Kuoa Kumbe Siku Hizi ni Upumbavu Kabisa

Kuoa Kumbe Siku Hizi ni Upumbavu Kabisa

The Eric

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2019
Posts
6,446
Reaction score
10,976
Wakuu!

Sasa nazidi kuamini wanawake ni fwisi samahani niliteleza mkono yaani hizi nilimaanisha ni fisi.

Yaani mwanaume ukiwa imara lazima mwanamke atakuangusha tu, tena anakuangusha pale pesa inapopelea kudadeki.

Umezoea kuacha 10,000 jaribu siku useme leo sina kitu nunua hata mboga kidogo za 4000 usikie balaa lake, hasa ukute una kariba ya upole.

Hawa wanawake wa siku hizi ni balaa mkuu, hata umtoe kijiji cha nyamarehe au nanjilinji bado akifika mjini atakuona wewe fala. Huu msala ni bora tu tununue tujue tunanunua aisee, ndoa saivi ni ndoano tu wanaume wanavuliwa kama samaki.

Kama mapenzi ni maji masafi basi mi nanawa tu wakuu. Changamoto kubwa za mapenzi saivi chanzo huwa ni mwanamke anamwacha mwanaume kisa huyo mwanaume hana pesa za kumpatia mwanamke.

Mwanaume ukiwa nazo saivi unatamba mkuu, yaani piga na pasua huyo mwanamke yaani bamiza ukutani awe kama katuni fulani huyo mwanamke haami anakuwa mvumilivu.

Wewe yaani chepuka na wanawake 10 kwa siku yaani wewe leta weusi wa kila rangi na wazungu huyo mwanamke haami kwako sababu pesa ipo.

Kwanza akienda kwao akaeleza ulivo mtenda, utasikia vumilia hayo ni majaribu ya dunia au wengine watamwambia kama umemshindwa usirudi hapa.

Pesa hii pesa hii. Daaah ishini kwa tahadhari wanaume na hizi pugi pugi nyingine magugu maji yao ni chuma ulete tu.
 
Single Maza ni sawa na sumu isiyo na expired date.....SASA shauri yako........maana hiyo haifai hata Kwa matumizi ya kujiua..........utakuwa kufa ufi lakini upo Kati Kati........kama unaamka au unakufa
 
Wakuu!

Sasa nazidi kuamini wanawake ni fwisi samahani niliteleza mkono yaani hizi nilimaanisha ni fisi.

Yaani mwanaume ukiwa imara lazima mwanamke atakuangusha tu.
tena anakuangusha pale pesa inapopelea kudadeki.

Umezoea kuacha 10,000 jaribu siku useme leo sina kitu nunua hata mboga kidogo za 4000 usikie balaa lake, hasa ukute una kariba ya upole.

Hawa wanawake wa siku hizi ni balaa mkuu hata umtoe kijiji cha nyamarehe au nanjilinji bado akifika mjini atakuona wewe fala.

Huu msala ni bora tu tununue tujue tunanunua aiseee ndoa saivi ni ndoano tu wanaume wanavuliwa kama samaki.

Kama mapenzi ni maji masafi basi mi nanawa tu wakuu.

Changamoto kubwa za mapenzi saivi chanzo huwa ni mwanamke anamwacha mwanaume kisa huyo mwanaume hana pesa za kumpatia mwanamke.

Mwanaume ukiwa nazo saivi unatamba mkuu yaani piga na pasua huyo mwanamke yaani bamiza ukutani awe kama katuni fulani huyo mwanamke haami anakuwa mvumilivu.

wewe yaani chepuka na wanawake 10 kwa siku yaani wewe leta weusi wa kila rangi na wazungu huyo mwanamke haami kwako sababu pesa ipo.
Kwanza akienda kwao akaeleza ulivo mtenda, utasikia vumilia hayo ni majaribu ya dunia au wengine watamwambia kama umemshindwa usirudi hapa.

Pesa hii pesa hii. Daaah ishini kwa tahadhari wanaume na hizi pugi pugi nyingine magugu maji yao ni chuma ulete tu.
Yamekushinda wewe unataka nani yamshinde?
 
Wanawake wanaojitambua sio hawa wakisasa hawanaga tabia izo wale wanajielewa na kujua jinsi ya kuvaa na mume sio kizazi cha degree.
 
Wakuu!

Sasa nazidi kuamini wanawake ni fwisi samahani niliteleza mkono yaani hizi nilimaanisha ni fisi.

Yaani mwanaume ukiwa imara lazima mwanamke atakuangusha tu, tena anakuangusha pale pesa inapopelea kudadeki.

Umezoea kuacha 10,000 jaribu siku useme leo sina kitu nunua hata mboga kidogo za 4000 usikie balaa lake, hasa ukute una kariba ya upole.

