monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,781
- 13,444
Kuna jamaa nimemsoma leo humu jukwaani ameelezea vzr sana kila aina ya kila ndoto,kwa mujibu wa maelezo ya jamaa ni kwamba"mtu akiota anafanya mitihani ni kwamba kuna jambo baya linategemea kumtokea muhusika muda siyo mrefu,ndoto za mitihani ktk ulimwengu wa roho zinawakilisha matatizo mbalimbali ktk ulimwengu wa nyama/kimwili"
Huyo jamaa anaitwa 'Mtarimbo org' jitahidi usome threads zake kuna mengi ya kujifunza ktk ulimwengu wa roho!
Huyo jamaa anaitwa 'Mtarimbo org' jitahidi usome threads zake kuna mengi ya kujifunza ktk ulimwengu wa roho!