Tuache kuwatetea utumishi ,, ni wazi hili swala limewashinda,,, kwanini tusiwe straight ?? ,, kwanini tunapaka paka rangi ionekane kuchelewesha watu kwenye interview ni jambo la kawaida kwa upande wa utumishi wakati siyo ??Waliomba kibali kutokana na udharula uliokuepo ndio maana walifanya wao wenyewe,
Kweli upo sahihi ,, lakini toka walipoingiza mchakato wa interview ni wazi wameamua kutojali wala kufikiria wahitimu wa muda mrefu ,,Katika kuwa na subira hakuna anaemzidi mwombaji aliyehitimu miaka 15 au kumi iliyopita. Huyu akiongelea subra watu watamwelewa.
Kweli upo sahihi ,, lakini toka walipoingiza mchakato wa interview ni wazi wameamua kutojali wala kufikiria wahitimu wa muda mrefu ,,
why i'm writting this coz ,, haingii akili mtu umemuacha miaka tisa ,, tena akili ikiwa hafikirii kabisa kuwa kutakuja kuwa na swala la interview ,,
lakin pia mtu huyu muda huu wote amekuwa anajigusisha na vitu vingine kama bodaboda , udalali na saidia fundi to get his life going ,, afu leo from nowhere unamkurupua na kumwambia sasa bwana inabidi ufanye interview kupata kazi ,, yes !! you got to remember those things you studied 10 years ago just to prove to us how compitent you are to secure this job ...
hii siyo fair hata kidogo hata wangesema sijui ukilingana marks na aliyemaliza karibuni basi utakuwa favored still mzani haupo fair hata kidogo labda watu waliomaliza 2015 mpaka 2018 wawe na marks yao let say 40% kwenda oral interview afu waliomaliza 2019 mpaka 2023 iwe 60%
Kumbe ndio maana mdogo wangu alikuwa ananiambia kuna wenzake tayari wameshaajiriwa kupitia ajira hizi hizi ambazo wengine wanaendelea kupambania kombe.Kupeleka ajira za ualimu ni moja ya maamuzi ya ovyo ambayo serikali imewahi kuyafanya.
Sitoshaangaa hapo baadae mwanasiasa mwingine atakapokuja na kuamua kuzirudisha tena Tamisemi au akatumia udhaifu ulioneshwa na utumishi kuombea kura kwa wasaka ajira za ualimu.
Wakati ajira hizi zipo Tamisemi (kipindi cha magu japo yeye ndiyo aliyesababisha yote haya) kibali kilikuwa kikitoka mwezi wa nne watano mchakato wa uombaji unaanza wasaba watu wapo kazini.
Zilivyoenda utumishi, mwezi wa 4 kibali kilitoka cha kuajili walimu, lakini tangazo sasa la ajira likatoka wasita ,, kuomba watisa au wakumi, kuita watu kwenye interview hadi leo bado, je kwa halii bado kuna watu wanatamani ajira hizi zipitie utumishi?
Ushauri: Ajira zirudi tamisemi bila kupitia utumishi, Tamisemi waandae interview zao wenyeww kama zilivyofanyika ajira za bunge, huenda hili likasaidia.
Umeongea facts lakini Ma CCM na viunga vyake hawatakuelewa kamwe. Wao wametafuta namna ya kukuhalalisha wewe kuwepo mtaani bila ajira. Mara utasikia kwenye campaign zao Hawa walishindwa mtihani ndio maana mpaka Leo wapo mtaani. Shame on you Ma CCM.Kweli upo sahihi ,, lakini toka walipoingiza mchakato wa interview ni wazi wameamua kutojali wala kufikiria wahitimu wa muda mrefu ,,
why i'm writting this coz ,, haingii akili mtu umemuacha miaka tisa ,, tena akili ikiwa hafikirii kabisa kuwa kutakuja kuwa na swala la interview ,,
lakin pia mtu huyu muda huu wote amekuwa anajigusisha na vitu vingine kama bodaboda , udalali na saidia fundi to get his life going ,, afu leo from nowhere unamkurupua na kumwambia sasa bwana inabidi ufanye interview kupata kazi ,, yes !! you got to remember those things you studied 10 years ago just to prove to us how compitent you are to secure this job ...
