romance na mapini wametoboa kwenye pua, mdogo, ulimi, matiti, hata macho Yao nahisi Kuna kitu wanaweka maana muonekano wa macho Yao yanawaka kama paka gizani
Karibuni supu ya kongoro natoa hangover muda huu
Naww unaimani hizo mkuu, nikajua mjanja wa town kumbe lofer tu. Ipo siku namm nikijireform niwe kama hao mtasema mm ni jini pia iam sureHali ni tata wengine ni majini
Usijali tupo pamoja, subiri nivune mpunga wangu shinyangaSiku ingine nishtue na mie nikaone mkuu
Pesa ni nzuri mkuu ,pesa inafanya both ends meets ,na pia inakuwezesha kutatua changamoto za hapa na pale za maisha yetu haswa ya basic needs .lakini ni kwamba Kuna muda pesa ukishakuwa nayo still Kuna kitu bado kina mes. Laiti pesa ingekuwa inatupa furaha ya kudumu, laiti pesa ingewaamsha wapendwa wetu waliotangulia mbele ya haki. Laiti pesa ingekuwa na uwezo wa kununua unconditional love. Laiti pesa ingekuwa na uwezo wa kumhonga Mungu [emoji28] tujiongezee kuishi ... anyway tuzitafute kwa bidii ila zisitufanye tusahau kuishi.Ni ngumu kwa tajiri kuurithi ufalme, kama ilivyo ngamia kupita kwenye tundu la sindano.
Kwakuwa mawazo yao na macho yao yamezibwa na tamaa ya pesa wanazozitafuta.
Na wanadhani wakizipata watapata furaha na amani. Lakini kumbe wanakimbiza upepo.
Mwenye sikio na asikie.