Kuna wenye nyumba wana roho mbaya usiombe

1984 mpaka leo hii, washafariki hao, my mind huwa inaniambia nyumba si lolote lile huwa nashangaa kweli mtu kujivunia nyumba au gari na kunyanyasa wengine, haya makitu tunayo kwa muda mfupi mno.
 
Hio nitaisubiri kwa hamu maana hawa miamba nlikua nikiwasikia tu kua ni wazee wa kazi, wanapiga michongo yao kenya. Clement Mabina alikua anabadili magari kama nguo..
 


Wewe ndo una matatizo, sio huyo mzee, mambo mengine ni lujadili sio kuruka ukuta kama kibaka. 1. Mnauza vitu vya magendo, 2. Unaruka ukuta, ulishindwa kaa naye chini mkajadili?
 
Kuna mzee boya kweli,anakuja kudai kodi saa 8 usiku.hapo nishamkimbia kimbia.[emoji1787][emoji1787].natoka saa kumi usiku narudi saa 5 usiku
 
Kuna mzee boya kweli,anakuja kudai kodi saa 8 usiku.hapo nishamkimbia kimbia.[emoji1787][emoji1787].natoka saa kumi usiku narudi saa 5 usiku
[emoji23] sasa unataka akudai kodi saangapi kama unarudi mida ya wanga?
 
Utakua na hamsini plus
 
Heshima kwako Shem.
 
Hio nitaisubiri kwa hamu maana hawa miamba nlikua nikiwasikia tu kua ni wazee wa kazi, wanapiga michongo yao kenya. Clement Mabina alikua anabadili magari kama nguo..
Kuna mtu anaitwa matata huyu aliwahi kuwa meya wa manispaa ya ilemela sasa basi kama lilivyo jina lake matata na alikuwa mtata kweli
Aliwahi kuleta songombingo na watu wa serikali ilikuwa ni shida
 
Unayajua madebe lakini enzi hizo tena ilionekana nyumba ya maana hiyo mitaa ya uhuru rufiji unguja matofali yenyewe ni biskuti

Nayajua ndio maana nimekuuliza, unless kama jina la debe kwa Mwanza lilikuwa likijulikana tofauti na nijuavyo...

Debe ilikuwa ni container la bati la lita kama ishirini hivi lililokuwa likijazwa mafuta ya kula kama OKI, KORIE...

Kama ilivyokuwa kwa mapipa watu wengi vijijini waliyatumia kwenye kuezekea nyumba, kuzungushia nyumba uzio au wale watu wa mashineni waliyatumia kama kipimo cha nafaka, wauzaji mataputapu waliyatumia kuhifadhia ulabu n.k...
 
Wewe ndo una matatizo, sio huyo mzee, mambo mengine ni lujadili sio kuruka ukuta kama kibaka. 1. Mnauza vitu vya magendo, 2. Unaruka ukuta, ulishindwa kaa naye chini mkajadili?
Huyo father house alikuwa na akili mbovu sijawahi ona mimi nilikuwa namchukulia kama kaka yangu ila hakuwa muelewa hata kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…