Kuoa mwanamke bikira hakuwezi kuifanya ndoa yako kuwa bora

Kuoa mwanamke bikira hakuwezi kuifanya ndoa yako kuwa bora

Sio ajabu mbona...

Tangu mchina awekeze kwenye biashara ya kutengeneza bikira limeibuka kundi la wapumbavu kama wewe wenye kujisifu kuwa walioa bikira ilhali huyo demu alishatumika sana kisha akaenda kwa mchina kununua bikira ili kumfurahisha mjinga kama wewe
Bikra Zipo vijijini huko japo kuwa mjini pia zipo lakini Ni chache Kwa wasichana waliofikisha umri wa kubarehe
 
Kuna wanaume wajinga wajinga hivi wenye akili za kitoto kila uchwao hubweka... "usioe mwanamke asiye bikira." Kiuhalisia hao jamaa hawajui maana ya ndoa ni nini. Wapo walioa mabikira kwa kudhani kuwa ndoa zitadumu kumbe sivyo hivyo. Waliachana na hao mabikira zao.

Wapo wanaojua nini maana ya ndoa walioa wanawake wasio mabikira, hadi leo wanafurahia ndoa za zilizo katika ubora.

Ubikira hauifanyi ndoa kuwa bora. Kinachofanya ndoa iwe bora ni kwa wanandoa kutokuwa na ubinafsi, msamaha, utu wema, uvumilivu na kujitolea. Mimi na mume wangu tusingeoana iwapo tugekosa hizo sifa za kuifanya ndoa iwe bora.

Mnaotafuta mabinti mabikira wa kuoa niwaambie bila kuwaficha.... "bado hamjapata akili ya kuishi na mwanamke - ninyi wenyewe sio mabikira halafu mnatafuta mabikira wa kuoa huo ni ujinga wa kiwango cha kokote."

Siku mkiacha ujinga mtafanikiwa katika ndoa as couple mliooana huku nyote mkiwa sio mabikira.

Mungu awaondolee ujinga.
Pale KAHABA anapojitetea
 
Kuna wanaume wajinga wajinga hivi wenye akili za kitoto kila uchwao hubweka... "usioe mwanamke asiye bikira." Kiuhalisia hao jamaa hawajui maana ya ndoa ni nini. Wapo walioa mabikira kwa kudhani kuwa ndoa zitadumu kumbe sivyo hivyo. Waliachana na hao mabikira zao.

Wapo wanaojua nini maana ya ndoa walioa wanawake wasio mabikira, hadi leo wanafurahia ndoa za zilizo katika ubora.

Ubikira hauifanyi ndoa kuwa bora. Kinachofanya ndoa iwe bora ni kwa wanandoa kutokuwa na ubinafsi, msamaha, utu wema, uvumilivu na kujitolea. Mimi na mume wangu tusingeoana iwapo tugekosa hizo sifa za kuifanya ndoa iwe bora.

Mnaotafuta mabinti mabikira wa kuoa niwaambie bila kuwaficha.... "bado hamjapata akili ya kuishi na mwanamke - ninyi wenyewe sio mabikira halafu mnatafuta mabikira wa kuoa huo ni ujinga wa kiwango cha kokote."

Siku mkiacha ujinga mtafanikiwa katika ndoa as couple mliooana huku nyote mkiwa sio mabikira.

Mungu awaondolee ujinga.

Kuna wanaume wajinga wajinga hivi wenye akili za kitoto kila uchwao hubweka... "usioe mwanamke asiye bikira." Kiuhalisia hao jamaa hawajui maana ya ndoa ni nini. Wapo walioa mabikira kwa kudhani kuwa ndoa zitadumu kumbe sivyo hivyo. Waliachana na hao mabikira zao.

Wapo wanaojua nini maana ya ndoa walioa wanawake wasio mabikira, hadi leo wanafurahia ndoa za zilizo katika ubora.

Ubikira hauifanyi ndoa kuwa bora. Kinachofanya ndoa iwe bora ni kwa wanandoa kutokuwa na ubinafsi, msamaha, utu wema, uvumilivu na kujitolea. Mimi na mume wangu tusingeoana iwapo tugekosa hizo sifa za kuifanya ndoa iwe bora.

Mnaotafuta mabinti mabikira wa kuoa niwaambie bila kuwaficha.... "bado hamjapata akili ya kuishi na mwanamke - ninyi wenyewe sio mabikira halafu mnatafuta mabikira wa kuoa huo ni ujinga wa kiwango cha kokote."

Siku mkiacha ujinga mtafanikiwa katika ndoa as couple mliooana huku nyote mkiwa sio mabikira.