hii siyo fair hata kidogo hata wangesema sijui ukilingana marks na aliyemaliza karibuni basi utakuwa favored still mzani haupo fair hata kidogo labda watu waliomaliza 2015 mpaka 2018 wawe na marks yao let say 40% kwenda oral interview afu waliomaliza 2019 mpaka 2023 iwe 60%
Umeongea facts lakini Ma CCM na viunga vyake hawatakuelewa kamwe. Wao wametafuta namna ya kukuhalalisha wewe kuwepo mtaani bila ajira. Mara utasikia kwenye campaign zao Hawa walishindwa mtihani ndio maana mpaka Leo wapo mtaani. Shame on you Ma CCM.
There is Something so called poetic JUSTICE. This always stick to individual person to Death. Na Kuna ushahidi.Bahati mbaya the world is unfair. It is what it is.
Hapo T.R.A nadhani mabadililo yalitokea kipindi kile mivutano na wafanya Biashara nakumbuka mpaka pm aliambiwa kwenye kikao na wafanya Biashara changamoto zao, ndipo ikaja hoja ya kuongeza wafanyakazi sababu ilikuwa ni utumishi kupeleka wafanyakazi wasio na sifa za kikodi pamoja na uche leweshaji wa placements ofcn, kwamba utumishi ilionekana mchakato ni mrefu sana mpaka watu kuitwa ma ofcn na wao wankuwa na uhitaji wa haraka, wakaona wanaweza kuajiri wenyewe.Mpango wa wa gvt ni kupeleka ajira zote Utumishi fuatilia vizuri hata hao Tanesco wameshaingizwa utumishi, so TRA nao soon. Hapo zamani taasisi ziliajiri zenyewe kwa kupendeleana na rushwa. Kazi ya sekretariat ya ajira ni kuendesha mchakato wa ajira sio Tamisemi so tuliza ugoko bro mtaitwa tu.
Ila jamaa kwenye kuchelewa wamezidi sasa mpaka mtu una sahau kama ulishafanya usahili kwao na mipango ulisha iweka pembeniMwezi 2 umeomba unakuja kuitwa interview Mwezi wa 11 huko unafanya interview unakuja kupangiwa na kuitwa kazini mwezi wa 10/11 mwaka kesho yake
PSRS hawajitungii wenyewe sifa za candidates wanaohitajika na taasisi acha kutulisha matangopori hapa. Binafsi nmewahi omba kazi fulani system ikanikataa nkawapigia utumishi wakanambia wanaoset vigezo ni taasisi husika sio wao na ndomana unaona hata ajira zinatangazwa na taasisi husika ila zinakuwa channeled utumishi wa umma. Swala la kuchukuwa muda kupanga placements inategemeana siumeona watumishi wa Afya walivopangiwa chapHapo T.R.A nadhani mabadililo yalitokea kipindi kile mivutano na wafanya Biashara nakumbuka mpaka pm aliambiwa kwenye kikao na wafanya Biashara changamoto zao, ndipo ikaja hoja ya kuongeza wafanyakazi sababu ilikuwa ni utumishi kupeleka wafanyakazi wasio na sifa za kikodi pamoja na uche leweshaji wa placements ofcn, kwamba utumishi ilionekana mchakato ni mrefu sana mpaka watu kuitwa ma ofcn na wao wankuwa na uhitaji wa haraka, wakaona wanaweza kuajiri wenyewe.
Ukiomba received unasubiria km miezi 8 ndio unaitwa interview baada ya hapo unasubiria tena miezi 10 au 11 ndio majibu unapewa km umefaulu baada ya hapo unasubiria tena mwaka mzima ili upangiwe kazi sio poa yaan ni mwendo wa kusubirishwa tuIla jamaa kwenye kuchelewa wamezidi sasa mpaka mtu una sahau kama ulishafanya usahili kwao na mipango ulisha iweka pembeni
Walimu je?Kuna pdf uko la kuitwa usahili kada mbalimbali,pdf limeshiba
Kada zingine mbalimbali tofauti na ualimuWalimu je?
