Captain Fire
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 2,435
- 5,000
binti kiziwi deaf"Ah, specificity noted! But relax—ownership isn't my style; elevation is. Speaking of levels, are we sure you're at yours?"
The importance of a virgin girl before marriage is often perceived through the preservation of cultural honor, adherence to religious doctrines of chastity, demonstration of moral fortitude, safeguarding of emotional and physical purity, cultivation of trust and respect within matrimonial bonds, reduction of health risks, affirmation of societal expectations, and the embodiment of personal or spiritual integrity.
Support your foolishness
Kuna wanaume wajinga wajinga hivi wenye akili za kitoto kila uchwao hubweka... "usioe mwanamke asiye bikira." Kiuhalisia hao jamaa hawajui maana ya ndoa ni nini. Wapo walioa mabikira kwa kudhani kuwa ndoa zitadumu kumbe sivyo hivyo. Waliachana na hao mabikira zao.
Wapo wanaojua nini maana ya ndoa walioa wanawake wasio mabikira, hadi leo wanafurahia ndoa za zilizo katika ubora.
Ubikira hauifanyi ndoa kuwa bora. Kinachofanya ndoa iwe bora ni kwa wanandoa kutokuwa na ubinafsi, msamaha, utu wema, uvumilivu na kujitolea. Mimi na mume wangu tusingeoana iwapo tugekosa hizo sifa za kuifanya ndoa iwe bora.
Mnaotafuta mabinti mabikira wa kuoa niwaambie bila kuwaficha.... "bado hamjapata akili ya kuishi na mwanamke - ninyi wenyewe sio mabikira halafu mnatafuta mabikira wa kuoa huo ni ujinga wa kiwango cha kokoto."
Siku mkiacha ujinga mtafanikiwa katika ndoa as couple mliooana huku nyote mkiwa sio mabikira.
Mungu awaondolee ujinga.
Ila kuna mama mmoja nasikia aliolewa akiwa bikiria anagawa jamani dah,ungeweza kusema labda mume wake muhuni lakini wapi,jamaa mtu wa nyumbani sana....!Bikra ni muhimu Sana inaonesha jinsi gani mwanamke anatunza utu na dhamani yake.Tulitakiwa kuwaasa na kuwasisitiza watoto wetu wa kike wajitunze na sio kuwaambia Ndoa haijengwi na Bikra.
Angeolewa akiwa sio bikra ingekua Balaa mara kumi zaidiIla kuna mama mmoja nasikia aliolewa akiwa bikiria anagawa jamani dah,ungeweza kusema labda mume wake muhuni lakini wapi,jamaa mtu wa nyumbani sana....!
Wanawake wanachukia sana mada hizi za UMIHINU WA MWANAUME KUOA MKE MWENYE BIKRA.Kuna wanaume wajinga wajinga hivi wenye akili za kitoto kila uchwao hubweka... "usioe mwanamke asiye bikira." Kiuhalisia hao jamaa hawajui maana ya ndoa ni nini. Wapo walioa mabikira kwa kudhani kuwa ndoa zitadumu kumbe sivyo hivyo. Waliachana na hao mabikira zao.
Wapo wanaojua nini maana ya ndoa walioa wanawake wasio mabikira, hadi leo wanafurahia ndoa za zilizo katika ubora.
Ubikira hauifanyi ndoa kuwa bora. Kinachofanya ndoa iwe bora ni kwa wanandoa kutokuwa na ubinafsi, msamaha, utu wema, uvumilivu na kujitolea. Mimi na mume wangu tusingeoana iwapo tugekosa hizo sifa za kuifanya ndoa iwe bora.
Mnaotafuta mabinti mabikira wa kuoa niwaambie bila kuwaficha.... "bado hamjapata akili ya kuishi na mwanamke - ninyi wenyewe sio mabikira halafu mnatafuta mabikira wa kuoa huo ni ujinga wa kiwango cha kokoto."
Siku mkiacha ujinga mtafanikiwa katika ndoa as couple mliooana huku nyote mkiwa sio mabikira.
Mungu awaondolee ujinga.
Tuzione hizo nyuki-Tuwaone hao nyukiHahaaaa acha tuzione hizo nyuki
Hata kama unamjua mwambie mleta mada yeye ni mpumbavu na bila shaka huyo mme wake wanaumia kwa kumuoa akiwa MTUMBAMimi namjua Bi Zandile, na mumewe ninamjua pia tupo naye hapa hapa jf, huyo bibie hayupo kama ulivyomtuhumu na ndio maana nikakuuliza kama una uthibitisho hata wa kumkaza tu katika umalaya wake kwa kuwa ni malaya.
Baada ya kutoa jibu lako nimebaini wewe ndiye malaya na umedanganywa sana tu na malaya wanunuzi wa bikira za mchina..
Punguza makasiriko kijana baada ya kupondwa za uso na Bi Zandile hadi ukaamua kumuweka kwenye kundi la malaya ilhali hujui na wala huna uthibitisho kuhusu umalaya wake.
Gentleman hawezi kuwa na makasiriko kama yako.
Wewe unamuona mleta mada ni mpumbavu, mumewe anamuona bibie sio mpumbavu na ndio maana wanafurahia maisha...Hata kama unamjua mwambie mleta mada yeye ni mpumbavu na bila shaka huyo mme wake wanaumia kwa kumuoa akiwa MTUMBA
BIKRA HAWEZI KUFANANISHA NA KAHABA ABADAN
Tuliza mshono na wewe ndio unaonekana uliemuoa huyo mtumba mleta mada, pole sana kwa kuoa mke wa mtuWewe unamuona mleta mada ni mpumbavu, mumewe anamuona bibie sio mpumbavu na ndio maana wanafurahia maisha...
