Kuoa Kumbe Siku Hizi ni Upumbavu Kabisa

Huku jf Kwanini kila mwanawake anatetea ndoa/kuolewa?, Pamoja na changamoto za ndoa kuwa nyingi, sijawahi ona mwanamke humu jf akiiponda ndoa/akipinga kuolewa DeepPond dronedrake mama D
 
Acha kufichaficha maneno, wewe ni shoga huwezi kuoa. Mnaokataa ndoa ni mashoga.
 
wanatetea kwa sababu ni ajira kwao, ni njia mojawapo kuwapunguzia ukali wa maisha, ni njia mojawapo kwao kujipatia pesa, ni njia mojawapo wao kukidhi mahitaji ya kimateriali, nk, wao ndiyo wana gain, ME anapoteza

wajanja huwa hawaoi
Ndo mana Mwanamke akipigwa na maisha utaskia anasema "bora niolewe"
 
Wewe mtu mwingine kakojoa kazaa kasepa wewe kwa nyege zako unajua utaweza?

Mwanamke akishakuona hivyo lazima akudharau. Unalea vipi mtoto wa mwingine bila makubaliano?
Tenda wema uende zako! Yosefu angekuwaga wa hovyo hivi Yesu asingepata wa kumlea! Na ukipenda boga, penda na ua lake!
 
Ko unataka uwe shoga , fala sana ww, oa mume mwenzio Sasa , afu hii kasumba ya kuzisema ndoa vibaya ni scarm Kuna agenda nyuma ya pazia ,

Vijana oa hata kama ndoa itasababisha kutoa uhai wako lakini umetimiz kusudi la Mungu

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Daah haya maandiko yote kwa sasa hivi hayafanyi kazi tena....
 
Kuoa sio tatizo, kuna kuoa na kuna kuzoa. Shida mnazoa hamuoi, ukizoa lazima yakukute.
Oa KWA kuchunguza asili utojuta
Mmmhhh zoa zoa, asili wapi kaka binadamu wa siku hizi daah utu amna.
 
Ndiyo maana tukaoa ila moto tuna uona athari ya moto majivu.
 
Wanawake wa kizazi hiki akili zao zimeongezeka sana. Lkn wanaume wa kizazi hiki akili zao zimepungua Sana. Ndiyo maana ndoa zinavunjika mno.
Inawezekana sio kweli sana, labda useme wanawake wamekuwa wajuaji tu.
 
🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨
Haya mambo mazito sanaa.... Mimi nilkua na simuliwa na kusikia kwa watu ila saivi nayaona na yananikuta.. Mungu atusaidie tu coz koz kuna mda unawaza ata uwe na mke wa nje unawaza ata upotee kabisa umuache ila inakua ngumua
 
Acha kabisa
 
Tatizo linaanzia kwenye malezi,Background ya Mwanamke au Mwanaume.
Ndiyo mkuu malezi ndiyo kila kitu kaka, yaani daah kuna mwamba naye kapandisha uzi kama huu hapa MMU inaumiza sana yaani jamaa anakomaa kinoma afu akipeleza kidogo tu, mwanamke anamjia juu vibaya mno.

Ukizingatia mwanamke naye anafanya kazi na pesa anapata ila hana mchango wowote zaidi ya kulalamika jamii hatoi mahitaji pale jamaa anapo pelea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…