Acha mkuu jobless tuna pitia mateso makubwa sana mpaka kufikia hatima zetu.Ukiomba received unasubiria km miezi 8 ndio unaitwa interview baada ya hapo unasubiria tena miezi 10 au 11 ndio majibu unapewa km umefaulu baada ya hapo unasubiria tena mwaka mzima ili upangiwe kazi sio poa yaan ni mwendo wa kusubirishwa tu
Hujaona watu wanavyo kaa mpaka mwaka mzima au miezi tisa nane wakati huo hujui hatima yako kuhusu placement ulizo fanya jua kali mtaani..😀PSRS hawajitungii wenyewe sifa za candidates wanaohitajika na taasisi acha kutulisha matangopori hapa. Binafsi nmewahi omba kazi fulani system ikanikataa nkawapigia utumishi wakanambia wanaoset vigezo ni taasisi husika sio wao na ndomana unaona hata ajira zinatangazwa na taasisi husika ila zinakuwa channeled utumishi wa umma. Swala la kuchukuwa muda kupanga placements inategemeana siumeona watumishi wa Afya walivopangiwa chap
Inaonekana mlikuwa mnaumia sana kuona walimu wanapangwa moja kwa moja bila interview mwaka huu mnakenua kweli kweli wakuuU
Y
Walimu mlizoea mseleleko tena wengine Kwa kuumizwa sasa hivi iyo fursa imekuwa Kwa walimu wote Bado hamtaki acheni fighters wapambanie izo Ajira nyie msubiri za kupangiwa bila interview,uliona wapi unaajiriwa bila interview huo si upendeleo
Hii mentality ondoa itakuchelewesha ukisoma kupata ajira sio lazima mbona unaonekana kama wataka kutafuta usawa wa tonge kama unga katafuta mzazi wakoKweli upo sahihi ,, lakini toka walipoingiza mchakato wa interview ni wazi wameamua kutojali wala kufikiria wahitimu wa muda mrefu ,,
why i'm writting this coz ,, haingii akili mtu umemuacha miaka tisa ,, tena akili ikiwa hafikirii kabisa kuwa kutakuja kuwa na swala la interview ,,
lakin pia mtu huyu muda huu wote amekuwa anajigusisha na vitu vingine kama bodaboda , udalali na saidia fundi to get his life going ,, afu leo from nowhere unamkurupua na kumwambia sasa bwana inabidi ufanye interview kupata kazi ,, yes !! you got to remember those things you studied 10 years ago just to prove to us how compitent you are to secure this job ...
hii siyo fair hata kidogo hata wangesema sijui ukilingana marks na aliyemaliza karibuni basi utakuwa favored still mzani haupo fair hata kidogo labda watu waliomaliza 2015 mpaka 2018 wawe na marks yao let say 40% kwenda oral interview afu waliomaliza 2019 mpaka 2023 iwe 60%
Bila shaka umemaliza hivi karibuniHii mentality ondoa itakuchelewesha ukisoma kupata ajira sio lazima mbona unaonekana kama wataka kutafuta usawa wa tonge kama unga katafuta mzazi wako
Suala la ajira sio lazima serikali ikuajiri bali serikali ina wajibu wa kuhakikisha unapata elimu then ikutengenezee mazingira rafiki ili uweze kujiajiri au kuajiriwa sasa unaposema sijui mtu kakaa miaka 15 hawajamuajiri kwahiyo kasahau materials aliyosoma inahusika vipi na serikali hapo?
Yani unataka kupewa ajira kwa kuonewa huruma na si kwa vigezo? Eti kisa umemaliza 10yrs ago, je vipi wale ambao walipata bahati za taasisi binafsi hadi leo wanafundisha unawaweka kundi lipi?
Hoja ya kulalamika kuhusu kucheleweshwa kwa usaili nakuunga mkono ila usitie huruma ili uhurumiwe eti kisa wewe ni mwalimu hapana japo walituzoesha wenyewe lakini hatupaswi kutia huruma