Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hawapati kitu ngedere mwitu hao.Toa mchango bro,ma bro mnalia kisa mchango 😝😝😝
Hawa mabro wamechoka sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawapati kitu ngedere mwitu hao.Toa mchango bro,ma bro mnalia kisa mchango 😝😝😝
Hawa mabro wamechoka sana
Hii Id yako nyingine kwa hioMnataka michango kwani ninyi ni vilema wa miili na akili?Acheni uzembe wenu huo.
😝😝😝😝Hawapati kitu ngedere mwitu hao.
Umenikumbusha mbali sana, kuna jamaa akawapa kadi washikaji, sasa yule mmoja hakutoa kabisa yaan pamoja na shughuli kupita yule jamaa alikuwa anadai gharama za kadi aliyochukua, jamaa akamtolea uvivu ndio akapotelea mbaliWagalatia huwaambii kitu kuhusu huo ushamba wanapenda ufahar wakati kipato duni.
HakikaJumapili au Jumamosi funga ndoa kanisani rudi nyumbani na mwenzi wako muishi kwa amani na furaha. Nendeni ofisi ya DC fungeni ndoa mrudi nyumbani muishi kwa amani.
Au fungeni ndoa nyumbani kwa binti murudi nyumbani mukaishi kwa amani.
Kama unataka kufanya sherehe ruksa, fanya kwa uwezo wako. Mchangishane wana familia, hiyo ndio heshima na busara. Marafiki mutualike tu, kwakuwa tunajua mnaanza maisha hatutakuja mikono mitupu. Pesa mtapata ambazo mtafungulia biashara au kuanza ujenzi. Vyombo mtapata pia.
Hii ya kukabana michango mwisho wa siku ikipatikana millioni 20 yote wanakula ma MC, wapambaji, catering, wapiga picha nyie mnabakiwa na laki 6 .
Hakuna zawadi ya maana rafiki au workmate alitetoa mchango atakuletea.
Sherehe utaiandaa kulingana na kiasi cha fedha. Wengine wameanza maisha ya ndoa kwa mkosi wa madeni .
Hiyo ndoa itajaa madeni, madeni, madeni mpaka ivunjike.
Basi na isizidi laki mbiliUnataka kutoa TU dowry upewe mke
Karibu sana mkuuAsanti zana.Hiyo mihela ni kwa ajili ya jubilee yangu na mama Wegesa.Napiga asanti nyingi sana mkuu.
Pewa zi Bure😹😭Basi na isizidi laki mbili
DaahPewa zi Bure😹😭
Pewa tu Bure😹😂😂
Daah
Hhhhhhh mkutano wa Beijing uliwapa ushindiPewa tu Bure😹
Kwani unatuona hatuna thamani
Mahari hutegemea hadhi ya mtu wako hadi wa elfu tano wengine hadi milioni 20 hadi 50Basi na isizidi laki mbili
Hakika, ukitaka kugombana na wagalatia ongelea vibaya harusi na michango yake ya mbwembwe nyingi hadi za kukabana koo.Wagalatia huwaambii kitu kuhusu huo ushamba wanapenda ufahar wakati kipato duni.
Utapeli mtupu.Kinachonishangaza mwishonwa shereh wale kamat wanakaa nakuanza kugawana hela zilizobaki
Au huna hela😭😂😂Hhhhhhh mkutano wa Beijing uliwapa ushindi
Mume niko hapa my dearSa tusipofanya harusi na kukesha na matarumbeta majirani watajuaje kama tumeolewa😊.....
Mi ntaolewa lulu majizzo style.watu wachcahe pande zote mbili,vinywaji na catering ya watu 50 tu
Hata Kwa budget ya mil 3 unafanya mwenyewe Tena nyumbani.usiku mnene Kila mtu arudi kwao.ismeisha
Mipango mingi mume mwenyewe sina