Mungu awaondolee ujinga.
Msimamo wangu uko palepale lazima nioe mwanamke BIKRA , ukiona nipo na wewe mwanamke na hauna bikira sahau tu mm kuwa mumeo nitakulala nikikuchoka na badili chombo
 
Kuna siku moja nimepoa katika hizi vilabu vya pombe Za kienyeji, kuna Bibi pembeni alikuwa anapata ulabu.Sasa Mimi na watu wengine tukawa tunapiga stori Za hapa Na pale, nikasikia Bibi anasema NITASAHAU WANAUME WOTE LAKINI SIO YULE ALIYENITOA BIKRA.

Sasa wewe fikiria Kwa akili ya kawaida Yule Bibi umri ulikuwa kama miaka 70+ lakini alimkumbuka aliyemtoa bikra.Vipi mke uliyemuweka ndani?.

Mwanamke bikra Ni Bora Sana katika ndoa.
 
When an experienced B2B midfielder trying to trivialize the significance of Virginity in building a well healthy and stable marriage in favor of glorifying promiscuity...

Wewe kama kama mumeo amekuoa ukiwa tayari una countless body counts usiwapumbaze wenzako na wao wawe wafanye umalaya kabla ya kuolewa kama wewe as if ni kitu kizuri sana... Wanaume sio wajinga kama unavyofikiria
 
Hutakiwi kuanza kujiwekea negative thoughts kichwani kwamba itakuaje akinikataa, watu wa pembeni wananionaje, sijui nikienda pale nitaongea nn nk
wewe ukimuona hesabu hivi
Three, two,one afu jiambue nenda kwahivo chap tu utajilioua kwenda ila kadri unavozidi kujiuliza maswali kama hayo kichwani hautaenda kabisa
Nifundishe
 
Sister una akili mbovu sana.

Hapo mambo ya kuachana ni majaliwa, hakuna couple wanaoana ili waachane, ni bahati mbaya zinatokea hamuendani ila hio hoja ya kusema uoe mwanamke yoyote tuu mwenye bikra au asiyekuwa nayo just because umeona wanawake wameolewa bila bikra na ndoa zimedumu ni hoja mbovu sana

Kila mwanaume ana qualities na standard anazotafuta kutoka kwa mwenza wake, sasa kama mwanaume anataka mwanamke bikra ni standard zake alizojiekea, kitendo cha wewe kusema ana akili za kijinga inaonesha jinsi gani ulivokuwa "Mpumbavu wa akili" kwa kupangia watu standard.

Kila mtu anatafuta kilicho bora madam regardless what the future holds, na tusifichane bikra ni bora, kwasababu ina akisi utulivu wa mwanamke na uaminifu wake kitu ambacho ni nadra sana kwa wanawake wa sikuiz.

Kama wewe hutaki kuolewa na mwanaume masikini kwann mwenzako akitaka kuoa mwanamke "pure" aliyejitunza kwaajili ya mumewe, hakufanya umalaya wakati wa ujana, unamwita mjinga? Standard zako sio standard zetu, Fikra zako sio fikra zetu.

Kubali ukatae mwanamke aliyefanya mapenzi na wanaume wengi uwezo wake wa kutengeneza bond na mwanaume mmoja unapungua, why? kwasababu tayar huyu mwanamke anakuwa ame-develop preferences na hakuna kitu kibaya kama mwanamke aliye-develop preferences kwasababu ana kuwa ana judge vitu kulingana na experience(preferences) alizopitia, najua utabisha kwamba mwanamke akilala na wanaume wengi uwezo wake wa kutengeneza bond na mwanaume mmoja unapungua but i'm happy to inform that this is scientific, soma hapo chini.
View attachment 3119306

Hoja yako ni weak sana kwasababu thamani ya mwanaume ni tofauti na thamani ya mwanamke, kinachompa uthamani mwanamke ni tofauti kabisa na kinachompa uthamani mwanaume.

The Value of Woman is in her past.
The Value of Man is in his future.

Women are born with Value.
Men are born without Value.

Women have much to loose.
Men have more to gain.


Bi zandile
Kaka hili bandiko ni too heavy kwa huyu mleta mada kulielewa, huyu ni mwanamke oya oya ambaye ameshatonbwa sana na wahuni na Sasa amebahatisha liboya lake limemuweka ndani basi ndio ameona aje humu kuwasanua na wanawake wenzie kwamba wanaweza wakafanya umalaya na Bado wakaolewa, na huku akitukandia kwa maneno ya kifedhuri sisi wanaume tusiopenda kuoa Malaya wastaafu kama yeye...

