Kuna watu wanatembea na mizigo mizito kichwani ukipata nafasi wasikilize

MWENYEZI M
MWENYEZI MUNGU atuhurumie pia atupe uwezo wa kuyapokea magumu kwa busara na uvumilivu mkubwa
 
Hakuna cha kupelekewa moto wala nini.
Msaliti ni msaliti tu.
Kuna wanawake wana cheat kwa kisingizio cha hali ngumu...ajabu na matajiri nao wana cheat.
Roho ya ku cheat hainaga sababu maalum ni ulemavu tu.
Mkuu umegonga mahali. Kisaikolojia ni kuwa kinachoanza ni ku-cheat halafu sababu ya ku-cheat ndiyo inafuata ili kuhalalisha lile tendo. Iko hivi. Mwnamke wa aina hiyo anaongozwa na ile hulka ya ukahaba. Sasa akishafanya hili tendo ili roho isimsute, ubongo wake automatically unamjengea sababu ya kuhalalisha kile kitendo.
 
Hapa nahisi mzee atakuwa ampelekei moto mkewe vizuri...

Yani kama mzee hujui kupeleka moto utasaidiwa sana...
Uchi wa mwanamuke ni kama shimo au bomba la maji taka haliwezi shiba wala kujaa. Hivyo kupeleka Moto ni kujiumiza tu, ndo maana mwanamuke anaweza kulala na wanaume zaidi ya kumi kwa siku na kila mmoja anapeleka Moto kwa style yake lakini bado hatosheki. Huyo mama hapo chini anasema watu wanapeleka moto Kama wanasukuma punda hatoki kifuani lakini akitoka hapo anaenda kwa jamaa mwingine naye hivyo hivyo. Iweje kidole kimoja kimutoshe ni heshima tu.
 

Attachments

  • VID-20220525-WA0123.mp4
    15.3 MB
Nguvu za kumvua chupi mama mkwe unazitoa wapi?

Hii sasa ni laana...
Hao walianza zamani, na inaonekana mama ndiyo alimkonekti binti ili aolewe amuweke kijana karibu zaidi.

Wamama zetu walichat na shetani, hawashindwi jambo!
Sad but true!
 
Hakuna cha kupelekewa moto wala nini.
Msaliti ni msaliti tu.
Kuna wanawake wana cheat kwa kisingizio cha hali ngumu...ajabu na matajiri nao wana cheat.
Roho ya ku cheat hainaga sababu maalum ni ulemavu tu.
Kweli ni ukilema! Ulemavu
Mbaya sana! Siombei binadamu yeyote awe na ulemavu wa kingono!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] JF pakutolea stress
Donatila kwanza huwa nakuheshimu sababu jina lako lafanana na crush wangu wa kwanza kabisa.
Lakini hii ya kupelekewa moto umeniangusha khaa😆
 
Sky Eclat Hongera kwa hilo namaanisha kupata nafasi ya kumsikiliza mtu mwenye changamoto....

Let me say this, kila mtu Duniani amepangwa na yeye muumba kwa makusudio yake Mungu na anatupa nafasi ya kusikiliza changamoto za watu tukapate funzo tutie neno litakaloleta faraja ambayo inaweza ikadumu kwa muhusika milele na isifutike kamwe....

Daima tujifunze na tuwe tayari kuzipokea changamoto au tuwe tayari kutoa mawazo yetu pindi tuwapo/tupewapo nafasi yakuwa NURU katikati ya giza nene
 
Donatila kwanza huwa nakuheshimu sababu jina lako lafanana na crush wangu wa kwanza kabisa.
Lakini hii ya kupelekewa moto umeniangusha khaa[emoji38]
Watu wanabadilika kulingana na mazingira...

Asante kwa kuniheshimu
 
Hao walianza zamani, na inaonekana mama ndiyo alimkonekti binti ili aolewe amuweke kijana karibu zaidi.

Wamama zetu walichat na shetani, hawashindwi jambo!
Sad but true!
Inasikitisha sana mkuu!
 
Hapa nahisi mzee atakuwa ampelekei moto mkewe vizuri...

Yani kama mzee hujui kupeleka moto utasaidiwa sana...
kistaarabu kama moto hautoshi vunja ndoa kaishi na mpeleka moto

hakuna excuse yoyote ya ku cheat
 
noma sana lakini angetatua kwa busara akamuacha mke bila mapanga ingependeza
 
Pole sana kwa mkasa uliokupata wa kukutana na masimulizi haya mazito. Na siri nyingine siyo za kusimulia huku. Just twist them kidogo.
 
Hapa nahisi mzee atakuwa ampelekei moto mkewe vizuri...

Yani kama mzee hujui kupeleka moto utasaidiwa sana...
Kwa hiyo kama hupelekewi Moto vizuri ndiyo ulale na Mkweo tena kwenye kitanda Cha Mume wako!!? huo ni uzinzi tu uko ndani ya damu yake hakuna Cha kusingizia kuhusu Moto!!!
 
Kwa hiyo kama hupelekewi Moto vizuri ndiyo ulale na Mkweo tena kwenye kitanda Cha Mume wako!!? huo ni uzinzi tu uko ndani ya damu yake hakuna Cha kusingizia kuhusu Moto!!!
Baadhi ya wanawake wana matatizo sana. :
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…