Kungekuwa na sumu ya kujidunga kisha unakufa usingizini wengi tungeshatoweka duniani

Kuwa Muislam, uwe na mawasiliano ya moja kwa moja na Muumba wako.
 
Tukushauri njia ya kujua au tukushauri namna ya kujikwamua?
Weka wazi msimamo wako.
 
Hahahaha,sielewi
Uislamu ni kujisalimisha kwa Muumba wetu mmoja tu. Waislamu ni wa Mungu mmoja na wanaabudu Mungu mmoja, mwenye kujua yote, ambaye kwa Kiarabu anajulikana kama Allah. Wafuasi wa Uislamu wanalenga kuishi maisha ya utii kamili kwa Mwenyezi Mungu. Wanaamini kwamba hakuna kitu kinachoweza kutokea bila idhini ya Mwenyezi Mungu.
 
Ipo tena haina maumivu ni ya maji unaweka chini ya ulimi off you go.
 
Mkuu we furahio ulichopata mpk unaandika hapa,
Wenzio kwa Mungu tumefika.
Kule nae anadai kadi ya mwaliko usifikiri unajiendea tu km chooni.
Atakurudisha hapa hapa duniani.
Ndo utaambiwa umenusurika kwenye ajali.
Hapana huhitajiki kule.
Muda wako bado,we na kimbelembele chako unajipeleka.
Siku yako ikifika unaweza kunywa maji tu yakakukaba tukakuzika.
Haijafika.
Utapanda ndege ikadondoka juu huko mkaangukia porini nowhere na ukapona ukaokolewa mzima.
 
Upo sahihi mkuu, kuna jamaa alinifata juz kati anasema anatafuta conn za ajira za ualimu zijazo, nilimwambia conn zipo ila kwa ajira za ualimu, watu weng wanapata by chance
 
Suluhu la kudumu la umaskini ni communal ownership
 
Mkuu ishi
Anza kuwa na sifa mbaya lakini ishi
 
Wewe ni sensei? Kuna shule huku Kigamboni inatafuta mwalimu wa kuwafundisha watoto karate
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…