Hapo pa kwanini ulizaliwa pawe fundisho kwetu tunaohamasisha kuzaa watoto wengi....baadae tunaishia kuwatesa kama iviHali ya maisha ni ngumu sana
Kuna wakati unatamani hata kungekua na simu ambayo unajidunga wakati unaingia kulala kisha inakuondoa baada ya masaa matatu baada ya kupitiwa na usingizi
Tatizo tunawaza wanaotutegemea tutawaacha kwenye hali gani
Unakuta familia inakutegemea lakini wewe unaetegemewa ukiangalia mbele unaona kiza tu mana kila siku afadhali ya jana
Wale mliojaliwa vipato vya kumudu maisha yenu mshukuruni sana mwenyezi Mungu
Kuna wakati unawaza kwanini hata ulizaliwa kutokana na mateso unayopitia ya maisha
Wakati mwingine unajiuliza kwanini na mimi sikuzaliwa familia ya kitajiri lakini unapata jibu kwamba yote ni mipango ya Mungu.
Anyway acha niishie hapa.
Mtu ana bando na kuscroll jf anawaza kujiua 😁😁😁😁.Hata hapa ulipo unapaswa kumshukuru sana Mungu ni kwavile tu hujui
Huumwi
Hauko jela
Una sehemu ya kulala
Una uwezo wa kumiliki simu janja
Una bundle
Umekula
Na juu ya yote una nafasi ya kuwaza haya
Kuna baadhi
Leo hajui atalala wapi
Atakula nini
Hana simu hata kitochi
Ana madeni kama yote nknk.. Lakini bado ana tumainiView attachment 2791680
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mtu kama huyu pesa haitoshi,Mpatie fursa Itakayo mpatia hizo pesa.Ni pm namba yako inayoweza kupokea muamala
Shida sio kutafuta pesa.BALI HIZO NJIA ZA KUTAFUTA PESA[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
yaani tunapeana tu moyo tafuta pesa.
Ila kiukweli njia z kutafuta pesa ni ngumu.huna kazi,Huna mtaji ,Huna kibarua,Huna connection. Hizo hela unatafuta vipi?
Kweli ila fimbo ya mbali haiui nyoka, kilichokuwa karibu ndio mekitoa watu wapo wengi humu watakaompa fursa na mengineMkuu mtu kama huyu pesa haitoshi,Mpatie fursa Itakayo mpatia hizo pesa.
Sent from my SM-A107M using JamiiForums mobile app
Asante kwa kunitia moyo.Pole ndugu jikaze, kuna siku yatapita na utajilaumu kwanini uliwaza haya,Yatapita ila kwa condition moja tu, KAZA.
Hiyo ni changamoto nyingine, ni muhimu sana kwa kijana kuishi kwa kuangalia fursa. Ukiwa mtu wa kuangalia fursa utazungukwa na kuwa karibu na watu watakaokusaidia kuzipata fursa.
Pia ni muhimu zaidi vijana kukubali kufanya kazi yoyote halali ili kujipatia kipato. Ajira hakuna lakini kazi zipo, ni muhimu sana kwa kijana 'kujichanganya' na watu sahih
Mimi ni kijana ambae sichagui kazi pamoja na kwamba nimesoma na sina ajira kwasasa.Nishawahi hadi kusaidia mafundi ujenzi kwa kubeba tofali na kufanya kazi ambazo kwa vijana wa sasa wanaomaliza vyuo huwezi kuwashauri wafanye, yote ni kwasababu nina majukum hivyo sipaswi kuchagua kazi ilimradi tu iwe halali.Hiyo ni changamoto nyingine, ni muhimu sana kwa kijana kuishi kwa kuangalia fursa. Ukiwa mtu wa kuangalia fursa utazungukwa na kuwa karibu na watu watakaokusaidia kuzipata fursa.
Pia ni muhimu zaidi vijana kukubali kufanya kazi yoyote halali ili kujipatia kipato. Ajira hakuna lakini kazi zipo, ni muhimu sana kwa kijana 'kujichanganya' na watu sahihi.
Dah! [emoji848]Hali ya maisha ni ngumu sana
Kuna wakati unatamani hata kungekua na simu ambayo unajidunga wakati unaingia kulala kisha inakuondoa baada ya masaa matatu baada ya kupitiwa na usingizi
Tatizo tunawaza wanaotutegemea tutawaacha kwenye hali gani
Unakuta familia inakutegemea lakini wewe unaetegemewa ukiangalia mbele unaona kiza tu mana kila siku afadhali ya jana
Wale mliojaliwa vipato vya kumudu maisha yenu mshukuruni sana mwenyezi Mungu
Kuna wakati unawaza kwanini hata ulizaliwa kutokana na mateso unayopitia ya maisha
Wakati mwingine unajiuliza kwanini na mimi sikuzaliwa familia ya kitajiri lakini unapata jibu kwamba yote ni mipango ya Mungu.
Anyway acha niishie hapa.
Daah!! Pole sana Mkuu! Sina cha kuongea hapo! Mungu asikie hitaji la Moyo wakoHali ya maisha ni ngumu sana
Kuna wakati unatamani hata kungekua na simu ambayo unajidunga wakati unaingia kulala kisha inakuondoa baada ya masaa matatu baada ya kupitiwa na usingizi
Tatizo tunawaza wanaotutegemea tutawaacha kwenye hali gani
Unakuta familia inakutegemea lakini wewe unaetegemewa ukiangalia mbele unaona kiza tu mana kila siku afadhali ya jana
Wale mliojaliwa vipato vya kumudu maisha yenu mshukuruni sana mwenyezi Mungu
Kuna wakati unawaza kwanini hata ulizaliwa kutokana na mateso unayopitia ya maisha
Wakati mwingine unajiuliza kwanini na mimi sikuzaliwa familia ya kitajiri lakini unapata jibu kwamba yote ni mipango ya Mungu.
Anyway acha niishie hapa.
Hajadanganya, vile tu haujamwelewa! Life begins at forty haina maana ya kuwa uanze kutafuta maisha ukiwa na miaka 40, hiyo miaka ni kuanza kuishi kwa kulingana na ulichokiwekeza au kukitafuta kwa miaka 39 nyuma!Aliyesema life begins at 40 alitudanganya[emoji1][emoji1][emoji1]
Tukuchangie pesa Kwa namba ipi?Hali ya maisha ni ngumu sana
Kuna wakati unatamani hata kungekua na simu ambayo unajidunga wakati unaingia kulala kisha inakuondoa baada ya masaa matatu baada ya kupitiwa na usingizi
Tatizo tunawaza wanaotutegemea tutawaacha kwenye hali gani
Unakuta familia inakutegemea lakini wewe unaetegemewa ukiangalia mbele unaona kiza tu mana kila siku afadhali ya jana
Wale mliojaliwa vipato vya kumudu maisha yenu mshukuruni sana mwenyezi Mungu
Kuna wakati unawaza kwanini hata ulizaliwa kutokana na mateso unayopitia ya maisha
Wakati mwingine unajiuliza kwanini na mimi sikuzaliwa familia ya kitajiri lakini unapata jibu kwamba yote ni mipango ya Mungu.
Anyway acha niishie hapa.
Umwongea ukwel, sasahv hatakama unamtaji biashara nying hazilipYaani kama sio mila na dini zetu hakika vijana wengi wangejimaliza kwa ground mambo magumu sana ..
Nimekutumia inboxTukuchangie pesa Kwa namba ipi?