Hawa wanawake wa siku hizi ni balaa mkuu, hata umtoe kijiji cha nyamarehe au nanjilinji bado akifika mjini atakuona wewe fala. Huu msala ni bora tu tununue tujue tunanunua aisee, ndoa saivi ni ndoano tu wanaume wanavuliwa kama samaki.

Kama mapenzi ni maji masafi basi mi nanawa tu wakuu. Changamoto kubwa za mapenzi saivi chanzo huwa ni mwanamke anamwacha mwanaume kisa huyo mwanaume hana pesa za kumpatia mwanamke.

Mwanaume ukiwa nazo saivi unatamba mkuu, yaani piga na pasua huyo mwanamke yaani bamiza ukutani awe kama katuni fulani huyo mwanamke haami anakuwa mvumilivu.

Wewe yaani chepuka na wanawake 10 kwa siku yaani wewe leta weusi wa kila rangi na wazungu huyo mwanamke haami kwako sababu pesa ipo.

Kwanza akienda kwao akaeleza ulivo mtenda, utasikia vumilia hayo ni majaribu ya dunia au wengine watamwambia kama umemshindwa usirudi hapa.

Pesa hii pesa hii. Daaah ishini kwa tahadhari wanaume na hizi pugi pugi nyingine magugu maji yao ni chuma ulete tu.


Kama mwanaume una akili, kuoa uoa sio upumbavu
1 PETRO 3:7
Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa AKILI; na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu; na kama warithi pamoja wa neema ya uzima, kusudi kuomba kwenu kusizuiliwe.

Kufanya zinaa ndio upumbavu
MITHALI 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.


Kuoa sio lazima ila ukiamua hutaki kuoa na zinaa usifanye
1 WAKORINTO 7:1-10
Basi kwa habari ya mambo yale mliyoandika, ni heri mwanamume asimguse mwanamke.

Lakini kwa sababu ya zinaa kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke na awe na mume wake mwenyewe.

Mume na ampe mkewe haki yake, na vivyo hivyo mke na ampe mumewe haki yake.

Mke hana amri juu ya mwili wake, bali mumewe; vivyo hivyo mume hana amri juu ya mwili wake, bali mkewe.

Msinyimane isipokuwa mmepatana kwa muda, ili mpate faragha kwa kusali; mkajiane tena, Shetani asije akawajaribu kwa kutokuwa na kiasi kwenu.

Lakini nasema hayo, kwa kutoa idhini yangu, si kwa amri.

Ila nipendalo ni kwamba watu wote wawe kama mimi nilivyo; walakini kila mtu ana karama yake mwenyewe itokayo kwa Mungu, huyu hivi, na huyu hivi.

Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na wajane, Ni heri wakae kama mimi nilivyo.

Lakini ikiwa hawawezi kujizuia, na waoe; maana ni afadhali kuoa kuliko kuwaka tamaa.

Lakini wale waliokwisha kuoana nawaagiza; wala hapo si mimi, ila Bwana; mke asiachane na mumewe;
 
Kama mwanaume una akili, kuoa uoa sio upumbavu
1 PETRO 3:7
Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa AKILI; na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu; na kama warithi pamoja wa neema ya uzima, kusudi kuomba kwenu kusizuiliwe.

Kufanya zinaa ndio upumbavu
MITHALI 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.


Kuoa sio lazima ila ukiamua hutaki kuoa na zinaa usifanye
1 WAKORINTO 7:1-10
Basi kwa habari ya mambo yale mliyoandika, ni heri mwanamume asimguse mwanamke.

Lakini kwa sababu ya zinaa kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke na awe na mume wake mwenyewe.

Mume na ampe mkewe haki yake, na vivyo hivyo mke na ampe mumewe haki yake.

Mke hana amri juu ya mwili wake, bali mumewe; vivyo hivyo mume hana amri juu ya mwili wake, bali mkewe.

Msinyimane isipokuwa mmepatana kwa muda, ili mpate faragha kwa kusali; mkajiane tena, Shetani asije akawajaribu kwa kutokuwa na kiasi kwenu.

Lakini nasema hayo, kwa kutoa idhini yangu, si kwa amri.

Ila nipendalo ni kwamba watu wote wawe kama mimi nilivyo; walakini kila mtu ana karama yake mwenyewe itokayo kwa Mungu, huyu hivi, na huyu hivi.

Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na wajane, Ni heri wakae kama mimi nilivyo.

Lakini ikiwa hawawezi kujizuia, na waoe; maana ni afadhali kuoa kuliko kuwaka tamaa.

Lakini wale waliokwisha kuoana nawaagiza; wala hapo si mimi, ila Bwana; mke asiachane na mumewe;
Akili [emoji817] Shikamoo mama D
 
Back
Top Bottom