Na kingine analazimisha wanaume tuweke standards za kuchagua mke ambazo zinawafurahisha Malaya kama yeye huku akitaka tupuuze kabisa standards za kiumeni
 
Boss

Asante kwa andiko lina point sana,,ila tuwe wakwel tu, sex peke yake haifanyi ndoa kuwa na furaha

Mtoa mada ana point asikilizwe,kutokuwa mbinafsi,kuvumiliana na kuheshimiana,msamaha ndio mambo muhimu sana katika maisha ya ndoa period

Wewe oa bikira wako halafu awe mjeuri,mbinafsi,hana heshima,hana subira,nakwambia utasahau hata kama ulimuoa na bikira
Jamaa umeandika nini wewe? Una umri gani kwanza? Au ndio umeshachotwa akili na hawa Malaya wastaafu Sasa hivi unafikiri jinsi wanavyotaka wao?

Bana ehee japo maisha ni probability, ila NJ rahisi sana kuzikuta hizo tabia nilizozi bold hapo kwenye para ya mwisho kwa wanawake ambao hawana bikra na pia ni nadra sana kukuta mwanamke bikra akiwa na hizo sifa...

Mwanamke bikra mara nyingi anakuwaga Yuko so agreeable,so submissive,so shy, so polite, so convenient to live with,so open-minded,so manageable... Tofauti kabisa na hao magube gube ambayo yanajua Kila aina ya mboho kwanza muda wote ni majitu yakuleta ligi tu huku akikulinganisha na ma ex wake karibu kwenye Kila jambo kwanzia kitandani mpaka kwenye kuvaa... We hebu acha kudanganyika bhana
 
Hutakiwi kuanza kujiwekea negative thoughts kichwani kwamba itakuaje akinikataa, watu wa pembeni wananionaje, sijui nikienda pale nitaongea nn nk
wewe ukimuona hesabu hivi
Three, two,one afu jiambue nenda kwahivo chap tu utajilioua kwenda ila kadri unavozidi kujiuliza maswali kama hayo kichwani hautaenda kabisa
Shukrani 😂😂😂
 
Wewe utakuwa umeishazibuliwa mtaro ndo maana hujui thamani ya bikra!
Wanaozibuliwa mtaro ni wanaume kama wewe, bila shaka u miongoni mwao na ndo maana unakuja kinyume na hoja inayojieleza kiufasaha.

Mtoa mada hajagusia uzibuaji wa mtaro wewe u, naingiza uzibuaji huo kwa maana kwamba u mdau wa kuzibuliwa.....

Pole sana.
 
Mkuu

Mkuu kama upo kichwani mwangu vile upo sahihi aisee
Kinachotakiwa ukimuona mwanamke aliekuvutua vuta pumzi kisha itoe kwa mdomo na pua kwa pamoja then hesabu three,two,one
Gooo ...

Ukifika pale msalimie kama unavosalimiaga wahudumu wa maduka etc then sema samahanii........ Maneno yatajitengeneza yenyewe ukianza kuongea nae tu utajiona woga unaondokaa ila usimuangile machoni utaanza kuogopa tazama kwa juu ya macho yake
 
Kuna wanaume wajinga wajinga hivi wenye akili za kitoto kila uchwao hubweka... "usioe mwanamke asiye bikira." Kiuhalisia hao jamaa hawajui maana ya ndoa ni nini. Wapo walioa mabikira kwa kudhani kuwa ndoa zitadumu kumbe sivyo hivyo. Waliachana na hao mabikira zao.

Wapo wanaojua nini maana ya ndoa walioa wanawake wasio mabikira, hadi leo wanafurahia ndoa za zilizo katika ubora.

Ubikira hauifanyi ndoa kuwa bora. Kinachofanya ndoa iwe bora ni kwa wanandoa kutokuwa na ubinafsi, msamaha, utu wema, uvumilivu na kujitolea. Mimi na mume wangu tusingeoana iwapo tugekosa hizo sifa za kuifanya ndoa iwe bora.

Mnaotafuta mabinti mabikira wa kuoa niwaambie bila kuwaficha.... "bado hamjapata akili ya kuishi na mwanamke - ninyi wenyewe sio mabikira halafu mnatafuta mabikira wa kuoa huo ni ujinga wa kiwango cha kokote."

Siku mkiacha ujinga mtafanikiwa katika ndoa as couple mliooana huku nyote mkiwa sio mabikira.

Mungu awaondolee ujinga.
Nimegundua kitu hahaha, usjali lkn muhim mume wako hajamaindi alivokuta haipo
 
Back
Top Bottom