Kuna yeyote aliyeoa single mother na wakafanikiwa kuishi vizuri tu kwenye ndoa?

Kuna yeyote aliyeoa single mother na wakafanikiwa kuishi vizuri tu kwenye ndoa?

Leo kwa mara ya kwanza umeongea ukweli, ndoa nyingi huku naziona za single maza.

Ila ingependeza single maza wangeoana na single faza ili kubalance mambo.
Apana kuoana single faza na single maza kivyovyote watoto wa faza wataumia kisaikolojia, watakosa baadhi ya malezi mazuri na ule upendo wa mama, mda mwngn ni rahis mgogoro kuzuka mwanamke utaona kama mwanaume anawazingatia Sana wanae na mwanaume nae hvo hvo

Mchezo uendeleee hv hv
 
Tuliachana na tuna mtoto, tukiwa pamoja alizingua alipoanza kucheat nikampotezea, mawasiliano ikawa kwa ajili ya matumizi tu na mambo ya msingi kwa ajili ya mtoto. Naheshimu mahusiano ya watu sikurudi nyuma,...sasa hivi ndo anabembeleza turudiane eti kwa ajili ya mtoto,nikasema hapana haiwezekani kurudiana, anaomba hata basi tukumbushane anabembeleza. Ila nadhani upande wa pili jamaa kichwa kinawaka moto sasa hivi, single mothers ngumu kuachana na watu waliozaa nao hata kwa kisiri.
 
Shabani na Zamaradi si unaona wapo pamoja???

Shabani kamkuta Zamaradi ana watoto 2,na yeye kapigilia misumari 2 kwenye jeneza!

Single mother's ni watamu mno,shida zao tu... Junior akianza kusumbua na wewe utasumbuka!

Utasikia mwache Junior achezee tu hiyo simu,ukimkataza atalia! Unaona kabisa Tecno yako inavunjwa kioo,bado unaambiwa mwache Junior, ukimkataza atalia

Shebby milandrover alikuwa hana jinsi baada ya kuungwa na bwawa linalotesa wakazi wa Rufiji kwa sasa...
 
Singo maza hapana sio wa kuoa mkuu, we jichanganye unaanza kumtetea kwasbb ya hisia za ngono......na jingine sio rahisi muislamu kubadili Dini ni swala la mda tu.tena kama baba mtoto alikua muislamu mwenzie hapo utalia kabisa utasikia wewe unaolewa je na kafiri, rudi nikupe chochote unacho taka kwa ajiri ya Allah ila uachane na kifiri, huyo ili uwepuke moto wa jihanamu na laana.
Acha uongo waislam kibao wanabadili dini tena wakitoka wanakuwa wanaokoka kabisa ushahidi upo kabisa ukitaka wewe
 
Nimekaribia kuingia kwenye huu mtego aisee, nimepata single mother mzuri kinoma, ananisikiliza kila kitu , ni muislamu yupo tayari kubadili dini na kua mkristo, Yuko smart kichwani yaani naona kabisa huyu naenda kufanya nae maisha, yaani mtoto ni mweupeee waarabu flani wa kasulu huko.

Lakini Kila niliemshirikisha ananiambia nikimbie mbio nyingi nisirudi nyuma, Wala nisijaribu kumuonea huruma, lakini nimefanya research watu wanaongoza kuachana ni hao hao ambao hawakuoa single mother,

Unaweza pata mwanamke bikra na bado mkaachana tu, una uhakika gani huyu mwanamke uliyenaye hajawai kuchoropoa mimba au kutumia P2/ majira kwenye maisha yake?

Kuna wengine wanaingia kwenye usingle mother kwa sababu ya mistake ndogo ndogo 😁😁..

NB, jamaa aliemzalisha anafamilia yake, alitumia advantage ya dogo kwa umaskini wake kumrubuni kupata kazi.

Nioe au nikimbie mbio nyingi sana.
Kama umempenda mchukue huyo ukiona na din kabadili chukua huyo hao huwa wanatulia sana coz wanajua maisha, hapa wanaokukataza ni wivu tu nakuambia hilo
 
Nimekaribia kuingia kwenye huu mtego aisee, nimepata single mother mzuri kinoma, ananisikiliza kila kitu , ni muislamu yupo tayari kubadili dini na kua mkristo, Yuko smart kichwani yaani naona kabisa huyu naenda kufanya nae maisha, yaani mtoto ni mweupeee waarabu flani wa kasulu huko.

Lakini Kila niliemshirikisha ananiambia nikimbie mbio nyingi nisirudi nyuma, Wala nisijaribu kumuonea huruma, lakini nimefanya research watu wanaongoza kuachana ni hao hao ambao hawakuoa single mother,

Unaweza pata mwanamke bikra na bado mkaachana tu, una uhakika gani huyu mwanamke uliyenaye hajawai kuchoropoa mimba au kutumia P2/ majira kwenye maisha yake?

Kuna wengine wanaingia kwenye usingle mother kwa sababu ya mistake ndogo ndogo [emoji16][emoji16]..

NB, jamaa aliemzalisha anafamilia yake, alitumia advantage ya dogo kwa umaskini wake kumrubuni kupata kazi.

Nioe au nikimbie mbio nyingi sana.
Sasa kama alitumia advantage ya umaskini wake,huoni nawewe unatumia advantage ya mzigo alionao kwa kua umeubeba begani....subiri awe stable kupitia wewe ndio utajua ulikua daraja au nini?
 
Singo maza hapana sio wa kuoa mkuu, we jichanganye unaanza kumtetea kwasbb ya hisia za ngono......na jingine sio rahisi muislamu kubadili Dini ni swala la mda tu.tena kama baba mtoto alikua muislamu mwenzie hapo utalia kabisa utasikia wewe unaolewa je na kafiri, rudi nikupe chochote unacho taka kwa ajiri ya Allah ila uachane na kifiri, huyo ili uwepuke moto wa jihanamu na laana.
Hahahaha bro kwa hizi sound single mother hachomoi....😂😂😂

Hapo anamaliza na aya na hadith kabisa
 
Ndio hivyo mkuu, Ili kuhusu huyu single mother nikichakata ubongo wangu vizuri, nikiona kama siwezi kukaa nae itabidi nimchukue tu huyo muha Ambaye sio mzuri kwa muonekano/elimu lakini najua nitakaa nae kwa amani na kuzeeka pamoja, kwa sababu nidhamu yake ipo juu, upole n.k
Umempenda yup Kati ya muha Na single mom
 
We oa wana uzoefu na maisha na akili zao huwa zimetulia hawana utoto na akizingua mpige chini asubui tu. Mimi mama yangu aliolewa singo maza, baba mkwe alioa singo maza tena wote wake wawili aliwaoa wakiwa singo mama na hadi sasa wote wana hadi wajukuu
 
Back
Top Bottom