Nadhani wewe ukiitwa mpumbavu kwa kukerwa na maisha ya wengine nasi unafaa kuitwa mpumbavu.
Upo Sahihi 💯Kuna wanaume wajinga wajinga hivi wenye akili za kitoto kila uchwao hubweka... "usioe mwanamke asiye bikira." Kiuhalisia hao jamaa hawajui maana ya ndoa ni nini. Wapo walioa mabikira kwa kudhani kuwa ndoa zitadumu kumbe sivyo hivyo. Waliachana na hao mabikira zao.
Wapo wanaojua nini maana ya ndoa walioa wanawake wasio mabikira, hadi leo wanafurahia ndoa za zilizo katika ubora.
Ubikira hauifanyi ndoa kuwa bora. Kinachofanya ndoa iwe bora ni kwa wanandoa kutokuwa na ubinafsi, msamaha, utu wema, uvumilivu na kujitolea. Mimi na mume wangu tusingeoana iwapo tugekosa hizo sifa za kuifanya ndoa iwe bora.
Mnaotafuta mabinti mabikira wa kuoa niwaambie bila kuwaficha.... "bado hamjapata akili ya kuishi na mwanamke - ninyi wenyewe sio mabikira halafu mnatafuta mabikira wa kuoa huo ni ujinga wa kiwango cha kokoto."
Siku mkiacha ujinga mtafanikiwa katika ndoa as couple mliooana huku nyote mkiwa sio mabikira.
Mungu awaondolee ujinga.
Kuna wanaume wajinga wajinga hivi wenye akili za kitoto kila uchwao hubweka... "usioe mwanamke asiye bikira." Kiuhalisia hao jamaa hawajui maana ya ndoa ni nini. Wapo walioa mabikira kwa kudhani kuwa ndoa zitadumu kumbe sivyo hivyo. Waliachana na hao mabikira zao.
Wapo wanaojua nini maana ya ndoa walioa wanawake wasio mabikira, hadi leo wanafurahia ndoa za zilizo katika ubora.
Ubikira hauifanyi ndoa kuwa bora. Kinachofanya ndoa iwe bora ni kwa wanandoa kutokuwa na ubinafsi, msamaha, utu wema, uvumilivu na kujitolea. Mimi na mume wangu tusingeoana iwapo tugekosa hizo sifa za kuifanya ndoa iwe bora.
Mnaotafuta mabinti mabikira wa kuoa niwaambie bila kuwaficha.... "bado hamjapata akili ya kuishi na mwanamke - ninyi wenyewe sio mabikira halafu mnatafuta mabikira wa kuoa huo ni ujinga wa kiwango cha kokoto."
Siku mkiacha ujinga mtafanikiwa katika ndoa as couple mliooana huku nyote
Kusema kwamba ni mke wa mtu inadhihirsha wazi wewe una akili kisoda coz aliyeoa halalamiki halafu wewe umekaza fuvu eti ni mke wa mtu.....Tuliza mshono na wewe ndio unaonekana uliemuoa huyo mtumba mleta mada, pole sana kwa kuoa mke wa mtu
Kongolee kwa Wachina wanaotumia ujinga wa wasaka bikira kama fursa ya kudumu kuuza bikra feki...Aroo we! Arooo tena! Dem bikra ndo wife material full stop!!!!!
Hiyo bikra kwa wote subiri ukifika peponi utamkuta mwanamume wako bikira huko mzinduaneYangu ilitoka na baisko ila bikira ni muhimu (Lakini iwe kwa wote, ME na KE) inapunguza ujuaji mwingi kwenye ndoa..!!
Tatiso mfumo na maimbile yanamuathiri mwanamkeYangu ilitoka na baisko ila bikira ni muhimu (Lakini iwe kwa wote, ME na KE) inapunguza ujuaji mwingi kwenye ndoa..!!
Kuna wanaume wajinga wajinga hivi wenye akili za kitoto kila uchwao hubweka... "usioe mwanamke asiye bikira." Kiuhalisia hao jamaa hawajui maana ya ndoa ni nini. Wapo walioa mabikira kwa kudhani kuwa ndoa zitadumu kumbe sivyo hivyo. Waliachana na hao mabikira zao.
Wapo wanaojua nini maana ya ndoa walioa wanawake wasio mabikira, hadi leo wanafurahia ndoa za zilizo katika ubora.
Ubikira hauifanyi ndoa kuwa bora. Kinachofanya ndoa iwe bora ni kwa wanandoa kutokuwa na ubinafsi, msamaha, utu wema, uvumilivu na kujitolea. Mimi na mume wangu tusingeoana iwapo tugekosa hizo sifa za kuifanya ndoa iwe bora.
Mnaotafuta mabinti mabikira wa kuoa niwaambie bila kuwaficha.... "bado hamjapata akili ya kuishi na mwanamke - ninyi wenyewe sio mabikira halafu mnatafuta mabikira wa kuoa huo ni ujinga wa kiwango cha kokoto."
Siku mkiacha ujinga mtafanikiwa katika ndoa as couple mliooana huku nyote mkiwa sio mabikira.
Mungu awaondolee ujinga.